Waliofutiwa Matokeo Darasa la Saba kurudia Mitihani Desemba 21-22

Page 94

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
5,205
15,162
Baraza la Mitihani NECTA ilizifutia matokeo shule kadhaa baada ya kubainika kufanyika kwa Udanganyifu kwenye mitihani ya Darasa la Saba iliyofanyika September 2021.

Na kwa kuwa Wanafunzi hawahusiki na udanganyifu huo, wana haki ya kurudia mitihani yao ili kutoathiri maendeleo yao ya Kitaaluma.

Baraza la Mitihani limetangaza kuwa wanafunzi hao takribani 2194 watarudia mitihani yao tarehe 21 na 22 ya Mwezi Disemba 2022.

Hivyo wazazi wanaaswa kuhakikisha kuwa kwa namna yeyote ile mwanafunzi hakosi kuhudhuria katika mitihani husika.

Pia Jisomee
 
Baraza la Mitihani NECTA ilizifutia matokeo shule kadhaa baada ya kubainika kufanyika kwa Udanganyifu kwenye mitihani ya Darasa la Saba iliyofanyika September 2021.

Na kwa kuwa Wanafunzi hawahusiki na udanganyifu huo, wana haki ya kurudia mitihani yao ili kutoathiri maendeleo yao ya Kitaaluma.

Baraza la Mitihani limetangaza kuwa wanafunzi hao takribani 2194 watarudia mitihani yao tarehe 21 na 22 ya Mwezi Disemba 2022.

Hivyo wazazi wanaaswa kuhakikisha kuwa kwa namna yeyote ile mwanafunzi hakosi kuhudhuria katika mitihani husika.
Jambo la kheri hili
Ila wahusika apewe kalipio na adhabu
 
Baraza la Mitihani NECTA ilizifutia matokeo shule kadhaa baada ya kubainika kufanyika kwa Udanganyifu kwenye mitihani ya Darasa la Saba iliyofanyika September 2021.

Na kwa kuwa Wanafunzi hawahusiki na udanganyifu huo, wana haki ya kurudia mitihani yao ili kutoathiri maendeleo yao ya Kitaaluma.

Baraza la Mitihani limetangaza kuwa wanafunzi hao takribani 2194 watarudia mitihani yao tarehe 21 na 22 ya Mwezi Disemba 2022.

Hivyo wazazi wanaaswa kuhakikisha kuwa kwa namna yeyote ile mwanafunzi hakosi kuhudhuria katika mitihani husika.

Pia Jisomee

Hii sawa lakini kwa walivyokuwa wameamua, bahati yao kwani kwenye mahakama ya haki serikali wangeangukia pua.
 
Mungu mwema Sana hatimae baraza la mitihani la taifa limeruhusu watahiniwa 2194 wahitimu was darasa la sabaa kurudia mitihani Yao kwa siku mbili za December 21 na 22 kwa 2022

Kiukweli naunga mkono hojamaana ilikua inaumiza Sana maana watoto na wazazi hawakua na makosa ,makosa ni ya shule zao kwa kua na tamaa za kupata wateja

Haya wazazi waandaeni watoto wenu kwa Pepa tena A za mchongo hazitakuwepo tena,atakaefaulu ni kwa uwezo wake sio wa magumashi

Ahsanteni nimeleta ili wasokua na muda na taarifa ya habari wala IG waone ambao watoto wao walifutiwa matokeo ya mwanzo.
 
Mungu mwema Sana hatimae baraza la mitihani la taifa limeruhusu watahiniwa 2194 wahitimu was darasa la sabaa kurudia mitihani Yao kwa siku mbili za December 21 na 22 kwa 2022
Kiukweli naunga mkono hojamaana ilikua inaumiza Sana maana watoto na wazazi hawakua na makosa ,makosa ni ya shule zao kwa kua na tamaa za kupata wateja
Haya wazazi waandaeni watoto wenu kwa Pepa tena A za mchongo hazitakuwepo tena,atakaefaulu ni kwa uwezo wake sio wa magumashi

Ahsanteni nimeleta ili wasokua na muda na taarifa ya habari wala IG waone ambao watoto wao walifutiwa matokeo ya mwanzo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Best resolution.
Wametenda haki. Ila kibano kwa shule na walimu waliohusika kibaki pelepale.
 
Hivi kama msimamizi kama mwanafunzi alivujishiwa paper nje ya mitihani ninayosimamia!! Then mwanafunzi kakamatwa na majibu ya mtihani eneo la shule na wasimamizi kukamatwa kama wavujisha mtihani; hapo haki inasimamia wapi??
 
Back
Top Bottom