Tofauti na CUF, waasisi wa Chadema hawakuwa wanasiasa bali wafanyabiashara wasio na lengo la kushika dola. Mbowe ni mtu sahihi kukiongoza

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,919
141,885
Maneno hayo yamesemwa na mwanasiasa mstaafu Mzee Mgaya kwamba waasisi wa CUF wakina mzee Mapalala (RIP) ndio walikuwa na malengo ya kushika dola tofauti na wenzao wa NCCR - Mageuzi na Chadema.

Mzee Mgaya amenihabarisha kuwa ukiyaelewa kwa makini malengo ya waasisi wa Chadema utakubali pasipo shaka kuwa Mbowe ndio mtu pekee mwenye sifa za kukiongoza chama hicho kwa sasa.

Waasisi wa Chadema wakina mzee Mtei, Bob Makani, Ndesamburo na Shanga walikuwa ni wafanyabiashara makini wakati wanaasisi chama chao na walikuwa wanaziba pengo lililoachwa na CCM ambacho ni chama cha wakulima na wafanyakazi anafafanua Mgaya.

Wengi walimshangaa Mbowe alivyomleta Lowassa kugombea CCM lakini ni ukweli ulio wazi Mbowe alijua fika kuwa Lowassa hawezi kushinda kama ambavyo hata Dr Slaa asingeshinda ila Freeman aliuangalia uchaguzi wa 2015 kwa jicho la kibiashara zaidi, ananieleza mzee Mgaya.

Kwa muundo wa Chadema na katiba yao ilivyo si rahisi kumtoa Mbowe madarakani hadi atakapopenda mwenyewe na hao makamanda wao wakilazimisha kumtoa basi chama hichi kitakufa kwani hakuna Chadema bila mzee Mtei na mh Mbowe, amemalizia mstaafu huyu wa siasa za Tanzania mzee Mgaya.

Maendeleo hayana vyama!
 
S
Maneno hayo yamesemwa na mwanasiasa mstaafu Mzee Mgaya kwamba waasisi wa CUF wakina mzee Mapalala (RIP) ndio walikuwa na malengo ya kushika dola tofauti na wenzao wa NCCR - Mageuzi na Chadema.

Mzee Mgaya amenihabarisha kuwa ukiyaelewa kwa makini malengo ya waasisi wa Chadema utakubali pasipo shaka kuwa Mbowe ndio mtu pekee mwenye sifa za kukiongoza chama hicho kwa sasa.

Waasisi wa Chadema wakina mzee Mtei, Bob Makani, Ndesamburo na Shanga walikuwa ni wafanyabiashara makini wakati wanaasisi chama chao na walikuwa wanaziba pengo lililoachwa na CCM ambacho ni chama cha wakulima na wafanyakazi anafafanua Mgaya.

Wengi walimshangaa Mbowe alivyomleta Lowassa kugombea CCM lakini ni ukweli ulio wazi Mbowe alijua fika kuwa Lowassa hawezi kushinda kama ambavyo hata Dr Slaa asingeshinda ila Freeman aliuangalia uchaguzi wa 2015 kwa jicho la kibiashara zaidi, ananieleza mzee Mgaya.

Kwa muundo wa Chadema na katiba yao ilivyo si rahisi kumtoa Mbowe madarakani hadi atakapopenda mwenyewe na hao makamanda wao wakilazimisha kumtoa basi chama hichi kitakufa kwani hakuna Chadema bila mzee Mtei na mh Mbowe, amemalizia mstaafu huyu wa siasa za Tanzania mzee Mgaya.

Maendeleo hayana vyama!
Samahani kwa swali hili:
Kati ya Mwalimu Nyerere na Mzee Mgaya nani ana IQ kubwa kuliko mwingine?
 
Vipi mafanikio ya CUF ukilinganisha na CDM, CCM wamekiua CUF kirahisi kabisa, mwambie huyo mzee mgaya arudi shule akadai chenji kwasababu walimwibia walipomwambia amepata elimu.
 
