johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,744
- 141,608
Msafara ulioondoka bungeni jijini Dodoma ambapo Kiongozi wa Upinzani bungeni hakuonekana uliwajumuisha Waziri mkuu mh Majaliwa, Spika wa bunge mh Ndugai, Waziri Mwakyembe na mbunge Musukuma.
Kadhalika safari hiyo ilimuhusisha pia Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru ambaye aliomba kujumuika nao kama mdau wa sanaa.
Viongozi hao walikuja kwa dharura jijini Dsm kujumuika na wasanii katika Kongamano la mwalimu Nyerere.
KUB Mbowe asiache kutumia fursa kama hizi kwani yeye ni miongoni mwa viongozi wakuu watatu pale bungeni.
Kadhalika Chadema ina wabunge maarufu kama Sugu na Prof Jay ambao ni wasanii, pia imewahi kuwa na wanachama wasanii maarufu kama Wema Sepetu na aunty Ezekiel.
Maendeleo hayana vyama!
Kadhalika safari hiyo ilimuhusisha pia Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru ambaye aliomba kujumuika nao kama mdau wa sanaa.
Viongozi hao walikuja kwa dharura jijini Dsm kujumuika na wasanii katika Kongamano la mwalimu Nyerere.
KUB Mbowe asiache kutumia fursa kama hizi kwani yeye ni miongoni mwa viongozi wakuu watatu pale bungeni.
Kadhalika Chadema ina wabunge maarufu kama Sugu na Prof Jay ambao ni wasanii, pia imewahi kuwa na wanachama wasanii maarufu kama Wema Sepetu na aunty Ezekiel.
Maendeleo hayana vyama!