gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,413
- 4,589
Kuna mjadala unaendelea kwamba Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya Chadema, kwahiyo akipewa Dkt. Tulia, Mbeya itasonga mbele.
Kuna wemgine wanapinga wanasema kama suala ni Chadema mbona Arusha, Moshi, Kawe, Ubungo nk kuna miradi mikubwa tu imejengwa na serikali wakati wabunge wa hapo ni Chadema? Mbeya inakwama wapi?
Awamu hii ukitoa Dar es Salaam, maendeleo yote yameelekezwa Mwanza kwa kiasi kikubwa, Arusha na Dodoma
Kuna wemgine wanapinga wanasema kama suala ni Chadema mbona Arusha, Moshi, Kawe, Ubungo nk kuna miradi mikubwa tu imejengwa na serikali wakati wabunge wa hapo ni Chadema? Mbeya inakwama wapi?
Awamu hii ukitoa Dar es Salaam, maendeleo yote yameelekezwa Mwanza kwa kiasi kikubwa, Arusha na Dodoma