matokeo

  1. BakalemwaTz

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya darasa la saba 2022 yanatoka lini?

    Kumekua na maswali Mengi juu ya kutoka kwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka huu 2022. Darasa la saba walifanya mtihani wao tarehe 5 na 6 mwezi octoba. Kwa mwaka jana matokeo yalitoka tarehe 30 mwezi october kitu kilichofanya tuone yametoka mapema. Kwa mwaka huu yawezekana yakaja kwa...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya darasa la saba 2022 yametoka?

    Mambo vipi humu jukwaani natumaini mko poa wote, Nije kwenye swali, naomba kuuliza je? Matokeo ya darasa la saba kwa mwaka huu 2022 yatakuwa yametoka ama bado? Maana nimeingia ukurasa wa Necta balaza la mitihani hakuna kitu sana sana nimekuta ya 2019,2020,2021 basi, je yatakuwa bado,
  3. Ngongo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu tunaomba matokeo kombe la Dunia- Huku kwetu hakuna umeme

    Wakuu heshima sana. Huku kwetu madongo kuinama hukuna umeme. Mitaa ya matejoo,Kambi ya Fisi,Matevesi,Olkeriani,Olkokola,Kaloleni,Ngarenaro,Daraja II,Mkonoo na vitongoji vingi hakuna umeme. Kwakuwa Sisi waTanzania tumejaa upendo,tunawaomba wale wote waliojaliwa kumiliki majenereta wasisite...
  4. Mr George Francis

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya maisha ya kutaka kufurahisha watu

    MATOKEO YA MAISHA YA KUTAKA KUFURAHISHA WATU. [Somo la leo 19/11/2022] Maisha ya kutaka kufurahisha nafsi za watu wengine mara nyingi huishia katika kuumiza nafsi zetu. Tunaweza imani na matarajio makubwa kwao wakati huo wao wanatuchukulia kwa ukawaida sana na pengine kutokuona mchango wetu...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Sio siri tena, matokeo chanya ya Majaliwa hadharani

    Siyo siri tena ndani ya CCM kuna kundi linaitwa “Matokeo Chanya” Ambalo linaundwa na viongozi waandamizi wa awamu ya tano wa Serikali na chama, Kiongozi wao Mkuu ni Kitila Mkumbo, Katibu ni Mwita Waitara akisaidiwa na Mpina na Lusinde. Hawa wanasema ndiyo wenye Kulinda Legacy ya Mwendazake...
  6. matunduizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu wa dini wanashabikiaje mechi za kibongo ambazo huamini katika uchawi ili kupata matokeo?

    Wakuu najiuliza tu. Wachungaji na mashehe mashabiki Waumini na washiriki mashabiki. Kwa ulaya EPL,Laliga,etc ila futiboli la kibongo linapromote uchawi na ndumba. Ndio maana Kuna Hadi benchi la kiganga maarufu kama benchi la ufundi. Sasa ni Halali Kwa wasio na dini kuenzi tamaduni zetu za...
  7. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Bunge kuihoji Bodi ya Mikopo sakata la upendeleo utoaji wa Mikopo

    Spika Dkt. Tulia Ackson ameitaka Bodi ya Mikopo (HESLB) kufika Bungeni kujibu tuhuma za kugomea Uchunguzi wa Kamati iliyoundwa na Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda. Prof. Mkenda ameituhumu HESLB kukataa kutoa ushirikiano na taarifa kwa Kamati yake kuhusu uwepo wa upendeleo wa utoaji Mikopo...
  8. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya sensa 2022 yanaonesha kila mwaka Watanzania wanaongezeka watu 1,800,000 kuanzia mwaka 2012

    Sensa ya wayu na makazi ya mwaka 2012 Tanzania ilikuwa na watu 44 milioni ambapo sensa ya mwaka 2022 watanzania wamehesabiwa na kupatikana watu 62 milion. Kwa hesabu hii, inaonyesha 62m ~ 44m = 18m 18,000,000/miaka 10 = 1,800,000 Kwa mantiki hii kila mwaka kuanzia mwaka 2012 hadi 2022...
  9. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Helicopter ilikuwa inamuonesha nani matokeo ya sensa huko angani?

