Kilimo si adhabu. Ukiweka mazingira mazuri ya kilimo hata watoto watafurahia kwenda shambani

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Kwenda shambani inakua ni mateso kama mazingira ni mabovu. Weka kilimo mazingira mazuri ya shamba. Jiko la gesi, vyakula na maji. Saa ya kula unaandaa vizuri chakula mezani au kwenye mkeka. Mnaweza kuchemsha mihogo au viazi kutoka hapo shambani.

Watoto wakisaidia kazi vidogo vidogo. Hii ni kumbukumbu nzuri kwa watoto wakikua na wao wanaweza kuamua kuwa wakulima.

Ni kutokana na uwekezaji mdogo katika kilimo ndiyo maana vijana wengi wanakumbilia mijini na kuacha utajiri wa ardhi mikoani.

1616578298065.png
 
Inawezekana kulipia trekta ni mipango tu. kama wenye mamlaka watawala utaratibu mzuri wa kupata mikopo ya matrekta.
Hili ni jambo zuri kama watawala wangemjali mkulima.

Kuna bosi wangu alilima ekari 30 za mahindi, akavuna bei ikawa kama 200 kwa kilo, gunia la kilo 90 unauza 18000! Kisa wamefunga mipaka nk. Alikata tamaa kabisa. Hata taasisi ya fedha haiwezi kopesha kwenye mazingira tatanishi hivyo. Na nchi haitakoma upungufu wa chakula sababu watu wa kulima ekari 30+ hawakubali kuzika pesa.

Jambo la kumkomboa mkulima na kufanya tufurahie kulima ni kuacha soko huru. Mi nikauze mahindi Congo gunia 70K , hapo ndiyo kilimo kitakuwa na mkulima atakomboka. Hata nikienda benki nikiwapa mchanganuo wanaelewa.

Ni kweli ardhini kuna utajiri na kilimo ni noble professional lakini watawala wetu ndiyo wanatukwamisha.
 
Hili ni jambo zuri watawala kama watawala wangemjali mkulima.

Kuna bosi wangu alilima ekari 30 za mahindi, akavuna bei ikawa kama 200 kwa kilo, gunia la kilo 90 unauza 18000! Kisa wamefunga mipaka nk. Alikata tamaa kabisa. Hata taasisi ya fedha haiwezi kopesha kwenye mazingira tatanishi hivyo. Na nchi haitakoma upungufu wa chakula sababu watu wa kulima ekari 30+ hawakubali kuzika pesa.

Jambo la kumkumboa mkulima na kufanyw tufurahie kulima ni kuacha soko huru. Mi nikauze mahindi Congo gunia 70K , hapo ndiyo kilimo kitakuwa na mkulima atakomboka. Hata nikienda benki nikiwapa mchanganuo wanaelewa.

Ni kweli ardhini kuna utajiri na kilimo ni noble professional lakini watawala wetu ndiyo wanatukwamisha.
Huyu boss wako kama alikopa pesa na kuiingiza kwenye kilimo alikua na wakati mgumu sana.

Soko la mazao ni dogo kwasababu middle men hawajaona pia fursa katika mazao ya chakula. Kila kitu kinahitaji uwekezeji mkubwa. Tukiwa na kampuni zinazonunua mazao kama mahindi na kuyatwanga na kufunga sembe kwenye vifurushi vya kilo moja, mbili tano na 10. Unga wa ugali hivyo hivyo. Ni rahisi kuhifadhi hizi bidhaa hata kwa mwaka mmoja bila kuharibika. Ni rahisi kuuzia nje ya nchi pia.
 
Mbona unaweka picha za wathungu??

ACHA USHAMBA WEWE KILIMO SI MATAKO, KILA MTU ANA YASHIKA YAKE
 
Kwenda shambani inakua ni mateso kama mazingira ni mabovu. Weka kilimo mazingira mazuri ya shamba. Jiko la gesi, vyakula na maji. Saa ya kula unaandaa vizuri chakula mezani au kwenye mkeka. Mnaweza kuchemsha mihogo au viazi kutoka hapo shambani.

Watoto wakisaidia kazi vidogo vidogo. Hii ni kumbukumbu nzuri kwa watoto wakikua na wao wanaweza kuamua kuwa wakulima.

Ni kutokana na uwekezaji mdogo katika kilimo ndiyo maana vijana wengi wanakumbilia mijini na kuacha utajiri wa ardhi mikoani.

Nafikiri kila jambo linahitaji maandalizi kwa ngazi zote.
 
Nimejenga nyumba safi shambani toilet na bafu ndani, gas, furniture nzuri ambazo wengi humu waliopo mjini hawana. Nikiwa shamba namaliza miezi sijatoka na mbeleni nitahamia mazima. Hakuna kitu kizuri kama kukaa shambani.
Prof assad former cag wakati anaaga alisema anakwenda kuishi shambani kwake, alisema hakuna kitu kizuri kama kula chakula ulichokipanda mwenyewe shambani kwako. Wazungu wapo rungwe, njombe, iringa, kilimanjaro wanaishi mashambani je wewe ni nani na unanini cha kumzidi assad na mzungu aliyetoka london kwenye raha ambazo umeishia kuziona kwenye video?
Kinachowakwamisha wengi tz ni kujifungia ndani ya box, unaishi dar unalazimisha ulime bagamoyo kwakuwa tu ni karibu na dar, sasa na kichanga kile unalima halafu unakuja kulalamika eti kilimo hakilipi.
Naendelea kusisitiza mjifunze maana ya commercial farming, watanzania wengi wanafanya kilimo kwa passion, mtu anayelima mahindi, mpunga hawa wana matatizo kichwani
 
Nimejenga nyumba safi shambani toilet na bafu ndani, gas, furniture nzuri ambazo wengi humu waliopo mjini hawana. Nikiwa shamba namaliza miezi sijatoka na mbeleni nitahamia mazima. Hakuna kitu kizuri kama kukaa shambani.
Prof assad former cag wakati anaaga alisema anakwenda kuishi shambani kwake, alisema hakuna kitu kizuri kama kula chakula ulichokipanda mwenyewe shambani kwako. Wazungu wapo rungwe, njombe, iringa, kilimanjaro wanaishi mashambani je wewe ni nani na unanini cha kumzidi assad na mzungu aliyetoka london kwenye raha ambazo umeishia kuziona kwenye video?
Kinachowakwamisha wengi tz ni kujifungia ndani ya box, unaishi dar unalazimisha ulime bagamoyo kwakuwa tu ni karibu na dar, sasa na kichanga kile unalima halafu unakuja kulalamika eti kilimo hakilipi.
Naendelea kusisitiza mjifunze maana ya commercial farming, watanzania wengi wanafanya kilimo kwa passion, mtu anayelima mahindi, mpunga hawa wana matatizo kichwani
Kwahyo wanaolima nn ndo hawana matatizo kichwani mkuu?hongera kuishi shambani...shambani ishi ukiwa financially well...sio hata solar ushindww kuwa nayo
 
Kwenda shambani inakua ni mateso kama mazingira ni mabovu. Weka kilimo mazingira mazuri ya shamba. Jiko la gesi, vyakula na maji. Saa ya kula unaandaa vizuri chakula mezani au kwenye mkeka. Mnaweza kuchemsha mihogo au viazi kutoka hapo shambani.

Watoto wakisaidia kazi vidogo vidogo. Hii ni kumbukumbu nzuri kwa watoto wakikua na wao wanaweza kuamua kuwa wakulima.

Ni kutokana na uwekezaji mdogo katika kilimo ndiyo maana vijana wengi wanakumbilia mijini na kuacha utajiri wa ardhi mikoani.

Uko sahihi sana,nakumbuka nikiwa mdogo wazazi walikuwa wanatuchukuwa tunakwenda shamba,kunapikwa chakula kule,kunachemshwa mahindi ,tunachoma mihogo n.k,ni nyakati ambazo zilikuwa zinatuvutia sana,na tukiskia kuna kwenda shamba lazima tuhakikishe na sisi hatukosi,ila nimechelewa kidogo kulipenda shamba mpaka umri huu mkubwa ndio nimekuwa na kiu ya ajabu ya kupenda kuwa mkulima...
 
Back
Top Bottom