Mambo ya IMANI yapinge Kwa IMANI
Mambo ya SAYANSI Kwa SAYANSI
Falsafa Kwa falsafa.
Kinyume na hapo hakuna kinachofanyavkazi unabaki na mtazamo wako na wao mtazamo wao.
Ukipingana kwa falsafa au fact za kisayansi, Kwa WATU WA Imani, mara nyingi watu wa imani hawatakubali kwa sababu msingi wao...
Hapa tunazugumzia bilionea alietengeneza empire yake kwa kuwa master wa man-magement, corporate na negotiations.
Mwamba wa miaka 79, kasimama lisaa limoja na nusu, bila makaratasi bila maneno ya siasa bali akiwa na confidence na facts za mambo aliyoyafanya.
Mwamba amesimama muda wote...
Mimi ni mwanafunzi wa DIT, tunatumia mfumo unaitwa SOMA katika usajili na ufatiliaji wa matokeo.
Kwa zaidi ya mwezi sasa mfumo umekuwa na changamoto, Huku baadhi ya wanafunzi wakiwa NOT PROMOTED
baada ya kufuatilia ADMISSION OFFICE tulipewa Ticket Number ili kuhudumiwa na SOMA hata hivyo Ofisi...
Habari za wakati huu;
TRA Tanzania
Jana niliweka uzi hapa kuhusu changamoto ya IP blocking katika Mfumo mpya wa IDRAS
https://www.jamiiforums.com/threads/tangu-mfumo-mpya-wa-tra-kuanza-kuna-changamoto-ya-ip-kuwa-blocked-mnakwama-wapi.2421098/
Nawapongeza kwa kufanya marekebisho na sasa naona...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mfumo wa ulipaji kodi kwa kueleza kuwa kwa sasa changamoto iliyokuwepo imefanyiwa kazi na kila kitu kimekaa sawa.
Awali, Mdau wa JamiiForums.com alieleza kuwa mfumo mpya wa TRA, wa ulipaji kodi (Tax Payers Portal) una changamoto ya 'IP'...
Huyu boss kaacha ofisi anazunguka na waziri mkuu, hajataka kumwachia mtu majukumu kwa mda, anataka kote awe yeye
Huko alipo hafanyi kazi yoyote zaidi kukaa kwenye V8 na kutumia mafuta kwa kodi za Wananchi,
Hawezi kupitisha kitu chochote kwenye mfumo kinachomhitaji apitishe so mambo yamesimama...
Huko TRA,TANESCO na ofisi nyingne za serikali utaratibu unatakiwa ufuatwe na maskini tuu au walio nnje ya mfumo.
Walio ndani ya mfumo ni meseji tuu isiozidi maneno 10 MAMBO YANANYOOSHWA KAMA MHUSIKA ANAVYOTAKA.
Huu mfumo japo umekuja na mazuri, lakini kwa sasa unageuka kero kwa Watumishi kwa baadhi ya huduma kutopatikana leo ikiwa ni siku ya 2 mfululizo.
Mimi nashauri waufute huu mfumo au kuwe na mbadala pale mfumo huu unapofeli kwani unakwamisha sana mambo ya watu na kwa sasa unageuka kero badala ya...
Katika kuimarisha utawala bora, uwajibikaji wa viongozi, na ufanisi wa utekelezaji wa sera za maendeleo, inapendekezwa kuanzishwa kwa mfumo rasmi wa Action Plan Governance Framework utakaoweka wajibu wa wazi kwa viongozi wanaoingia madarakani, hususan Rais au Mawaziri.
Mfumo huu utalenga...
Hamjambo!
1. Ni Ajira za kuajiriwa ndizo ziliwapa kiburi dada zetu.
2. Ni baada ya kuona wakisoma baadaye wataajiriwa na kulipwa Malaki Kwa mamilioni ya pesa. Wakaona watakuwa independent na hawatakuwa na haja ya mwanaume.
