mimi

  1. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Mimi fundi wa Kupaua, nyumba ya vyumba 3 napaua kwa TSh. Laki 8 bei ya ufundi

    Habari naombeni kazi mabosi zangu Nyumba ya vyumba ya vyumba 3 vya kulala napaua kwa lak 8 tu Namba zangu hizi 0743 257 669 Nipo banana ukonga
  2. M

    JamiiForums Tanzania Polisi ndio watakuwa wahusika namba moja kuzuwia uchaguzi 2025! Kwa nini...!

    Wakati polisi wakiwa mabarabarani kwa hasira kusubiri waandamanaji wa kuzuia uchaguzi ili kuwafyatulia maji ya washawasha na lisasi za moto, naamini haitakuwa hivyo! Watu watakwenda kwenye vituo vya kupigia kura kwa amani na salama kabisa na bila kujulikana ni kina nani watahusika katika...
  3. Magical power

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana huyu ndiye aliyeteuliwa kuwa mwanaume mzuri zaidi katika sayari ya dunia, Naijulikane Mimi ni baba yake mzazi 😍

    Kijana huyu ndiye aliyeteuliwa kuwa mwanaume mzuri zaidi katika sayari ya dunia, Naijulikane Mimi ni baba yake mzazi 😍
  4. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hiii tabia ya kukinai wanawake ni mimi tu au na wanaume wenzangu mnayo?

    Wakuu,naamini mko salama kabisa,wenye kuumwa basi poleni na Mungu awape ahueni ya maradhi yenu. Issue yangu iko hivi,nina tabia ya kukinai wanawake, naweza nikatumia gharama kubwa za muda na fedha kumpata mwanamke, lkn nikiisha mpiga mashine siku mbili tatu namkinai na sitaki tena kumsikia. Hivi...
  5. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Ningekua mimi ndo mbowe ningeanzisha chama kingine

    Kwa kinachoendelea kule kwa aliowakabidhi kijiti na malumbano yaliopo mpaka sasa ni kama kuna nguvu 2 za mvutano. Sasa ili kuokoa jahazi moja ningeanzisha chama alafu ile timu inavyokinzana na mwenyekiti wa sasa naichukua fasta kutumia hiyo fursa pamoja na wale covid 19 nawaita wote kupata...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Mimi ninaunga hoja ya G55 kuhusu no Reform no Election

    Ni kweli No Reform No Election inatakiwa kutekelezwa na Mamlaka LAKINI siyo kwa mwaka huu wa Uchaguzi. CHADEMA ijipange baada ya uchaguzi wa mwaka huu kwa No Reform No Election mpaka mabadiliko yapatikane kuaanzia Katiba hadi Tume Huru ya Uchaguzi. Uchaguzi wa mwaka huu kama inavyoonekana...
  7. Now and then

    JamiiForums Tanzania Mimi ni miongoni wa G55 haya ndo maamuzi nilioamua kuchukua ,kuelekea October 2025

    Nimekaa na familia yangu nimeona tu nirudishe hela nilizokula. Najua haitokuwa rahisi Ila nitafanya hivyo.
  8. Knock life

    JamiiForums Tanzania Mimi ningekuwa G55 maamuzi ambayo ningefanya ni haya ili kuhakikisha haki na ustawi wa Chadema na nchi unapatikana.

    Ningeanza na kurudisha hela nilizokula hata Kama zimebaki chache . Baada ya hapo ningekimbilia nje ya nchi. Ahsante
  9. Magical power

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi mlemavu sina miguu, natumia baiskel, kuna baba mmoja ananijali, Anaishi mtaani kwetu

    Samahani kaka magical power. Mimi naomba nisaidie kisheria au kimawazo. Mimi nikilema sina miguu huwa natumia baskel Hata kutembea natumia baskel kama naenda mbali huwa kuna kijana namuomba ananisukuma. Sasa kuna baba mmoja huwa ananipa msaada. Mara anipe hela yani ananijali sana. Anaishi...
  10. Knock life

    JamiiForums Tanzania Je wewe ni kama mimi unawasiliana na watu wakubwa kama hivi ?.

