mbele

Blaise Lelo Mbele (born 10 August 1987) is a retired Congolese footballer who last played for Al-Ahli Club. Lelo previously played for different professional clubs such as South African giants, Orlando Pirates FC and the Saudi Arabian club, Al-Hilal FC.

View More On Wikipedia.org
  1. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Hawa watoto wa bukumbili sijui mtawatawalaje huko mbele.

    Hawa madogo ni wabishi, ninayoyaona huku kitaa ni hatari vijana wamevurugwa sana. Hata mkijitangaza mkarudi ikulu huko mbele mtatawala kwa shida sana. Ama hakika #MO29 imefana
  2. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Aibu! Hivi ndivyo Tanzania inavyoonekana mbele ya jumuia ya kimataifa

    Chawa drama 🤣. Supposedly nchi ni tajiri wa rasilimali. Rais asiye na mipango yoyote ya kuitoa nchi kwenye kundi la nchi za ulimwengu wa tatu. Ila siwalaumu sana CCM. Kuna msemo usemao hivi ‘see a fool, use a fool’. CCM see Tanzanians as fools hence they’re using them to enrich themselves...
  3. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza hela tena Mbele ya Yanga

    Nilitegemea ushindi wa 2-0 nikaishia kichapo cha 0-1. Sijui kwenye Yanga hii kosa liko wapi
  4. 4

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu huru juu ya Taifa letu; Tusibeze mbele ya Mungu wangu halazimishwi mtu

    Wakuu leo sina mengi ila amani ya Bwana ikawe kwa kila mmoja wetu katika haki na usawa. Rejea mada tajwa hapo juu, Taifa hili letu wote na ndo sie wa kuliponya au kulipa majeraha, hivyo nimeona ni vyema shauri yafuatayo na sio lazima kukubaliana nayo. 1. Uchaguzi usitishwe Rais aliepo...
  5. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Ninampongeza sana Godbless Lema kwa kuweka maslahi ya familia yake mbele na kuyakwepa maandamano haramu kijanja.

    "Niko tayari kuwekwa mahabusu kwa hiari yangu hadi kipindi cha uchaguzi kipite, kwa sababu naamini kufanya hivyo kutaleta utulivu kwa wazazi wangu, mke wangu Neema, na watoto wangu. Najua watahisi angalau faraja kwamba niko salama". Hii ni kauli ya kijanja na kuweka kwanza maslahi ya familia...
  6. M

    JamiiForums Tanzania JK kipenzi cha Watanzania aliyegeuka Chukizo mbele yao

    Nchi hii imewahi kuwa na makundi makuu mawili ya watu waliopendwa sana na Watanzania, Nyerere, JK na Magufuli. kundi la pili ni la Mrema na Lowasa. Nyerere alipendwa sana sababu ya kupigania uhuru, kutumia vipawa vyake vya akili na uongozi kwa ajili yao. Huyu alifanya makosa kadhaa ya...
  7. Lavit

    JamiiForums Tanzania Tukienda mbele tukirudi nyuma, Iphone(ios) mfumo wao waliusuka ukasukika!

    Wakuu nimekuwa mtumiaji wa hii mifumo miwili inayobeba devices nyingi duniani kwa maana ya Ios na Android kwa muda mrefu sasa! Nilichokuja kugundua hawa jamaa wa ios walitumia akili nyingi sana na ndo maana mpaka leo wameendelea kuwa relevant! Ukija upande wa pili yaani Android ni kwamba...
  8. D

    JamiiForums Tanzania RC kumtembelea aliyedhalilishwa kwa kufukuzwa katika nyumba ni dhihaka mbele ya umma

    Nchi yetu inaongozwa kwa sheria na taratibu! Watu wanakuwa wamefuata taratibu zote na kunyimwa haki katika serikali ile ile inayotoa pole! Huwezi kwenda kutoa pole kwa matokeo yaliyochangiwa na uovu wa kiutendaji. Ile siyo ajali bali ni jambo la makusudi kabisa lisilo na utu ndani yake...
  9. J

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia, hii ahadi ya kuondoa tatizo la umeme mpaka lini?

    Moja kati ya mambo yanayokera katika nchi hii ni changamoto ya kukatika kwa umeme. Nakumbuka nikiwa kule kusini mwaka jana, nikiwa kwenye hotel Moja, umeme ukikatika ghafla. Pembe yangu kulikuwa na wazungu wanne wakipata vinywaji. Mara umeme ulipokatika walisikika wakisema, " welcome to...
  10. D

    JamiiForums Tanzania hizi jezi za Simba, mbele wapi? nyuma wapi? mbona hazieleweki.

