mfumo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania A to Z majibizano kati ya Hilda Newton na Buyobe: Ni kweli Buyobe ni mtu wa mfumo?

    Alichoandika Hilda Newton: Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea. Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha Mafwele, walimvotesa n.k pia alishukuru kwa jinsi tulivompazia sauti. Katika maongezi hayo...
  2. H

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jihadhari Sana na Kitu kinaitwa Vodabima. Unaweza Kupoteza Pesa Yako. Ni Mfumo wa Kubahatisha

    Sijui ni wangapi wamewahi kukumbana na na matatizo ya vodabima. Kwa uzoefu wangu, mara tatu imetokea unalipa bima ya gari kupittia vodabima. Unapata ujumbe kuonesha pesa imetoka kulipia bima ya gari fulani kuanzia kipindi fulani mpaka kipindi fulani, hakuna ujumbe mwingine. Kwenye mfumo wa...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Unahitaji mfumo wa kisasa kwa kampuni au organization yako?

    Peculiar Enterprises Ltd tunabuni na kutengeneza mifumo ya kisasa kwa biashara, kampuni, taasisi na organizations za aina zote. Huduma zetu ni pamoja na: ✅ Corporate & Company Management Systems ✅ Project Management Systems ✅ Financial & Business Management Systems ✅ Websites za kampuni na...
  4. ubongokid

    JamiiForums Tanzania KERO BRELA na Mfumo wa Beneficial Ownership kutokutoa Control Numbers

    Habari za wakti huu ndugu zangu wa BRELA Kwanza kabisa niwaulize hivi Call centre yenu iko Busy sana au wafanyakazi wachache au vyote kwa pamoja maana kasi yenu ya kupokea simu na kushughulikia masuala yanayoletwa kwenu haundani na zama hizi. Litazameni hilo maana haiwezekani nipige simu Call...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto za Mfumo wa Ajira Portal kwa Vijana Wanaotafuta Ajira

    Tunaiomba mamlaka husika kuboresha mfumo wa Ajira Portal. Vijana wengi tunapata changamoto kubwa kupata usaidizi kuhusu mfumo huo kwani namba za mawasiliano hazifanyi kazi na email hazijibiwi. Hali hii inatulazimu kutumia fedha nyingi kwenda Dodoma kwa ajili ya kupata msaada wa huduma ambazo...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Tangu mfumo wa vyama kuanzishwa nchini, bado hakuna kabisa mchango wa vyama vya upinzani katika kuchochea maendeleo ya wananchi nchini.

    Ni CCM pekee kwa dhamira yake njema kwa taifa, utashi wa kisiasa wa viongozi wake, mipango mikakati yake ya maendeleo kwa wananchi na dhamira yake njema kwa waTanzania, ndio daima huunda serikali sikivu ya wananchi na kuongoza nchi, huku ikilenga zaidi kuwaletea waTanzania wote maendeleo bila...
  7. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mfumo wa Sauti wa Bunge wabuma, wabunge warudishwa ukumbi wa Msekwa!

    Leo, Mei 14, 2026 Mfumo wa sauti Bungeni umebuma. Wabunge wamerudi ukumbi wa Msekwa. Vifaa viliwekwa na Mchina, ku-upgrade wameleta Mzungu, ngoma imebuma. Jana jioni ilianza kupiga alarm ya moto ilhali hakuna moto. Kazi kwelikweli
  8. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel (Iron-Dome) hauna mpinzani!!!!!

    Mfumo wa ulinzi wa anga wa **Iron-Dome**ya Israeli haina mpinzani!! Dk. Yuval Steinitz, mwenyekiti wa Rafael Advanced Defense Systems, alisifu mfumo wa Iron-Dome wa Israeli katika hotuba yake kwa mkutano wa mikakati. "Hakuna teknolojia inayofanana na **Iron-Dome**duniani," alisema Steinitz...
  9. polokwane

    JamiiForums Tanzania BASATA mfumo wenu wa AMIS haufunguki karibu wiki ya pili sasa na watu wanashindwa kulipia leseni au mmeminya makusudi kuna rushwa hukoo!

    Nchi hì hata kama utakuwa na moyo wa kulipa kodi na mapato kwa hiyari bado utakumbana na changamoto tu za kukufanya uachane na mpango huo, ukitaka kulipia leseni za sanaa na saloon unalazimika kuwa na namba kutoka BASATA ambazo itazipata kwenye mfumo wao wa AMIS ,lakini cha ajabu mfumo wao huo...
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Muundo na Mfumo wa kiutawala wa CCM ni wa Milele

    Hii ikimaanisha, kamwe haiwezekani CCM kushindwa uchaguzi wowote itakaoshiriki hasa kwenye nafasi za kitaifa, na wala kamwe haiwezekani uongozi wake kupinduliwa na vibaraka wa ndani au nje ya CCM yenyewe. Ni mfumo imara na madhubuti sana wa kiutawala wa milele. Na ndio maana mpaka leo hakuna...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ni hatari sana kiusalama kwa watekaji na genge lao kuendelea kutumia "Plate Number" zisiofuata mfumo rasmi wa nchi

    Maana yake Kuna Ombwe kubwa linatengenezeka . Sina Uhakika Tena Kama Askari Barabarani wanaweza Kuyasimamisha Magari yenye hizi namba. Hawawezi kwa sababu Vichwani mwao na wao wanaamini ni ya Akina Abduli. Kiasi kwamba huu uwazi , Umetengeneza Mazingira Mazuri kwa WATU WABAYA . Leo hiii...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma ya kuuza na kununua madeni ya mikopo ya Watumishi katika mfumo wa ESS, iruhusiwe

    Jambo la kushangaza ni kuwa mfumo wa ESS unashindwa kutuhudumia upande wakuuza mikopo, uhuru wa kuchagua benki ni wa wazi na riba zinaonekana, tunaiomba Serikali imalizie ama i-activate mfumo wa kuuza na kununua madeni (loan takeover). Tunajua ni njama za benki zinaogopa kupoteza wateja, hivyo...
  13. Marcovicsavic

    JamiiForums Tanzania Unafanya biashara gani , je unahitaji mfumo kutunza taarifa

    Habari za leo wandugu kijana wenu nime rudi , Nina mifumo mingi y kutunza rekodi za biashara kama Mining Ofice management office Spare Store Management Systerm Loan Ofice Managenent System POS for supermarket and all size shop Nakadhalka Je unahitaji mfumo wowote ambahaupo hapo na una miss...
  14. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Mfumo wa elimu wa Tanzania hauweleki Wala Hauna manufaa Kwa watanzania walio wengi kijana anasoma Hadi ngazi ya degree lakini hajui afanye nini Baada ya hapo Wataalamu wanasema huo mfumo tulitengenezewa na Wazungu Ili tuwe tegemezi Na ndio maana wametuandikia katika vitabu vyao jinsi...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo cha T.I.A inatunyanyasa Wanafunzi tunaotumia mfumo wa zamani chuoni hapo

    Tangu mwaka wa masomo ulipoanza mwezi November 2025, baadhi ya wanafunzi TUNAOTUMIA MFUMO wa ZAMANI wa chuo hicho, tumekumbana na changamoto kadhaa na hatupati msaada kokote tunakokwenda. Kwanza kabisa, Account zetu za uanafunzi zimezuiliwa, huwezi kuiona account yako kwenye kifaa chako kama...
  16. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Je, Mfumo wa IDRSA na Website ya TRA havipo hewani?

    TRA Tanzania Kuna nini?Tovuti yenu pamoja na mfumo wa IDRSA haufikiki.Vp Shida ni nini?
  17. M

    JamiiForums Tanzania Ado: Tanzania kuna mfumo ambapo dola ina mkono mrefu kuamua mwelekeo wa kisiasa

    Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu akizungumza na Wasafi TV amesema demokrasia yetu nchini, mgombea pekee hatoshi kujipanga kushinda ubunge, bali dola ndio inaamua nani atangazwe mshindi.
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania Napinga pendekezo la tume ya Jaji Chande la kurudisha na kurasimisha mfumo wa nyumba kumi, haufai

    Jaji Chande katika mapendekezo yake ya kuimarisha usalama na uzalendo alikuwa anaongea mambo ya ajabu ajabu sana ikiwemo kuhakikisha vijana wote wanaenda JKT na kurudisha na kuimarisha mfumo wa nyumba kumi. Sababu alizozitoa ni za ajabu sana , zisizo na mashiko kama sio za uongo, kwamba eti...
  19. Poor Brain

    JamiiForums Tanzania Money sunction effector (MSE) ni suluhisho la ajira kwa vijana hapa Tanzania

    Habari wakuu Natumai wote humu ndani ni wazima wa afya kabisa. Week mbili hizi nimefanya research ambayo naimani kama ikifanyiwa kazi basi tunaweza pata matokeo chanya kwa taifa letu na hata tutajikomboa katika wombi la ukosefu wa ajira kwa vijana na umaskini kwa ujumla. Nitangulize pia...
  20. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Kulikuwa na mfumo 'kompyuta mpakato' wa kuchukua Takwimu za kura

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, Akifanya Mahojiano na BBC Aprili 24, 2026
Back
Top Bottom