    Kuna vitu vingine vinatendeka Hadi tunashindwa kuelewa. Helicopter iko juu halafu tuinue vichwa juu tuumie shingo na macho kutazama matokeo ya sensa.? Hii ya leo ilikuwa unnecessary kuanzia Kukusanya watu na urushwaji wa helicopter. Bure kabisa nakulilia Tanzania
  10. R

    JamiiForums Tanzania Serikali kutoa ufafanuzi matumizi ya Milioni 480 kutangaza matokeo ya Sensa

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote. Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
  11. Engager

    JamiiForums Tanzania Nani yuko nyuma ya hili Tamasha la Matokeo ya Sensa?

    Ifike pahala labda itoshe tuu kuwajua wanao tuhujua hata kama hamna kitu tunaweza kuwafanya. Nafsi zetu ziwanung'unikie tuu watalipwa mbele kwa mbele. Najiuliza ni pesa ngapi zimetumika kuandaa hili tamasha la kuambiwa tuko mil.61? Hivi kweli hawa watawala hawajaona hata shida tu ya maji dar...
  12. Q

    JamiiForums Tanzania Tanzania sihami, Matokeo ya Sensa yakioneshwa kwa Helkopita

    Helkopta ikionesha idadi ya Watanzania kutoka matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022. Tuko 61,741,120. - Gerson Msigwa ================ Mheshimiwa hizi helkopita zingeenda kusaidia kuzima moto mt. Kilimanjaro huoni mngetumia busara.
  13. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Kiini cha mgogoro uliosababisha kufutwa vijiji 5 na vitongoji 47 Mbarali

    Oktoba 26, 2022 Serikali ilitangaza uamuzi wa Baraza la Mawaziri kuhusu mgogoro wa eneo linalodaiwa kuwemo katika bonde la Ihefu wilayani Mbarali. Uamuzi huo uliotangazwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Mabula ulipokewa kwa utulivu, lakini kwa hisia tofauti. Katika...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Serkali kutangaza matokeo ya sensa 31 Octoba

    Sote tulishiriki, tukahesabiwa, sasa ni wakati wa kufahamu matokeo. Tarehe 31 Oktoba, 2022 Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Nyote mnakaribishwa.
  15. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Ukame wa sasa ni Matokeo ya Ukataji Miti Mil 2.7 ya Selous

    Magufuli alikuwa hashauriki. Miti 2.7 Milioni ilikatwa kwenye pori la akiba la Selous kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa JNHEP. Idadi hiyo ya miti ikiwekwa ardhini ni sawa na eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam
  16. T

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Usahili(interview) IAA

    Habari wakuu, Wiki kadhaa zilizopita palifanyika usahili wa kada tofauti mwajiri akiwa IAA, Kuna yeyote amebahatika kupata wito wa ajira.
  17. Cvez

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Derby na matokeo ya sare ni kupotezeana muda tu

    Sasa ndio nini hiki tumeraruana wiki nzima halafu wanashindwa kufungana. Yaani ujinga tu haina hata raha 😡😡😡😡
  18. R

    JamiiForums Tanzania Ni kweli matokeo ya mitihani NACTEVET yametumwa kwenye vyuo?

    Kuna kijana kasema amepata matokeo yake ya mitihani kupitia chuoni kwake. Je hii ni kweli kuwa mitihani imeshatumwa kwenye vyuo? Tujuzane!
  19. L

    JamiiForums Tanzania "Udhati, Nia njema, Upendo, Matokeo Halisi", kama matanga ya kusukuma "Maendeleo" ya China na Afrika

    Mwezi Machi mwaka 2013, rais Xi Jinping alifanya ziara yake ya kwanza barani Afrika baada tu ya kuingia madaraka kama Rais wa China. Akiwa nchini Tanzania, alitoa hotuba yenye kichwa "Daima Tuwe Marafiki wa Kutegemewa na Washirika wa Dhati" wakati alipokutana na wenyeji wake katika Kituo cha...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Matokeo Law School yafanyiwa ukarabati

    Safari ya kudai haki haijawahi kuwa rahisi. Tulipo kumeundwa tume ambayo composition yake ni suala jingine. Cha kushangaza kutokea kwenye website ya matokeo ya LST cohort 33 kuna ukarabati mpya! Awali kulikuwa na cases za marks dash (-) kwenye somo moja mtu kafaulu na dash (-) kwenye somo...
Back
Top Bottom