Zamani, watu wazima walikuwa wanakutana sokoni, kanisani, misikitini, au kupitia marafiki.
Lakini leo, kupata mwenza kumehamia kwenye mitandao kama Tinder, Badoo, DM za Instagram, na makundi ya WhatsApp.
Ukiwa mtu mzima mwenye majukumu yako, unatafuta mtu makini wa kutulia naye. Hata hivyo...