Nichukue fursa hii kukupongeza kwa kuteukiwa kuwa Waziri. Ama hakika Wizara uliyoteuliwa ni Wizara nyeti mno, maana maamuzi na sera za wizara yako zina athari si kwa binadamu tu bali viumbe mbalimbali wanyama, mimea, ndege, wadudu, miti nk.
Baada ya hayo naona nije sasa katika dhumuni la...