mbinu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Zanzibar 2020 Mwaka 2015, Jecha Salim Jecha alifuta matokeo, mwaka huu wa 2020 watakuja na mbinu gani?

    Wadau, hili ndio swali tunalopaswa kujiuliza kwa kuzingatia yaliyotokea mwaka 2015 ambapo matokeo ya uchaguzi yalifutwa na Bwana Jecha ambae ndio alikuwa kiongozi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Binafsi na ni imani yangu tuko wengi tunaoamini kuwa hata mwaka huu Maalim Seif atashinda...
  2. sky soldier

    Mbinu ipi sahihi kuwasaidia ndugu? Ukiwasaidia "anatunyanyasa", ukiwanyima "hatujali"

    Ndivyo hali ilivyo kwa wengi wanaotwgemewa, Usidhani ya kwamba ukisaidia basi ndugu hufurahi, baadhi hujenga picha ya kwamba unawanyanyasa kwasababu wewe ndie mtoaji. Pia ukikata msaada kabisa tegemea vituko zaidi maana utaonekan ahuna ushirikiano. Haya mambo yanatokea sana kwenye koo ambazo...
  3. PAZIA 3

    Je, mbinu inayotumiwa na CCM kwa kipindi hiki ya kukaa kimya itakisaidia chama hicho?

    Nipende tu kuwakumbusha kauli ya Katibu mkuu CCM kwamba, watafanya kampeni kitanda kwa kitanda, na ndicho kinachoendelea, wako wanashugurika na kushawishi wanawake na wazee, walala hoi wasiokuwa na ajira na maskini kabisa. Mfano, kupitia TASAF, Sasa hivi majina yameongezwa, haijalishi...
  4. PAZIA 3

    Je, mbinu inayotumiwa na CCM kwa kipindi hiki ya kukaa kimya itakisaidia chama hicho?

    Nipende tu kuwakumbusha kauli ya Katibu mkuu CCM kwamba, watafanya kampeni kitanda kwa kitanda, na ndicho kinachoendelea, wako wanashugurika na kushawishi wanawake na wazee, walala hoi wasiokuwa na ajira na maskini kabasa. Mfano, kupitia TASAF, Sasa hivi majina yameongezwa, haijalishi unakipato...
  5. Tony254

    Likija kwenye suala la miundo mbinu, University of Ghana imeshinda university yoyote ya Kenya au Tanzania

    University of Nairobi imeishinda university of Ghana kimasomo, (tukizingatia ranking) lakini university of Ghana ina miundo mbinu (infrastructure) ya ajabu. Imejengwa ikajengeka. Ina majengo mengi na yenye hadhi ya juu. Hakuna university hapa A.M imeikaribia kwa majengo.
  6. britanicca

    Uchaguzi 2020 Wanaodhani ACT-Wazalendo na CHADEMA kushindwa kusimamisha mgombea mmoja ni uchu wa madaraka mnakosea, ni mbinu sahihi kuwabana NEC na CCM

    Anayeandika hapa ni YEYE BRITANICCA Wavivu wa Fikra wanadhani Imekuwa Ngumu ACT na Chadema Kuungana kisa uchu wa madaraka nani agombee, sasa nawafungua Bongo zenu Hakuna ugumu kuna mbinu NEC lazima tuwapime wanajifanya wajanja wakiengua mgombea mmojawapo kwa ukatili, wananchi wanahamia upande...
  7. YEHODAYA

    Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

    Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha Sasa Lissu...
  8. matunduizi

    Wakuu katika ofisi kama hii tunatumia mbinu gani kutoboa

    Mwanzoni nilikuwa naona napambana na watafutaji wenzagu hapa. Mpambano ulikuwa mkali maana inafika kipindi hupewi taarifa juu ya jambo ulilotakiwa kutekeleza alafu Baadae Boss anapigiwa kuwa jamaa kakukomea kufanya ulichoagiza. Mnakubaliana jambo ukianza kutekeleza tu, jamaa wanaibuka kusema...
  9. Mystery

    Uchaguzi 2020 Inawezekanaje miundo mbinu iliyojengwa na pesa za watanzania wote, ionekane kuwa imejengwa na CCM pekee?