    I will be short hizi jezi , mbona kama makengeza, mbele wapi, nyuma wapi?? mcheki kapombe amkuwa kama kanyongwa , ajulikani kageuka mbele au nyumA.
  11. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Magufuli hakukata roho mbele ya mkewe au mwanae akakata mkononi mwa Hawa? Ni wahuni TU mtanijibu!

    Uraisi wa Magufuli haukumfutia uumenwake kwa mkewe, haukumfutia Ubaba wake kwa wanawe Hakuna Sheria inasema raisi akiumwa anauguzwa na mkuu wa majeshi, usalama wa taifa na IGP hiyo Sheria haipo KIMSINGI kifo chake it was a planted mission Ambayo Mabeyo, Sirro na wenzake watajibu mbele ya...
  12. Getrude Mollel

    JamiiForums Tanzania Naiona CCM ikitawala miaka 100 zaidi

    Kwa ile nyomi ya jana pale Tanganyika Packers, naiona dhahiri CCM ikitawala kwa zaidi ya karne moja tena. Kwanini? CCM ina wanachama wengi, zaidi ya milioni 13 na ndio chama chenye wafuasi wengi zaidi waliosajiliwa Barani Afrika na kimo kumi 10 ya vyama vyenye wafuasi wengi duniani. CCM ina...
  13. G Sam

    JamiiForums Tanzania Wameshindwa kulinda mgombea mbele ya polisi watano wataweza kulinda kura mbele ya jeshi? Wamepewa maneno wakagonga tano wakaondoka zao

    Haya matapeli banah. Yameenda mbele ya geti la tume wakakutana na polisi hata nyota moja hana. Huyu polisi akaanza kuwaambia sijui mshenga sijui barua. Mara si mnaongea tu yanaisha? Wakaitika ndiyo mzee wakagonga tano na huyo polisi wakaondoka zao. Ila mgombea wao ndiyo kakatwa hivyo. Sasa...
  14. R

    JamiiForums Tanzania CCM fanyeni yote, lakini mtakosa POLITICAL LEGITIMACY mbele ya watanzania na duni nzima kama hamkufanya necessary reforms as proposed by Chadema

    Political legitimacy is the belief by a population that a government or political institution has the right to rule and that its authority is rightful and justified, not just based on force. High legitimacy means citizens voluntarily obey laws and support the government's actions because they...
  15. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya Mwisho itakua kwaajili ya Wachawi, Wazinzi na Wote Wanaofanya dhambi za machukizo mbele za Mungu

    Ndugu zangu, msidanganyike! Dhambi si mchezo, na kila dhambi inaleta madhara makubwa kwa mtu binafsi, kwa jamii, na kwa taifa. Wacha tuchambue kwa mwanga wa Neno la Mungu. 1. Wachawi Biblia inasema wazi, “Wala msijihusishe na wachawi.” (Walawi 19:31). Uchawi unaharibu kizazi kizima, unavunja...
  16. U

    JamiiForums Tanzania Furaha mkewe kuwa na mtoto yageuka aibu kadai ati my wife delivered a baby boy! badala ya my was delivered of a baby boy!

    Wadau Ujuaji siyo mzuri ila furaha ni jambo njema tuendelee kujifunza lugha za wakubwa duniani tusikate tamaa! Kiswahili ni kiswahili na kiingereza kisalie hivyo! -SHE delivered a baby boy ❌ -SHE was delivered of a baby boy ✅ ➡️ ➡️ kumbuka kwa Waingereza "A woman is...
  17. MK254

    JamiiForums Tanzania Musa wa waislamu alitiwa aibu na Allah kwa kukimbia uchi mbele ya watu na kuanikwa kila kitu ili aache kukejeliwa

    Musa wa kwenye uislamu alikua mwoga mwoga ambaye siku zote alijisitiri mwili wote kwa nguo, hadi Waisraeli wakawa wanamsema kuwa ana ukoma au maradhi fulani ya ngozi, sasa ili mungu wa waislamu aonyeshe kweli jamaa hana matatizo ya ngozi, akasubiri siku moja Musa anaoga, alipomaliza na kwenda...
  18. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 - 25 mbele naiona hatma ya ulaya kuamuliwa na UISLAM. mark my post!

  19. Webabu

    JamiiForums Tanzania Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

  20. Webabu

    JamiiForums Tanzania Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

Back
Top Bottom