Hivi ni kweli Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya CHADEMA au kuna jambo limejificha?

gwa myetu

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
4,413
4,589
Kuna mjadala unaendelea kwamba Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya Chadema, kwahiyo akipewa Dkt. Tulia, Mbeya itasonga mbele.

Kuna wemgine wanapinga wanasema kama suala ni Chadema mbona Arusha, Moshi, Kawe, Ubungo nk kuna miradi mikubwa tu imejengwa na serikali wakati wabunge wa hapo ni Chadema? Mbeya inakwama wapi?

Awamu hii ukitoa Dar es Salaam, maendeleo yote yameelekezwa Mwanza kwa kiasi kikubwa, Arusha na Dodoma
 
Maendeleo kwa mkoa wa mbeya hayajafika, sababu kubwa ni priorities tu na wala sio upinzani. Majimbo mengi tu ya CCM hayana maendeleo...ni vile tu serikali imetoa kipaumbele kuendeleza baadhi ya majiji na nafikiri mengine yatafuatia.

Na pia kuhusu upinzani, wananchi wa Mbeya wameuweka madarakani kwa sababu tu hawaitaki CCm...hata likigombea gogo kwa ticket ya chadema na MTU kwa ticket ya CCM watu watalipigia gogo, hata akiwa mgombea mmoja tu wa CCM watu watampigia kura za hapana.

Wana CCM wa Mbeya hawana umoja, wana wivu wao kwa wao, hawana ushirikiano.
 
Kuna mjadala unaendelea kwamba Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya Chadema, kwahiyo akipewa Dkt. Tulia, Mbeya itasonga mbele.

Kuna wemgine wanapinga wanasema kama suala ni Chadema mbona Arusha, Moshi, Kawe, Ubungo nk kuna miradi mikubwa tu imejengwa na serikali wakati wabunge wa hapo ni Chadema? Mbeya inakwama wapi?

Awamu hii ukitoa Dar es Salaam, maendeleo yote yameelekezwa Mwanza kwa kiasi kikubwa, Arusha na Dodoma
Miradi ile ya barabara za Afrika mashariki Arusha ilishasimama hela imeelekezwa Mwanza na Geita.
 
.
FB_IMG_15924052142673009.jpg
 
Upinzani wetu ambao tumeletewa na Wazungu, hawakutufunda vizuri kuelewa maana ya upinzani, kuna Wakati viongozi wetu hudhani, mtu akiwa mpinzani basi unakuwa ni adui

Na unapokuwa mpinzani, basi pia unawaona walio kwenye Chama kingine nao ni maadui

Siasa yetu Kwa asilimia kubwa iko hivo, na ndiyo maana unaweza kukuta maeneo ambayo yanaongozwa na wapinzani serikali inaweza kutokupeleka maendeleo huko, ingawa Kwa sasa ni kama kunajitihada kidogo zinaoeka

Wakati huohuo,wapinzani nao, kuponda sana tena Sana na ikiwezekana na matusi juu kuitukana Serikali hata mahali ambapo hakuna sababu ya Kufanya hivyo, IL mradi tu kuwepo huo uadui, kiasi ambacho hakina maana nawala hakitupi faida yoyote sisi wananchi

Kwani ukiwa mpinzani, haiwezekani ukawa rafiki na serikali? Je ukiwa ndio serikali haiwezekani Ku rafiki wa Vyama Vyote

Tunapaswa kuijenga siasa yetu huku tukijua, siasa si uadui, hoja ndio tuzishambulie Kwa nguvu, Ila Sisi tuwe Taifa moja, Inashindikana nini Mbowe kuwa rafiki wa Jobu

Magu na Lisu, Paul na Tindo, USR na masile nation n.k

Siasa zetu mbovu zinaanzia hapa hapa, watu kutojadiri hoja na badala yake kujadil mtu
 
Upinzani wetu ambao tumeletewa na Wazungu, hawakutufunda vizuri kuelewa maana ya upinzani, kuna Wakati viongozi wetu hudhani, mtu akiwa mpinzani basi unakuwa ni adui

Na unapokuwa mpinzani, basi pia unawaona walio kwenye Chama kingine nao ni maadui

Siasa yetu Kwa asilimia kubwa iko hivo, na ndiyo maana unaweza kukuta maeneo ambayo yanaongozwa na wapinzani serikali inaweza kutokupeleka maendeleo huko, ingawa Kwa sasa ni kama kunajitihada kidogo zinaoeka

