Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Hii ishu imesemwa sana lakini naomba nirudie. Serikali yetu imeajiri watu kama laki tano tu usipojumlisha wanajeshi na polisi. Sehemu kubwa ya hao, kama asilimia 50 ni waalimu.
Ukiangalia hapo hata serikali ikisema iajiri watu kadri inavyoweza haitaweza kutatua tatizo la ajira.
Serikali inatakiwa kuweka mazingira mazuri ya kujiajiri.
Mhitimu na kijana usiye na ajira, serikali ifanye nini ili uweze kujiajiri?
Ukiangalia hapo hata serikali ikisema iajiri watu kadri inavyoweza haitaweza kutatua tatizo la ajira.
Serikali inatakiwa kuweka mazingira mazuri ya kujiajiri.
Mhitimu na kijana usiye na ajira, serikali ifanye nini ili uweze kujiajiri?