mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,113
- 6,307
Nimesikia kwamba wamachinga wamewekwa kwenye wizara inayoshughulikia wanawake,wazee, watoto na kundi Maalumu (walemavu).
Nafahamu kuna baadhi ya wamachinga wachache ni walemavu na wanaweza kufall kwenye hiyo wizara kusaidiwa.
Nafahamu pia sio walemavu wote hawajiwezi kuna baadhi yao wachache wanajiweza na wala hawahitaji kuwekwa kwenye kundi maalumu.
Ila hii ya kuamua kwamba wamachinga wote kuwekwa kwenye kundi maalumu ni kichekesho cha mwaka , wamachinga wangetakiwa waundiwe idara yao kwenye wizara ya biashara na sio kuwekwa kwenye hiyo wizara inayodili na watu wasiojiweza wanaoonewa.
Wamachinga ni kundi la wapiganaji ambao wanatakiwa wawezeshwe na sio kutetewa kama wanawake,watoto, wazee au walemavu wasiojiweza.
Hao watu waliomshauri rais afanye hivyo wamempotosha kama ni yeye mwenyewe kaamua hivyo basi na awaombe radhi kwa kuwakosea heshima
Nafahamu kuna baadhi ya wamachinga wachache ni walemavu na wanaweza kufall kwenye hiyo wizara kusaidiwa.
Nafahamu pia sio walemavu wote hawajiwezi kuna baadhi yao wachache wanajiweza na wala hawahitaji kuwekwa kwenye kundi maalumu.
Ila hii ya kuamua kwamba wamachinga wote kuwekwa kwenye kundi maalumu ni kichekesho cha mwaka , wamachinga wangetakiwa waundiwe idara yao kwenye wizara ya biashara na sio kuwekwa kwenye hiyo wizara inayodili na watu wasiojiweza wanaoonewa.
Wamachinga ni kundi la wapiganaji ambao wanatakiwa wawezeshwe na sio kutetewa kama wanawake,watoto, wazee au walemavu wasiojiweza.
Hao watu waliomshauri rais afanye hivyo wamempotosha kama ni yeye mwenyewe kaamua hivyo basi na awaombe radhi kwa kuwakosea heshima