MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Vyakula ndiyo vinaanza Kupikwa sasa tafadhali wengine hatujaalikwa ila kuna sehemu kadhaa dalili zote za Pilau zinajionyesha je, tutumie Mbinu gani ili tulazimishe Kualikwa?
Kama sijaalikwa Leo au hata sijatengeneza Mazingira ya Kualikwa Mchana wangu na Jioni yangu naona itakuwa mbaya na nitaishia tu kutizama Mijusi inayokatiza kila mara kwa Kukimbizana katika Kuta na Kenchi za Chumba changu.
Na kuna Nyumba naiona kabisa mbele yangu Chakula kinapikwa na najua Kitabaki tu na Kutupwa hivyo nataka Kutengeneza Mazingira nialikwe ili nikienda nichote kabisa Chakula cha Leo hadi Jumapili kabla ya Kuonana na Mhindi wangu Jumatatu.
Wazee wa Kuzamia Msaada tafadhali.
Kama sijaalikwa Leo au hata sijatengeneza Mazingira ya Kualikwa Mchana wangu na Jioni yangu naona itakuwa mbaya na nitaishia tu kutizama Mijusi inayokatiza kila mara kwa Kukimbizana katika Kuta na Kenchi za Chumba changu.
Na kuna Nyumba naiona kabisa mbele yangu Chakula kinapikwa na najua Kitabaki tu na Kutupwa hivyo nataka Kutengeneza Mazingira nialikwe ili nikienda nichote kabisa Chakula cha Leo hadi Jumapili kabla ya Kuonana na Mhindi wangu Jumatatu.
Wazee wa Kuzamia Msaada tafadhali.