Wakati huohuo,wapinzani nao, kuponda sana tena Sana na ikiwezekana na matusi juu kuitukana Serikali hata mahali ambapo hakuna sababu ya Kufanya hivyo, IL mradi tu kuwepo huo uadui, kiasi ambacho hakina maana nawala hakitupi faida yoyote sisi wananchi

Kwani ukiwa mpinzani, haiwezekani ukawa rafiki na serikali? Je ukiwa ndio serikali haiwezekani Ku rafiki wa Vyama Vyote

Tunapaswa kuijenga siasa yetu huku tukijua, siasa si uadui, hoja ndio tuzishambulie Kwa nguvu, Ila Sisi tuwe Taifa moja, Inashindikana nini Mbowe kuwa rafiki wa Jobu

Magu na Lisu, Paul na Tindo, USR na masile nation n.k

Siasa zetu mbovu zinaanzia hapa hapa, watu kutojadiri hoja na badala yake kujadil mtu
Serikali inapokuwa madarakani inawajibika kisheria kupeleka maendeleo kwa wananchi haijalishi mbunge wao ni wa chama gani, haijalishi mbunge wao anaiponda serikali au anaisifia.

Wananchi wanahaki ya kuilalamikia serikali na ikiwezekana kuiondoa pale inaposhindwa kutimiza matakwa yao.

Hakuna sheria yoyote inayoweka sharti kwa wananchi kuisifia serikali ili ipeleke miradi ya maendeleo kwao. Hivyo serikali kutegemea isifiwe ndiyo ipeleke maendeleo ni serikali iliyojaa wezi na washenzi.

Kazi ya upinzani siyo kuisifia serikali haijalishi inafanya vizuri au vibaya kazi ya upinzani ni kutoa mtazamo mbadala dhidi ya sera za serikali iliyopo madarakani ikiwezekana kuioponda kwa njia zote za kisiasa.

Hivyo yote ulichoandika hapo juu umeandika as if umejaza takataka kichwani na siyo ubongo.

Rudi tena kwenye darasa la civics
 
Serikali inapokuwa madarakani inawajibika kisheria kupeleka maendeleo kwa wananchi haijalishi mbunge wao ni wa chama gani, haijalishi mbunge wao anaiponda serikali au anaisifia.

Wananchi wanahaki ya kuilalamikia serikali na ikiwezekana kuiondoa pale inaposhindwa kutimiza matakwa yao.

Hakuna sheria yoyote inayoweka sharti kwa wananchi kuisifia serikali ili ipeleke miradi ya maendeleo kwao. Hivyo serikali kutegemea isifiwe ndiyo ipeleke maendeleo ni serikali iliyojaa wezi na washenzi.

Kazi ya upinzani siyo kuisifia serikali haijalishi inafanya vizuri au vibaya kazi ya upinzani ni kutoa mtazamo mbadala dhidi ya sera za serikali iliyopo madarakani ikiwezekana kuioponda kwa njia zote za kisiasa.

Hivyo yote ulichoandika hapo juu umeandika as if umejaza takataka kichwani na siyo ubongo.

Rudi tena kwenye darasa la civics
Mkuu asante, sasa Mbeya kuna hayo malalamiko, shida ni nini? Siasa mbovu au wanasiasa wa huko ni wabovu?
 
Mkuu asante, sasa Mbeya kuna hayo malalamiko, shida ni nini? Siasa mbovu au wanasiasa wa huko ni wabovu?
Awamu ya tano imeibua hizi siasa za kibaguzi na wamekuwa wakisema wazi wazi juu ya ubaguzi huu kwenye mikutano ya hadhara.

Wapinzani wangekuwa wanapigana serikali kwa magumu hoja yako ya uadui ingekuwa na maana lakini sasa wao hawana bajeti na serikali ndiyo yenye uamuzi hata akisifia kama hawataki kupeleka maendeleo kwa sababu yeye ni upinzani itakuwaje ?

Serikali inawajibika kupeleka maendeleo kwa wananchi bila ubaguzi wowote uwe wa dhahiri au wa kufikiria
 
Kuna mjadala unaendelea kwamba Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya Chadema, kwahiyo akipewa Dkt. Tulia, Mbeya itasonga mbele.

