Kutokana na hali ilivyo nchini kwa sasa, ni wazi kuwa Taifa letu limepitia kipindi kigumu kufuatia matukio ya Oktoba 29, 2025. Machafuko yaliyotokea yameacha majeraha ya kiroho, kihisia, na hata kimwili kwa watanzania wengi.
Ni kweli — kuna waliopoteza ndugu, marafiki, au watu wa karibu. Wapo...