Baada ya Rais Samia kusifia matusi ya Wenyeviti wa Mikoa, sasa tutarajie yafuatayo

KAGAMEE

JF-Expert Member
Dec 20, 2013
3,912
4,559
To declare my interest mi siyo mwanasiasa ila nafuatilia siasa hasa vituko vya JOB pale mjengoni.

Tangu awamu ya tano ilivyopita ambayo ilijaa KUSIFU NA KUABUDU kwingi ili upate kacheo,Sasa wanaCCM wote walikuwa kimya kupima mama anataka nini ili akuteue. Hotuba yake leo imeonesha wazi kitu gani anapenda.Sasa tutegemee yafuatayo...

1. Machawa kuongezeka

2. Idadi ya matusi kuongezeka (hasa ukimkosoa mama)kama ilivyokuwa kwa Magu.

3. Watu kupotezwa na wapambe ili wamfurahishe mtukufu

4................................

5..............................

Tulikuwa tushaanza kusahau kero za awamu wa tano sasa zinarudi kwa kasi.

Time will tell.
 
Acheni ramli chonganishi..mkitoka nje ya mstari mtarudishwa kilazima..acheni uoga fanyeni kazi watoto wenu waende chooni.
 
To declare my interest mi siyo mwanasiasa ila nafuatilia siasa hasa vituko vya JOB pale mjengoni.

Tangu awamu ya tano ilivyopita ambayo ilijaa KUSIFU NA KUABUDU kwingi ili upate kacheo,Sasa wanaCCM wote walikuwa kimya kupima mama anataka nini ili akuteue. Hotuba yake leo imeonesha wazi kitu gani anapenda.Sasa tutegemee yafuatayo...

1. Machawa kuongezeka

2. Idadi ya matusi kuongezeka (hasa ukimkosoa mama)kama ilivyokuwa kwa Magu.

3. Watu kupotezwa na wapambe ili wamfurahishe mtukufu

4................................

5..............................

Tulikuwa tushaanza kusahau kero za awamu wa tano sasa zinarudi kwa kasi.

Time will tell.
Wasiwasi wako tuu,hakuna mtu atapotezwa.

Mama anapenda mumkosoe ila msimtukane wala kumdharirisha hapo utaamsha mapepo ya kike.
 
To declare my interest mi siyo mwanasiasa ila nafuatilia siasa hasa vituko vya JOB pale mjengoni.

Tangu awamu ya tano ilivyopita ambayo ilijaa KUSIFU NA KUABUDU kwingi ili upate kacheo,Sasa wanaCCM wote walikuwa kimya kupima mama anataka nini ili akuteue. Hotuba yake leo imeonesha wazi kitu gani anapenda.Sasa tutegemee yafuatayo...

1. Machawa kuongezeka

2. Idadi ya matusi kuongezeka (hasa ukimkosoa mama)kama ilivyokuwa kwa Magu.

3. Watu kupotezwa na wapambe ili wamfurahishe mtukufu

4................................

5..............................

Tulikuwa tushaanza kusahau kero za awamu wa tano sasa zinarudi kwa kasi.

Time will tell.
MAGOGONI MODERN TAARAB
wametoa Album Mpya ina Ngoma Sita zote Kali
1.Mtu na akili yako unahoji tozo na Mkopo
2.Stress za 2025
3.Serikali ya Mpito
4. Watakao kusumbua ni Shati ya Kijani wenzio
5.Kuna Mawaziri Mmeanza Makundi Makundi yenu
6.kuna watu nitawapumzisha Wakajiandae 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom