Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Wabunge wanamageuzi wa siku nyingi nchini wamegoma kuhama CHADEMA sasa wameamua kushughulika na Mbowe na vijana wake. Nasikia harufu ya Damu ndani ya CHADEMA
Sikiliza sauti ya Mbunge Komu na Kubenea wakijadili.
Wapenda mabadiliko wote wanapaswa kuwaunga mkono wabunge hawa. Wasiojielewa wataaminishwa kuwa hawa ni mamluki
Sikiliza sauti ya Mbunge Komu na Kubenea wakijadili.
Wapenda mabadiliko wote wanapaswa kuwaunga mkono wabunge hawa. Wasiojielewa wataaminishwa kuwa hawa ni mamluki