Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 1,080
- 1,448
Usiwahi Kunywa Maji yaliyopo Mbele yako mara baada ya kuongea Maneno hasi..
ukizungumza ukiwa na hasira kali mawazo mabaya, Maji huwa na tabia ya kufyonza kila mtetemo wa kila neno ulilotoa.
Ikiwa Utazungumza Maneno hasi huku Maji yapo pembeni, Kisha ukabeba Maji hayo na kuyanywa basi umekunywa mitetemo ya Maneno uliyotoa
Leo nikufunze magic..
Kaa na Maji katika glass, zungumza nayo kwa upole Tena katika mtazamo chanya. Hapa, Kuna wengine wameshaanza kuhisi vingine.
Maji ni hai, yamekuwapo hata kabla ya Miungu kuwepo. Maji hayakuumbwa na Mungu yoyote yule– zungumza nayo kwa upole.
Baada ya kumaliza kuzungumza nayo, yanwe– utashangaa..
Ukiwa MBELE ya Maji, tambua uko MBELE ya essence ya uhai. Usijezungumza Vibaya maana Maji yatafyonza mitetemo.
The Alkbulan man✍️
ukizungumza ukiwa na hasira kali mawazo mabaya, Maji huwa na tabia ya kufyonza kila mtetemo wa kila neno ulilotoa.
Ikiwa Utazungumza Maneno hasi huku Maji yapo pembeni, Kisha ukabeba Maji hayo na kuyanywa basi umekunywa mitetemo ya Maneno uliyotoa
Leo nikufunze magic..
Kaa na Maji katika glass, zungumza nayo kwa upole Tena katika mtazamo chanya. Hapa, Kuna wengine wameshaanza kuhisi vingine.
Maji ni hai, yamekuwapo hata kabla ya Miungu kuwepo. Maji hayakuumbwa na Mungu yoyote yule– zungumza nayo kwa upole.
Baada ya kumaliza kuzungumza nayo, yanwe– utashangaa..
Ukiwa MBELE ya Maji, tambua uko MBELE ya essence ya uhai. Usijezungumza Vibaya maana Maji yatafyonza mitetemo.
The Alkbulan man✍️