Nini sababu ya kuimbwa misemo tata jogging za Jeshi?

View attachment 2033025

Wadau naombeni kujua. Ukisikiliza nyimbo za majeshi wakiwa joging utasikia misemo tata inayoashiria matusi. Mimi sina shida na matusi ila naomba kujua sababu huwa ni nini hasa.
Kufanya uwe makini kufuatilia wimbo neno kwa neno.Kukutoa "uraia" aliyezubaa na kukuchangamsha na kukuandaa kupokea amri za maudhi.
 
View attachment 2033025

Wadau naombeni kujua. Ukisikiliza nyimbo za majeshi wakiwa joging utasikia misemo tata inayoashiria matusi. Mimi sina shida na matusi ila naomba kujua sababu huwa ni nini hasa.
Mkuu kazi ya jeshi si kazi ya siasa!

Kada ya jeshi ina historia yake na kuna mambo makuu matatu yanayowapa hamasa ili kupunguza makali ya utendaji wao wa kazi mgumu na za hatari, mambo hayo ni: vita, pombe na wanawake(3w's)!

Pombe na wanawake jeshini ni ration na ukiwa "mtoto si ridhiki" jeshi hauingii, ni unfit.

Na vita vinapendwa sana na wanajeshi kuliko tunavyodhania na ndiyo maongezi yao ya furaha hayo.

Vita vikitangazwa leo, utakuta hata waliostaafu wanerejea bila shurti, kiroho safi kwa furaha tele!

Nongwa na matusi yanayoongelewa jeshini, kwa mitaani ni makosa makubwa ya jinai, uzuri ni kwamba wanafundishwa elimu ya uraia, hivyo wanaelewa ni nini cha kuongea makambini na kukiacha humo humo.

Ushawahi kuona wanajeshi wanatukana watu ovyo mitaani?

Basi kumbe wana maadili yao, ambayo sisi raia hatuyawezi kwa sababu si maadili yetu.
 
Kwa sababu qualifications zao ni form four failures, wanawaza ngono tu Hadi wakafeli. Simbachawene ndio kasema sio mimi
 
Mkuu umewahi kuwasikiliza wale jamaa wa TANESCO wanaochimba na kusimika nguzo za umeme?... Fanya kautafiti kadogo ukiwakuta kwenye kazi hiyo uwasikilize, utagundua kuwa hao wajeshi na wale wanaofanya jogging .... unawaonea. ;)
 
We nyimbo inaleta morali wewe!bila hivo mabio na fatiki zingine haziendi
Mfano voko kama hizi unakosaje morali

Akili zangu sizielewi sijui pombe!sijui bangi!

Ya leo kali weka nusu,ya leo kali weka yote

Kunguru na kanga mzuri nani,mzuri kanga mwenye madoa,nitampataje kunguru ai,ai,wote tukae chini tujiulize,ana ka K kadogo,ai ,ai wote tukae chini tujiulize
Kunguru mwenyewe wa zenji,ai,ai

Kimbelembele maimuna kimemponza ee,maimuna akiona baka lazima asaule!

Mama amina Jero amina buku jero
 
Mkuu kazi ya jeshi si kazi ya siasa!

Kada ya jeshi ina historia yake na kuna mambo makuu matatu yanayowapa hamasa ili kupunguza makali ya utendaji wao wa kazi mgumu na za hatari, mambo hayo ni: vita, pombe na wanawake(3w's)!

Pombe na wanawake jeshini ni ration na ukiwa "mtoto si ridhiki" jeshi hauingii, ni unfit.

Na vita vinapendwa sana na wanajeshi kuliko tunavyodhania na ndiyo maongezi yao ya furaha hayo.

Vita vikitangazwa leo, utakuta hata waliostaafu wanerejea bila shurti, kiroho safi kwa furaha tele!

Nongwa na matusi yanayoongelewa jeshini, kwa mitaani ni makosa makubwa ya jinai, uzuri ni kwamba wanafundishwa elimu ya uraia, hivyo wanaelewa ni nini cha kuongea makambini na kukiacha humo humo.

Ushawahi kuona wanajeshi wanatukana watu ovyo mitaani?

Basi kumbe wana maadili yao, ambayo sisi raia hatuyawezi kwa sababu si maadili yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hamna sehemu watu wana maadili kama
 
Back
Top Bottom