RODRIGUEZ NORIEGA DUERTET
Member
- Mar 26, 2018
- 72
- 59
Mimi ni mtumiaji wa Airtel, nikiwa Dar inaperfom vizuri sana hasa maeneo ya Kimara ninapoishi.
Ila toka nimeanza project za kwenda mikoani nimegundua Airtel ni poor sana, nikiwa maeneo ya Moshi, Arusha, Manyara na Dodoma Airtel wanazingua sana.
Siku moja nimeingia Dodoma na hela Yangu iko Airtel Money, nilipata shida ya kukaa nje kwenye baridi hadi saa 6 Usiku, ndipo nikaweza kutoa ela ya kulipia guest na kula.
Ninavyoandika hapa nna wiki ya 3,toka nimefika Dodoma, Airtell wanachofanya kwenye data ni aibu, kwenye call ndo shida kabisa,drop calls ni nyingi mpaka keep yaani ukiwa unapiga kabla ya simu kutoka ishakata. Sasa Swali ni je Airtell wamechoka kufanya biashara?je ni chombo kinahusika na kuwachukulia hatua ili kiwawajibishe hawa jamaa.
Ila toka nimeanza project za kwenda mikoani nimegundua Airtel ni poor sana, nikiwa maeneo ya Moshi, Arusha, Manyara na Dodoma Airtel wanazingua sana.
Siku moja nimeingia Dodoma na hela Yangu iko Airtel Money, nilipata shida ya kukaa nje kwenye baridi hadi saa 6 Usiku, ndipo nikaweza kutoa ela ya kulipia guest na kula.
Ninavyoandika hapa nna wiki ya 3,toka nimefika Dodoma, Airtell wanachofanya kwenye data ni aibu, kwenye call ndo shida kabisa,drop calls ni nyingi mpaka keep yaani ukiwa unapiga kabla ya simu kutoka ishakata. Sasa Swali ni je Airtell wamechoka kufanya biashara?je ni chombo kinahusika na kuwachukulia hatua ili kiwawajibishe hawa jamaa.