Dodoma: Kila mwezi wanafunzi wa kike 16 wanapata mimba Dodoma

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,542
3,451
Hii idadi siyo ndogo kuna haja ya jamii kuamshwa ili kutambua mchango wa elimu kwa Mtoto wa kike kwa kuangalia mrejesho wa elimu kwa mtu binafsi na kwa jamii yake "private rate of return and socia returns"..

Elimu pia ina faida msambazo kwa jamii "spill over benefits".Kuna haja elimu ya Darasani kupelekwa kwa jamii katika lugha inayowakaribia kwenye ulimwengu wao.

Juu ya hili kunahitaji pia wataalamu kujifunza namna ya kuchanganya elimu asilia ya jamii "indigenous knowelege" na utaalamu wao ilibkuifanya jamii kuamini elimu hiyo ni yao na inasadifu utamaduni wao jambo ambalo litainua mwamko jamii na ushiriki.

Mazingira ya jamii na pendeleo zao zinawaza kutumika kama njia za kupitishia maarifa ili kuwasaidia Dada zetu.
 
Ingepatikana na takwimu ya mimba hizo wanapewa na wanaume rika lipi...
 
Poleni sana Dada zangu nahisi wanaume wa Dodoma wapo kwenye PRoject maalum


Sitaki kuhifundisha serikali nini cha kufanya"
 
Hivi miaka 30 haitoshi,ama watu they jut don't care!!!,
Serikali yote siimehamia hapo.
Inauma sana kukatisha masomo ya watoto wakike kwasababu za hovyo kama hizi.
Nashauri kifanyike kitu kingine particular na miaka 30 jela ili kusaidia watoto wakike kujizuiya na hilijanga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom