Newbies
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 1,476
- 2,147
BARAZA LA mitihani Tanzania (NECTA) Linatarajia kutangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi leo. NECTA wametoa taarifa hizo katika kurasa zake za mitandao ya kijamii. Unaweza kuangalia matokeo hayo katika tovuti za NECTA na tovuti nyingine mtandaoni.
========
Baraza la mitihani Tanzania (NECTA) Limetangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi 2022
Angalia matokeo hapa: Matokeo ya darasa la saba 2022
========
Baraza la mitihani Tanzania (NECTA) Limetangaza matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi 2022
Angalia matokeo hapa: Matokeo ya darasa la saba 2022