Akabi kemanya
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 226
- 346
Kama bandiko linavyojieleza kumswaga mwizi kama kuku nikumuongezea umakini wa kuiba
Niwazi kuwa wote tumesikia masikitiko ya mama dhidi ya madudu yaliyo ibuliwa kwenye lipoti ya mkaguzi w hesabu za serikali
Mama analalamika mama anaudhunishwa na huu ujambazi unaofanywa kwenye hii miladi ya serikali
Ila kimsingi kilio cha mama nikama kilio cha samaki ndani ya bahari, huwezi kutatua tatizo kwa njia ileile iliyo feli jana
Mwizi wa kuku au mbuzi ni mwizi nijizi jambazi kama majambazi wengine, hivyo kimsingi hawa majambazi wa pesa za umma wanatakiwa washughulikiwe kama majambazi wengine wanavyo shughulikiwa huku mtaani
Nahapo walau ndipo tatizo hili la ujambazi wa mali za umma litapunguwa, lakini kwa kuwa serikali yenyewe imebariki jambo lenyewe tena ikalibatiza jina zuri kabisa eti ufisadi badala ya ujambazi
Leo mama anawaambia wezi eti Niheri watupishe maana hawana sifa tena, niseme tu kauli ya mama inawa imarisha kimbinu majambazi hawa na kuwaongezea kasi ya kuiba na kupanua mtandao wao
Niwazi kuwa wote tumesikia masikitiko ya mama dhidi ya madudu yaliyo ibuliwa kwenye lipoti ya mkaguzi w hesabu za serikali
Mama analalamika mama anaudhunishwa na huu ujambazi unaofanywa kwenye hii miladi ya serikali
Ila kimsingi kilio cha mama nikama kilio cha samaki ndani ya bahari, huwezi kutatua tatizo kwa njia ileile iliyo feli jana
Mwizi wa kuku au mbuzi ni mwizi nijizi jambazi kama majambazi wengine, hivyo kimsingi hawa majambazi wa pesa za umma wanatakiwa washughulikiwe kama majambazi wengine wanavyo shughulikiwa huku mtaani
Nahapo walau ndipo tatizo hili la ujambazi wa mali za umma litapunguwa, lakini kwa kuwa serikali yenyewe imebariki jambo lenyewe tena ikalibatiza jina zuri kabisa eti ufisadi badala ya ujambazi
Leo mama anawaambia wezi eti Niheri watupishe maana hawana sifa tena, niseme tu kauli ya mama inawa imarisha kimbinu majambazi hawa na kuwaongezea kasi ya kuiba na kupanua mtandao wao