malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,778
- 2,703
Wakuu Kama kichwa cha habari kilivyo eleza hapo juu.....
Mke wangu kwao nimitaa kama 20 toka tunapoishi sasa hivi karibuni kwao wamepata matatizo flani hivyo huwenda kuwaona nakushinda kwao hadi jioni saa kumina moja sasa anavorudi huja nachakula walichopika kwao yaani hapiki tena huja nacho icho ili namume ale hicho hicho.......
Je, nisawa mume kula hicho chakula kilicholetwa namkewe toka kwao badala mke yakuwahi kurudi kwake kupika ye hujanahicho chakula alichokupika kwao ili wale namumewe.
Mke wangu kwao nimitaa kama 20 toka tunapoishi sasa hivi karibuni kwao wamepata matatizo flani hivyo huwenda kuwaona nakushinda kwao hadi jioni saa kumina moja sasa anavorudi huja nachakula walichopika kwao yaani hapiki tena huja nacho icho ili namume ale hicho hicho.......
Je, nisawa mume kula hicho chakula kilicholetwa namkewe toka kwao badala mke yakuwahi kurudi kwake kupika ye hujanahicho chakula alichokupika kwao ili wale namumewe.