matusi

Leneuoti Matusi is a Tuvaluan politician and former civil servant who was elected as an Independent MP for the Nui constituency in a 2013 by-election, having previously served as the Secretary of the Nui Falekaupule.Matusi gained 297 votes out of 778 to gain the seat from the former sitting member Taom Tanukale who polled just 160 votes after resigning from Parliament on 30 July 2013 following the constitutional crisis. He will represent Nui alongside Pelenike Tekinene Isaia, who is the island's only female MP.A week after the by-election, Prime Minister Enele Sopoaga announced that Matusi had joined the government's side, helping to boost their members to nine.Matusi was not re-elected to parliament in the 2015 Tuvaluan general election.

View More On Wikipedia.org
  1. Kipenzi Changu

    Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

    Wadau naombeni kujua. Ukisikiliza nyimbo za majeshi wakiwa joging utasikia misemo tata inayoashiria matusi. Mimi sina shida na matusi ila naomba kujua sababu huwa ni nini hasa.
  2. Kipenzi Changu

    Dkt. Kimei: Wachaga wanapenda magendo

    "Majimbo yaliyo mpakani yanakuwa na changamoto kama magendo, unajua wachaga wanapenda magendo, pia kuna unywaji wa gongo, utumiaji wa mirungi na bangi vimekithiri sana Vunjo sababu watu wengi hawana ajira, nahitaji Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ituambie itachukua hatua gani?" -Dk. Kimei
  3. sky soldier

    Hivi kwa hizi dharau, Biden atawezaje kwenda kwenye hafla za hadhara

    Haya mambo yanayotokea hayajawahi kutokea hata kwa Trump Ni mwendo wa FJB (f**k joe bide) kuanzia kenye clubs, viwanja, matamasa, n.k.
  4. data

    Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

    I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early.. Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive. Hovyo kabisa... ....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui... Takataka kabisa
  5. RODRIGUEZ NORIEGA DUERTET

    Airtel kwenye baadhi ya maeneo inazingua

    Mimi ni mtumiaji wa Airtel, nikiwa Dar inaperfom vizuri sana hasa maeneo ya Kimara ninapoishi. Ila toka nimeanza project za kwenda mikoani nimegundua Airtel ni poor sana, nikiwa maeneo ya Moshi, Arusha, Manyara na Dodoma Airtel wanazingua sana. Siku moja nimeingia Dodoma na hela Yangu iko...
  6. C

    Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

    Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi? Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week...
  7. Profesa

    NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

    Hii hapa wadau...
  8. C

    Waliokuwa wanatukana watu kwa mgongo wa uzalendo bado wapo?

    Kwa kweli hii nchi ilikuwa imefikia pabaya kwa baadhi ya makundi kutoa lugha za kashfa,dharau ,ubabe ,matusi kisa kumlinda au kumtetea mwendazake na maovu yake Kuna mtu anatokea kanda ya ziwa alikuwa na magazeti ya kuwatukana watanzania siku hizi sijui kama hayo magazeti yapo Kila wiki yupo...
  9. Stephen Ngalya Chelu

    Inakuwaje matusi ya Kiingereza yanaruka hewani kwenye redio bila kuchujwa?

    Hapa nasikiliza kituo kimoja chenye makazi yake huko kanda ya ziwa, wanapiga nyimbo za mabeberu; maneno kama b**ch, N**ger, f**k, motherf**ker yanakwenda on air bila kuwa censored. Na hii si mara ya kwanza kusikia, kuna siku pia nilisikia nikadhani labda walijisahau. Hivi mswahili akiweka neno...
Back
Top Bottom