johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Dr Abbas ambaye ni msemaji mkuu wa serikali anasema wanafunzi wanaopata mimba shuleni hawatarudi kuendelea na masomo katika mfumo rasmi bali wataruhusiwa kupitia mfumo usio rasmi yaani private candidates.
Abdul Nondo boss wa vijana pale ACT wazalendo anapinga vikali yeye anataka wanafunzi hawa baada ya kujifungua warudi katika mfumo rasmi wa masome ili wawe na sifa ya kukopesheka na Bodi ya mikopo watakapochaguliwa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu.
Mjadala ni mkali kweli kweli ndani ya kipindi cha Tuongee asubuhi. Star tv.
Nani yuko sahihi?
Maendeleo hayana vyama!
Abdul Nondo boss wa vijana pale ACT wazalendo anapinga vikali yeye anataka wanafunzi hawa baada ya kujifungua warudi katika mfumo rasmi wa masome ili wawe na sifa ya kukopesheka na Bodi ya mikopo watakapochaguliwa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu.
Mjadala ni mkali kweli kweli ndani ya kipindi cha Tuongee asubuhi. Star tv.
Nani yuko sahihi?
Maendeleo hayana vyama!