  11. Tauceti Rigel

    JamiiForums Tanzania Binafsi nikiona mtu Personality yake imemezwa na ushabiki wa Simba na Yanga huwaga napata mashaka na IQ yake

    Unakutana na Mtu anaamka asubuhi akifika tu kwenye kijiwe cha kahawa au mgahawani lazima itakuwa ndio mada atakayodiscuss kwanza kuliko kingine chochote na bora ingekuwa vitu concrete katika timu yake ya aidha simba au yanga bali utakuta ni udaku Akitoka kwenye kijiwe hicho cha kahawa akasogea...
  12. tamu 3

    JamiiForums Tanzania NILIME MIMI SHAMBANI

    NILIME MIMI SHAMBANI 1............. Nilime mimi shambani, jua kali linawaka, Majasho yanitokeni, mwili wote umechoka, Kutwa ninalinda nyani, wanasumbua hakika, Nilime mimi shambani, bei wanapanga wao. 2............ Ng'ombe wa bwana Shabani, wala mazao shambani, Yanipasa kulindeni, mawio na...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT: Al Masry SC 2-0 Simba SC | Robo Fainali CAF CC | New Suez Stadium | 02.04.2025

    Mnyama Simba SC anaanzia ugenini Misri kwa kuvaana na Al Masry SC katika mechi ya mkondo wa kwanza ya Robo Fainali ya Shirikisho Afrika. Mchezo huu unapigwa saa 1:00 usiku 🏟️ New Suez Stadium Kaa karibu kwa Live updates Vikosi vya timu zote (Team news) Mechi imeanza 4' Mashambulizi kwa...
  14. Hussie

    JamiiForums Tanzania Hellow! Mimi ni new member hapa

    Nawapenda
  15. Atukuzwee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho ungekua wewe ni mimi ungeweza? nimeambatanisha na picha kama ushahidi

    Kuna watu ni wagumu saana kuelewa wanadai kwamba kisa changu nilicholeta ni cha uwongo mrejesho na ushilahidi huu hapa
  16. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu kinyamkera

    Habari ndugu zangu hapa jukwaani pia Eid Mubarak. Natumai umzima wa Afya uku unakula Eid yako vizur kabisa Naam leo nawaleteya kinyamkela nataka ujue kinyamkela ni kitu cha namna gani Kinyamkela ni nini mzimu wa kizaramo wengine wanasema. Kinyamkera ni mzimu ambao hutumiwa kwa shuguli kama...
  17. BigTall

    JamiiForums Tanzania Hivi waungwana hii Stendi ya Nzega Mjini ndio ya Sh Bilioni 4 kweli? Au mimi sijui kuthaminisha vitu!

    Ndugu zangu, huu mjadala ulikuwa chinichini ila sasa naona kumbe hata huko X watu wanajadili kama vile mimi na wanangu tulivyokuwa tukijadili, kwahiyo ndio ukweli kwamba Shilingi Bilioni 4.327 zimemwaga kwa miundombinu hii? Pia soma ~ Waziri Mkuu Majaliwa azindua Stendi ya Sh Bilioni 4.3...
  18. Fene

    JamiiForums Tanzania Aisee Watanzania tunatukana, hivi ni kawaida au?

    Inakuwaje WanaJF Kutokea January ya mwaka huu nikasema ngoja niingie life la kijiweni duh! Aisee Watu wanatukana vibaya to the maximum yani mpaka mimi najishtukia hawa washkaji wananiona wa kuja kweli yani. Maana ni mtu nimepoa tu responds zangu kawaida tu Yani matusi hadi fujo, story...
  19. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania SITAPELIKI asanten hizo msg zinatosha sasa na mimi nawaahidi sitatapeliwa. Asanten sana mumetosha sasa

    Amani iwe kwenu wakuu Huyu kiumbe aliyepewa tenda ya kusambazaa msg za SITAPELIKI kanishinda tabia Kwa siku ana weza tuma msg hata kumi kwenye lain moja bado lain nyingine Leo nimekuja mbele ya kadamnasi kuomba atosheke sasa na mimi naahidi kuwa sitatapelika kamwe Asante sana Kwaresma...
  20. Genius Man

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi sitambui tume huru kama tume itakayoenda kufanya haki au kama tume iliyopo kihalali hivyo kushiriki uchaguzi ni usaliti wa taifa

    Unajua watanzania Katika uhalisia watanzania tuliomba tume huru tukapewa jina la tume pekee na kuitwa "huru" wakati jina haliwezi kuifanya tume iwe huru, hii ni kama wenye mamlaka wamekwepa uwajibikaji, demokrasia na haki ili kusalia zaidi madarakani kwasababu jina haliwezi kuleta demokrasia...
Back
Top Bottom