Magari ya Toyota generation mpya mpya zinafanana sana kimuonekano. Unaweza usijue ni model gani ukiona picha kwa mbele

Magari ya Toyota generation mpya mpya zinafanana sana kimuonekano. Unaweza usijue ni model gani ukiona picha kwa mbele

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
33,543
Reaction score
96,716
Kama umefuatilia, generations mpya za Toyota kuanzia 2023 kuja mbele zimekua kama zinashare design language moja kwa mbele. Mfano:
IMG_8833.jpeg

Toyota Crown 2025

IMG_8834.jpeg

Lexus ES 350h 2025

IMG_8835.jpeg

Camry 2025
IMG_8836.jpeg

Prius 2025

Ata ukicheki baadhi ya crossovers/SUV kama nazo kwa mbele zinafanana design. Angalia mifano:

IMG_8837.jpeg

CH-R+ 2025

IMG_8838.jpeg

Urban Cruise 2025

IMG_8839.jpeg

Rav 4 GR 2025

Zingatia design ya taa, front lip na placement ya badge ya mbele, sijui ndio maboss mnataka ivyo au.

Ila sio mbaya kwa muonekano nzuri, ila sijui kuhusu kufanana kama good thing au wengine mnapenda uniqueness.
 
Kama umefuatilia, generations mpya za Toyota kuanzia 2023 kuja mbele zimekua kama zinashare design language moja kwa mbele. Mfano:
View attachment 3597884
Toyota Crown 2025

View attachment 3597888
Lexus ES 350h 2025

View attachment 3597889
Camry 2025
View attachment 3597890
Prius 2025

Ata ukicheki baadhi ya crossovers/SUV kama nazo kwa mbele zinafanana design. Angalia mifano:

View attachment 3597891
CH-R+ 2025

View attachment 3597893
Urban Cruise 2025

View attachment 3597895
Rav 4 GR 2025

Zingatia design ya taa, front lip na placement ya badge ya mbele, sijui ndio maboss mnataka ivyo au.

Ila sio mbaya kwa muonekano nzuri, ila sijui kuhusu kufanana kama good thing au wengine mnapenda uniqueness.
Zama za designs toyota zimekwisha.

Model za zamani unakuta chasis na engine moja ila zinapigwa combo na body tofauti tofauti zenye design tofauti kabisa na unapata models kama 5 humo.

Na pia kuna feel fulan au tuseme modern touch ambayo makers wengi wa magari wanailazimisha ndo maana wanaishia kufanana tu, ukiangalia alienzisha hio design ni Tesla
 
Urban cruise bei ipoje? Mad Max
Urban Cruiser model ipi mkuu? Maana Urban Cruiser Toyota wanatufanyaga wajinga tu. Kwanini?

Gen 1 na Gen 2 hizi ni IST.
IMG_8844.jpeg
XP60-2002
IMG_8845.jpeg

XP110-2007

Hafu wakaja Gen 3 hapa ndio mchanganyo ulipoanza. Waliingia “joint-venture” na Suzuki, kwahiyo kwa pamoja wakatengeneza Suzuki Vitara Brezza= Urban Cruiser. Kuna nchi inauzwa kama Vitara mfano India na kuna nchi inauzwa kama Toyota Urban Cruiser.
IMG_8846.png

IMG_8847.jpeg


Hii hii Gen 3 wakarudia tena 2023 wakafanya collabo na Suzuki Grand Vitara wakati wenyewe wanaiita Urban Cruiser Hybrid V. Cheki zinavofanana hapa chini.
IMG_8848.jpeg
IMG_8849.jpeg

Kwahiyo huu mchezo umeendelea kuanzia hapo hadi sasa latest ni Urban Cruiser BEV (full umeme) ambayo still inacopy yake kutoka Suzuki, inaitwa eVitara.
IMG_8838.jpeg

IMG_8850.jpeg

Kwahiyo kujibu swali lako, Urban Cruiser ambayo rahisi kuipata na affordable ni zile gen 1 na 2 ambazo Toyota alifanya yeye kama yeye.

Hizi nyingine janja janja sana.
 
Zama za designs toyota zimekwisha.

Model za zamani unakuta chasis na engine moja ila zinapigwa combo na body tofauti tofauti zenye design tofauti kabisa na unapata models kama 5 humo.

Na pia kuna feel fulan au tuseme modern touch ambayo makers wengi wa magari wanailazimisha ndo maana wanaishia kufanana tu, ukiangalia alienzisha hio design ni Tesla
Umetisha.

Mfano chasis ya corolla, back then unakuta Runx, Allex, Corolla, Spacio, Auris, Fielder, Rumion, ISIS, Wish, Allion, Premio nk nk nk yaani mtu zote ukimuambia zimetumia generation moja wapo ya Corolla atakaa akakuamini, kwasababu hazifanani kabisa kwenye body, hadi itakapokuja issue ya engine, gearbox nk ndio utaona spare inaingiliana. Na ilikua move nzuri.

Unafananisha vitu vya muhimu, ila body, suspension, interior, wheelbase na vitu vingine vidogo vidogo unabadirisha. Win win.

Sahivi Tesla kaja katuwekea bonge lako Screen pale, una control kila kitu kwa screen ata kuweka gear. Watu waka praise. Basi kila maker nae anafuata trend, na wamekuja kugundua kwamba screen inapunguza gharama za utengenezaji.
 
Hivi Crown na Camry ndo hiyo hiyo ila inaitwa tofauti kwenye masoko tofauti?
Generation za nyuma hadi 2020s, Crown na Camry walikua tofauti kabisa yaani hawafanani ata kitu moja.

Mfano, Camry ni FWD, ilifocus kwenye spacious na economyna platform yake ni K-Platform ambayo alishare na baadhi ya wakina Rav4, wakina Harrier tako la nyani, Avalon, Highlander nk, wakati Crown yeye ni RWD, walifocus kwenye luxury, smooth drive na performance na S-Platform chasis walishare na Lexus IS, LS, GS nk.

Ila hizi mpya mpya za 2023+ sasa zimeanza kushare vitu vingi, ikiwemo chasis TNGA-K Platform. Nadhani lengo ni kuadapt mabadiriko ya soko na kusave cost.

Kwahiyo position ya engine, hybrid system, AWD, eCVT transmission , nk nk.
 
Back
Top Bottom