Maneno hayo yamesemwa na mwanasiasa mstaafu Mzee Mgaya kwamba waasisi wa CUF wakina mzee Mapalala (RIP) ndio walikuwa na malengo ya kushika dola tofauti na wenzao wa NCCR - Mageuzi na Chadema.

Mzee Mgaya amenihabarisha kuwa ukiyaelewa kwa makini malengo ya waasisi wa Chadema utakubali pasipo shaka kuwa Mbowe ndio mtu pekee mwenye sifa za kukiongoza chama hicho kwa sasa.

Waasisi wa Chadema wakina mzee Mtei, Bob Makani, Ndesamburo na Shanga walikuwa ni wafanyabiashara makini wakati wanaasisi chama chao na walikuwa wanaziba pengo lililoachwa na CCM ambacho ni chama cha wakulima na wafanyakazi anafafanua Mgaya.

Wengi walimshangaa Mbowe alivyomleta Lowassa kugombea CCM lakini ni ukweli ulio wazi Mbowe alijua fika kuwa Lowassa hawezi kushinda kama ambavyo hata Dr Slaa asingeshinda ila Freeman aliuangalia uchaguzi wa 2015 kwa jicho la kibiashara zaidi, ananieleza mzee Mgaya.

Kwa muundo wa Chadema na katiba yao ilivyo si rahisi kumtoa Mbowe madarakani hadi atakapopenda mwenyewe na hao makamanda wao wakilazimisha kumtoa basi chama hichi kitakufa kwani hakuna Chadema bila mzee Mtei na mh Mbowe, amemalizia mstaafu huyu wa siasa za Tanzania mzee Mgaya.

Maendeleo hayana vyama!

..sasa mbona na CCM imekuwa chama cha MATAJIRI WAKUBWA / MAFISADI na kila inapofika wakati wa uchaguzi ndio wanaokifadhili chama?
 
Maneno hayo yamesemwa na mwanasiasa mstaafu Mzee Mgaya kwamba waasisi wa CUF wakina mzee Mapalala (RIP) ndio walikuwa na malengo ya kushika dola tofauti na wenzao wa NCCR - Mageuzi na Chadema.

Mzee Mgaya amenihabarisha kuwa ukiyaelewa kwa makini malengo ya waasisi wa Chadema utakubali pasipo shaka kuwa Mbowe ndio mtu pekee mwenye sifa za kukiongoza chama hicho kwa sasa.

Waasisi wa Chadema wakina mzee Mtei, Bob Makani, Ndesamburo na Shanga walikuwa ni wafanyabiashara makini wakati wanaasisi chama chao na walikuwa wanaziba pengo lililoachwa na CCM ambacho ni chama cha wakulima na wafanyakazi anafafanua Mgaya.

Wengi walimshangaa Mbowe alivyomleta Lowassa kugombea CCM lakini ni ukweli ulio wazi Mbowe alijua fika kuwa Lowassa hawezi kushinda kama ambavyo hata Dr Slaa asingeshinda ila Freeman aliuangalia uchaguzi wa 2015 kwa jicho la kibiashara zaidi, ananieleza mzee Mgaya.

Kwa muundo wa Chadema na katiba yao ilivyo si rahisi kumtoa Mbowe madarakani hadi atakapopenda mwenyewe na hao makamanda wao wakilazimisha kumtoa basi chama hichi kitakufa kwani hakuna Chadema bila mzee Mtei na mh Mbowe, amemalizia mstaafu huyu wa siasa za Tanzania mzee Mgaya.

Maendeleo hayana vyama!
Mwambie Mzee Mgaya shamba lake la Numbu alilolitelekeza kule njoomlole linamsubiri.Manake limeota nyasi balaaa
 

..hivi chama cha siasa kikiasisiwa na wafanyabiashara basi kinakuwa hakina malengo ya kushika dola?

..mbona walioasisi TANU walikuwa ni wafanyabiashara wa Darisalama? Je, TANU ilikuwa haina lengo la kushika dola?

..nadhani Mzee Mgaya anazeeka vibaya.
 
Back
Top Bottom