Kama Mbowe kama CCM, yupi anastahili?

Kama Mbowe kama CCM, yupi anastahili?

Frediluu

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
1,075
Reaction score
266
Uchaguzi wa CDM upo karibuni na kuna wanodai eti Mbowe apishe damu mpya, labda sawa na labda si sawa maana ni miaka 10 tu tangu awe mwenyekiti.

Uchaguzi nkuu nao upo karibuni kwa mujibu wa muhula na kuna wanodai eti CCM ipishe damu mpya maana imezeeka, miaka 54 au zaidi hivi,

Sasa katu yao yupi anastahili kikombe hiki akinywee????

Naomba kutoa hoja
 
Demokrasia ndani ya Chadema ni ya kushangaza mwenyekiti yuleyule miaka nenda rudi. Heri CCM wao wanabadilisha mwenyekiti kila baada ya miaka kumi. Vyama vyote vya upinzani viongozi wakishakamata madaraka kutoka hadi wafukuzwe
 
Yani ndege imekamatwa kwasababu ya madeni we unaongelea habari za mbowe?
 
Back
Top Bottom