Kuna wemgine wanapinga wanasema kama suala ni Chadema mbona Arusha, Moshi, Kawe, Ubungo nk kuna miradi mikubwa tu imejengwa na serikali wakati wabunge wa hapo ni Chadema? Mbeya inakwama wapi?

Awamu hii ukitoa Dar es Salaam, maendeleo yote yameelekezwa Mwanza kwa kiasi kikubwa, Arusha na Dodoma
Mkoa gani umepewa maendeleo awamu ya tano zaidi ya chato iliyopelekewa maendeleo ya vitu?
 
Mkoa wa Mbeya na Mikoa mingine ya kusini hasa Lindi na Mtwara imesahaulika na serikali na ndiyo maana maendeo yake yako chini sana. Kwa ufupi Mkoa wa mbeya na wilaya zake ni maskini, serikali inapaswa kuuangalia kwa jicho la huruma maana hata wao ni Watanzania. Hakuna mradi wowote wa maana kule ukilinganisha na sehemu zingine, mji wa Mbeya ni aibu hata kuita jiji na kunasehemu Wilaya ya Rungwe wananchi walikuwa wanavuka mto mkubwa kwa kamba na miti mpaka mbunge wao alipojitolea kujenga daraja la kubabaisha kwakutumia pesa yake binafsi , kuna maeneo nchi hii hali kama ile ikionekana basi hatua huchukuliwa haraka sana. Wakati mikoa mingine ikipiga hatua kwenda mbele mbeya inapiga hatua kurudi nyuma.
 
Upinzani wetu ambao tumeletewa na Wazungu, hawakutufunda vizuri kuelewa maana ya upinzani, kuna Wakati viongozi wetu hudhani, mtu akiwa mpinzani basi unakuwa ni adui

Na unapokuwa mpinzani, basi pia unawaona walio kwenye Chama kingine nao ni maadui

Siasa yetu Kwa asilimia kubwa iko hivo, na ndiyo maana unaweza kukuta maeneo ambayo yanaongozwa na wapinzani serikali inaweza kutokupeleka maendeleo huko, ingawa Kwa sasa ni kama kunajitihada kidogo zinaoeka

Wakati huohuo,wapinzani nao, kuponda sana tena Sana na ikiwezekana na matusi juu kuitukana Serikali hata mahali ambapo hakuna sababu ya Kufanya hivyo, IL mradi tu kuwepo huo uadui, kiasi ambacho hakina maana nawala hakitupi faida yoyote sisi wananchi

Kwani ukiwa mpinzani, haiwezekani ukawa rafiki na serikali? Je ukiwa ndio serikali haiwezekani Ku rafiki wa Vyama Vyote

Tunapaswa kuijenga siasa yetu huku tukijua, siasa si uadui, hoja ndio tuzishambulie Kwa nguvu, Ila Sisi tuwe Taifa moja, Inashindikana nini Mbowe kuwa rafiki wa Jobu

Magu na Lisu, Paul na Tindo, USR na masile nation n.k

Siasa zetu mbovu zinaanzia hapa hapa, watu kutojadiri hoja na badala yake kujadil mtu

Wengine tunajadili hoja na hatuungi mkono udhalimu wowote.
 
Kuna mjadala unaendelea kwamba Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya Chadema, kwahiyo akipewa Dkt. Tulia, Mbeya itasonga mbele.

Kuna wemgine wanapinga wanasema kama suala ni Chadema mbona Arusha, Moshi, Kawe, Ubungo nk kuna miradi mikubwa tu imejengwa na serikali wakati wabunge wa hapo ni Chadema? Mbeya inakwama wapi?

Awamu hii ukitoa Dar es Salaam, maendeleo yote yameelekezwa Mwanza kwa kiasi kikubwa, Arusha na Dodoma
Na kongwa je?
 
Kuna mjadala unaendelea kwamba Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya Chadema, kwahiyo akipewa Dkt. Tulia, Mbeya itasonga mbele.

Kuna wemgine wanapinga wanasema kama suala ni Chadema mbona Arusha, Moshi, Kawe, Ubungo nk kuna miradi mikubwa tu imejengwa na serikali wakati wabunge wa hapo ni Chadema? Mbeya inakwama wapi?

Awamu hii ukitoa Dar es Salaam, maendeleo yote yameelekezwa Mwanza kwa kiasi kikubwa, Arusha na Dodoma
Mbona hili Mwenyekiti wa UVCCM alishalitolea ushahidi hadharani , umeuliza majibu mkuu
 
Back
Top Bottom