Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Kuna mwaka Kongo walikwenda kombe la dunia na wachawi wote wa Kongo ,wakacheza na FRANCE walipigwa goli sita kwa mtungi hivyo uchawi hauna nafasi
Kuna mwaka Kongo walikwenda kombe la dunia na wachawi wote wa Kongo ,wakacheza na FRANCE walipigwa goli sita kwa mtungi hivyo uchawi hauna nafasi
Naunga mkono hojaKivyovyote vile,hata ikibidi nafsi itoke ni"Ama zao ama zetu"
Huyu Kitenge hicho anachokitafuta atakipata soon. Hivyo vijisenti anavyotupiwa na HSC vitamtokea puani shauri yake.Nilikuwa sijaona, kumbe imerekodiwa na Kitenge TV
Michezo ya kina manara hiiSidhani na wala sifikirii kama tukio hilo linahusiana moja kwa moja na mechi ya Simba
Ilikuwa ni mwaka 1974 katika kombe la dunia lililofanyika Ujerumani Magharibi, Zaire ilienda na Waganga 28 lakini walipigwa 9-0 na YugoslaviaKuna mwaka Kongo walikwenda kombe la dunia na wachawi wote wa Kongo ,wakacheza na FRANCE walipigwa goli sita kwa mtungi hivyo uchawi hauna nafasi
Inaelekea amepiga kambi Kwa Mkapa ili kupata vijimambo kama hiviHuyu Kitenge hicho anachokitafuta atakipata soon. Hivyo vijisenti anavyotupiwa na HSC vitamtokea puani shauri yake.
Wanaume wa Dar haoYeye hamkamati wala hampigi, ila anawaambia wenzake mkamate huyo piga huyo! 😂😂😂
Yeye hamkamati wala hampigi, ila anawaambia wenzake mkamate huyo piga huyo!
Mkuu rekebisha picha yako bhana
😀😁😁😀 mbavu zangu huwiiiIlikuwa ni mwaka 1974 katika kombe la dunia lililofanyika Ujerumani Magharibi, Zaire ilienda na Waganga 28 lakini walipigwa 9-0 na Yugoslavia