    Turufu kubwa inayotumiwa na wanaCCM, ili Rais Magufuli apewe tena miaka mingine 5 ya kutawala nchi hii, ni kuwa Rais huyo amejenga reli ya SGR, amejenga mafly overs, amejenga mabarabara ya lami, anajenga bwawa la umeme katika mto wa Rufiji Nimekuwa nikijiuliza ni kwanini juhudi zinazofanywa na...
  10. Influenza

    Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

    Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa...
  11. S

    UCHUNGUZI: Mbinu iliyotumika kuwapa rushwa wajumbe wa CCM

    Baada ya kusikia na kuona malalamiko mengi Sana ya watia nia ndani ya ccm kuwa walioshinda kura za maoni ni wenye fedha nyingi, Sexless unit iliingia majimboni kufanya utafiti. Tulitaka kujiridhisha juu ya maswali yafuatayo;- 1. Je, rushwa ilitumika ktk mchakato wa kura za maoni ndani ya ccm...
  12. Kitabu

    Kunguru na Mwewe wanashambulia sana vifaranga wangu

    Wakuu kunguru na mwewe wanashambulia sana vifaranga wangu wa kienyeji. Je kuna mbinu yeyote ya kudhibiti? Msaada tafadhali.
  13. Justine Kakoko

    Mbinu 20 za kumfanya mtoto aweze kuongea mapema

    1. Kujiongelesha mwenyewe. Jiongeleshe mtoto akiwa karibu juu ya mambo unayoyafanya. Mfano, naosha vyombo sasa, napika chakula, nafagia nyumba. 2. Simama, mpe mtoto muda wa kujibu. Unapozungumza na mtoto, kaa kimya, mpe nafasi ya kujibu. Akishindwa kujibu msaidie kujibu kisha mtake arudie...
  14. Miss Zomboko

    Wazazi 35 kutoka Tunduru wamekatwa baada ya kukutwa wakiwafundisha watoto chini ya miaka 8 mbinu za kufanya tendo la ngono

    JUMLA ya wazazi 35 kutoka kata ya Nalasi wilayani Tunduru wamekatwa baada ya kukutwa wakiwafundisha watoto wa kike walio chini ya umri wa miaka 8 mbinu za kuishi na wanaume na kufanya tendo la ngono maarufu kama msondo. Mkuu wa wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro ambaye ni Mwenyekiti wa kamati...
  15. jiamini360

    Majukumu na kazi za Meya/ Mwenyekiti wa Halmashauri/ Diwani/ Wenyeviti wa Vijiji, mitaa na Vitongoji

    UTANGULIZI 1.1 Kwa mujibu wa ibara ya 145 na 146 Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali za Mitaa ni vyombo vya haki na vyenye mamlaka ya kushiriki na kushirikisha wananchi katika kupanga na kutekeleza shughuli za maendeleo na utoaji wa huduma katika sehemu zao. Serikali za Mitaa...
  16. Izzi

    Uzi maalum wa kujuzana namna ya kufanya chochote

    Unataka kujua/ kufahamu namna ya kufanya jambo fulani? Au unafahamu namna ya kufanya jambo fulani? Karibu tushirikiane, tupeane ma-tricks na solutions kwaajili ya kurahisisha maisha. Na mimi naanza kama ifuatavyo: NAMNA YA KUTUMIA BARUA PEPE (eMail) MOJA KWA AKAUNTI NYINGI ZA TWITTER. Kama ni...
  17. B

    Nitumie mbinu gani kumtoa bikra?

    Samahani kwa kuwachosha wanajamvi, naomba ushauri wa mawazo ambao unaweza kunisaidia mimi na mwenza wangu. Nilikutana na binti ambaye bado ni bikira na nimefanya maamuzi awe wangu wa maisha. Shida iliyopo ni muoga sana kutolewa ile kitu kwa muda wa miezi mitano sasa nimekuwa nikipress juu juu...
  18. Mtwara Smart

    Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

    Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema. Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician...
  19. Mutensa

    Msaada: Mbinu Kufukuza Nyoka mashambani

    Wapendwa, Katika jitihada za kupambana na umaskini, nilichukua kakichaka ambako nakasafisha kwa ajili ya shamba na shughuli za ufugaji. Changamoto niliyokutana nayo ni kuwa: 1. Kuna vichaka vingi vinavyozunguka eneo hili kiasi kwamba hata nikisafisha bado majirani zangu wanabaki na vichaka 2...
  20. D

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    Wanandugu, naombeni msaada tafadhali. Mimi ni kijana mwenzenu nimebahatika kuchanga pesa zangu na nimefanikiwa kupata milioni moja na nusu; nataka kufungua biashara ya kuonesha mpira kwa jijini Dar (hasa mpira wa Ligi Kuu ya Uingereza). Je, vipi ni biashara nzuri kufanya au niachane nayo...
Back
Top Bottom