3. Kumbuka ajira kama ualimu, udaktari, uanasheria, uhasibu, n.k...
Niliona Humu uzi maalum wa BRELA sijui kama bado UPO, hata hivyo Brela Mfumo wenu una shida ya availability na Utendaji.
Tunajaribu kupiga simu zenu za Kituo cha miito Hampokei.
Mfumo wa ESS kwa watumishi wa Umma umekua na changamoto za mara kwa mara ..mara nyingi unakua down,je wanao simamia au walioleta huu mfumo hawakujua unyeti wa hili wanalo anzisha ?
Hawakujua kuwa mfumo unapaswa kuwa bora sana kuliko ulivyo sasa ..
Kumbuka huu mfumo ndio unaonesha uwajibikaji...
Anonymous
Thread
awajibishwe
changamoto
ess
mfumomfumo wa ess
nani
umma
watumishi
watumishi wa umma
Bunge kama la Tanzania huwa na maana pale nchi inapokuwa ni ya kidemokrasia na mihimili mitatu ya utawala iko huru.
Unapokuwa na mfumo wa utawala ambao serikali inaloamua ndilo linakuwa huku bunge likiwepo kugonga muhuri tu bila kuwa na uwezo wa kuiwajibisha serikali kunakuwa hakuna sababu ya...
Kero yangu ni kuhusu Chuo cha Elimu ya Biashara, nimehitimu chuo cha Elimu ya Biashara CBE Dar es Salaam Mwaka 2025 lakini changamoto iliyopo mpaka leo mfumo unasoma continue wakati nimeshahitimu.
Mimi na wenzangu tumefuatilia sana wanasema wanalifanyia kazi wakidai changamotoipo kwenye mfumo...
....Wakuu nimejaribu kuapply loan lakini natumia simu imekuja namna hiyo kwahiyo siwezi kuona kiasi gani napata na makato yake Ili niweze ku apply kila nikijaribu kusogeza nione mbele inagoma, hata ku rotate simu pia haitaki msaada nifanye Nini niweze kuona hapo
MFUMO WA ESS KWA SIMU
Hii picha imenifikirisha sana, Nikizingatia mwenendo mbaya uliopo katika jamii na kizazi cha sasa kwa ujumla
Mwenendo ambao ni matokeo ya athari mbaya zilizotokana na utandawazi
Vipi mdau, Umenusurika kwenye huu mfumo ? Umewazaje ?
Mimi ni Mtumishi wa Serikali Kada ya Afya nipo Uyui Mkoani Tabora, nina maoni ambayo pia ni kama kero kwangu na kwa Watu wengi kuhusu mchakato wa Uhamisho wa Njia ya Online kwa Watumishi wa Serikalini.
Serikali ilitambulisha mfumo wa Digitali kwa nia nzuri lakini ukweli ni kuwa umekuwa mgumu...
Kero yangu ipo kwenye mfumo wa chuo Cha elimu ya biashara (CBE) Upande wa account za wanafunzi toka mwezi wa 12 mpaka sasa mwezi wa pili mfumo unasumbua wahitimu tunashindwa kufanya maombi ya vyeti na tuliomba ukifika chuo unaambiwa mtandao unasumbua hovyo tunapata tabu tupo nyumba ya soko la...
Anonymous
Thread
cbe
chuo
chuo cha cbe
mfumo
mkubwa
usumbufu
uzembe
uzembe mkubwa
wake
walimu
watendaji
Simamia Stock za Dawa, Mauzo, Expiry & Ripoti za Kifedha kwa Urahisi (BEI RAFIKI)
Wamiliki wa pharmacy / duka la dawa,
Hebu niulize swali la kweli 👇
👉 Umewahi:
Kukuta dawa zime-expire bila wewe kujua?
Kukosa stock ya dawa muhimu wakati mteja yupo?
Kupata hasara kwa sababu ya dawa kupotea au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.