Kuna Utajiri mkubwa ndani ya mitandao ya kijamii

Kuna Utajiri mkubwa ndani ya mitandao ya kijamii

Hornet

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
26,894
Reaction score
52,486
Habari zenu huku,

Nianze kwa kuandika, siyo kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu.

Miaka takribani 16 iliyopita nilijiunga na jamii forum, kipindi hicho sikufahamu kabisa juu ya mitandao ya kijamii.. lakini kupitia nyuzi za watu , nilijifunza na kuelewa mambo mengi sana.(kipindi hicho jf ilikua kielimu zaidi).

Jf ikanifundisha ujasiri na namna ya kuishi katika social media, nikajikuta nimeweza kuanzisha biashara zangu na kuuza online, kabla sijapata ofisi.

Jitihada zangu nimezifanya kwenye social medias ikiwemo Instagram , Facebook na Tiktok na nimepata marafiki, wateja, familia kupitia mitandao.

Na hata biashara zangu zimekuwa powered na mitandao ya kijamii na watu wake.

Nimeandika andiko hili kuwakumbusha wadogo zangu wanaopambana na kuwa na malengo ya kufika sehemu fulani kwamba,

Mitandao inaweza kukujenga ukawa imara
Au kukubomoa ukawa dhaifu,

Kama unafanya online business, Ifanye kwa utulivu na uaminifu na itakuletea matokeo makubwa.

Pia usiache kuwa na consistency na kitu unachokifanya leo ili uone matokeo kesho.

Stay positive.
 
Ni kweli, maana social media zimeua kabisa TV na Radio, sio katika kupasha habari tu bali hata matangazo,hivi sasa mtu akifanya promo ya tangazo kwenye social medias inafikia watu wengi tena walio potential kuliko hata kutangaza kwenye radio ama TV.
Ukifanya tangazo kupitia Tv/Radio na wao wanapush kwa kuweka kwenye social media account zao. Ndipo linafikia watu wengi potential.
 
Habari zenu huku,

Nianze kwa kuandika, siyo kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu.

Miaka takribani 16 iliyopita nilijiunga na jamii forum, kipindi hicho sikufahamu kabisa juu ya mitandao ya kijamii.. lakini kupitia nyuzi za watu , nilijifunza na kuelewa mambo mengi sana.(kipindi hicho jf ilikua kielimu zaidi).

Jf ikanifundisha ujasiri na namna ya kuishi katika social media, nikajikuta nimeweza kuanzisha biashara zangu na kuuza online, kabla sijapata ofisi.

Jitihada zangu nimezifanya kwenye social medias ikiwemo Instagram , Facebook na Tiktok na nimepata marafiki, wateja, familia kupitia mitandao.

Na hata biashara zangu zimekuwa powered na mitandao ya kijamii na watu wake.

Nimeandika andiko hili kuwakumbusha wadogo zangu wanaopambana na kuwa na malengo ya kufika sehemu fulani kwamba,

Mitandao inaweza kukujenga ukawa imara
Au kukubomoa ukawa dhaifu,

Kama unafanya online business, Ifanye kwa utulivu na uaminifu na itakuletea matokeo makubwa.

Pia usiache kuwa na consistency na kitu unachokifanya leo ili uone matokeo kesho.

Stay positive.
Asante sana kwa andiko zuri, kipekee nimeliona hili, nimeanza biashara mwaka huu mwez wa kwanza, baada ya kuacha kazi nliokua nimeajiriwa kwa miaka sita iliyopita.

Experience yangu ndogo ndani ya hii miezi mnne ya biashara, mpaka sasa nimepata wateja sita kupitia instagram na tiktok
Mmoja wao ni kutoka mkoani . Kilichonishangaza sijawahi kufanya sponsor ads lakini kupitia zile hashtag za bidhaa nnazo post nimepata wateja

Nataka niendelee na hii system consistently namaanini ntapata matokeo mazuri

Soon ntaanza kufanya sponsor ads
 
Habari zenu huku,

Nianze kwa kuandika, siyo kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu.

Miaka takribani 16 iliyopita nilijiunga na jamii forum, kipindi hicho sikufahamu kabisa juu ya mitandao ya kijamii.. lakini kupitia nyuzi za watu , nilijifunza na kuelewa mambo mengi sana.(kipindi hicho jf ilikua kielimu zaidi).

Jf ikanifundisha ujasiri na namna ya kuishi katika social media, nikajikuta nimeweza kuanzisha biashara zangu na kuuza online, kabla sijapata ofisi.

Jitihada zangu nimezifanya kwenye social medias ikiwemo Instagram , Facebook na Tiktok na nimepata marafiki, wateja, familia kupitia mitandao.

Na hata biashara zangu zimekuwa powered na mitandao ya kijamii na watu wake.

Nimeandika andiko hili kuwakumbusha wadogo zangu wanaopambana na kuwa na malengo ya kufika sehemu fulani kwamba,

Mitandao inaweza kukujenga ukawa imara
Au kukubomoa ukawa dhaifu,

Kama unafanya online business, Ifanye kwa utulivu na uaminifu na itakuletea matokeo makubwa.

Pia usiache kuwa na consistency na kitu unachokifanya leo ili uone matokeo kesho.

Stay positive.
Ni kweli kuna elimu kubwa,pia kuna misaada mingi pia hutolewa
 
Asante sana kwa andiko zuri, kipekee nimeliona hili, nimeanza biashara mwaka huu mwez wa kwanza, baada ya kuacha kazi nliokua nimeajiriwa kwa miaka sita iliyopita.

Experience yangu ndogo ndani ya hii miezi mnne ya biashara, mpaka sasa nimepata wateja sita kupitia instagram na tiktok
Mmoja wao ni kutoka mkoani . Kilichonishangaza sijawahi kufanya sponsor ads lakini kupitia zile hashtag za bidhaa nnazo post nimepata wateja

Nataka niendelee na hii system consistently namaanini ntapata matokeo mazuri

Soon ntaanza kufanya sponsor ads
Ukiwa mwaminifu wateja wako watakupa wateja wapya na biashara yako itakua,
Pia kwa instagram ukiweka bandiko la kuvutia, automatic instagram hulifanya kama tangazo na kuwafikia non-followers.
 
Hongera sana,hata mimi ule uzi wa Mbuzi nipo kwenye maandalizi natarajia mambo yatakwenda vyema.
Humu kuna wataalamu sana , nikitulia nilitaleta uzi wa kilimo hasa cha miwa
 
Back
Top Bottom