Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Mwenyekiti wa vijana wa Chadema (BAVICHA) ndugu Ole Sosopi amesema anashangaa Serikali imemkomalia Mbowe tu kuandaa uchaguzi wa mwenyekiti mpya wa Chadema..amehoji yafuatayo;
Je, mbona chama cha Cuf mwenyekiti wake ni Lipumba ana miaka dahari yuko pale??
Je, mbona NCCR mwenyekiti wake (Mbatia) ana miaka kibao hapo hammsumbui??
Je, Mbona Cheyo na lichama lake mpaka leo anajulikana ni mwenyekiti? kwanini CHADEMA?
Kwanini Chadema tu?
inakera sana!
Why Mbowe?
----
Pia soma
Je, mbona chama cha Cuf mwenyekiti wake ni Lipumba ana miaka dahari yuko pale??
Je, mbona NCCR mwenyekiti wake (Mbatia) ana miaka kibao hapo hammsumbui??
Je, Mbona Cheyo na lichama lake mpaka leo anajulikana ni mwenyekiti? kwanini CHADEMA?
Kwanini Chadema tu?
inakera sana!
Why Mbowe?
----
Pia soma
Msajili aipa CHADEMA mpaka Jumatatu kupeleka ratiba ya Mkutano Mkuu wa kuchagua Viongozi wao
Kwa hili msajili kakosea timing, huenda Ni kweli chadema wana makosa, kwa sasa issue Ni uchaguzi Wa serikali za mitaa.Alipaswa kusubiri kwanza.Huyu msajili Ni tatizo.. Hajakosea muda wa uongozi wa chadema uliisha September 14 msajili awasubiri Hadi lini? Walitakiwa September 14 Wawe wamefanya...
www.jamiiforums.com