masikini

Elisabeth Finant (9 November 1954 – 28 September 1994), known professionally as Abeti Masikini, was a singer from the Belgian Congo who was active in France from 1971 until her death in 1994 at the age of 39. Her music pulled from a variety of genres, including soukous, Congolese rumba, folk music, and the blues. She recorded 21 albums during her career for a variety of record labels including RCA Records and Polygram Records among others.

View More On Wikipedia.org
  1. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Chakula cha Mama Ntilie ni kwaajili ya masikini

    Sina mengi wakuu nawasalimu. Hii misosi ya mama nitilie ni kwa ajili ya maskini. Mabenchi machafu Viti vimevunjika Meza chafu, inzi wakutosha Msosi sometimes unanuka moshi Wahudumu wachafu Customer care iko chini Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura. Mchele...
  2. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya tabia za maskini na tajiri

    NGUVU YA TABIA Tofauti Kati Ya Tabia Za Maskini Na Tajiri. Tajiri ni mtu ambaye yuko serious katika maswala ya utafutaji wa pesa na nidhamu ya pesa kwa ujumla. ~Tajiri Yuko serious katika utafutaji wa pesa, yani anatafufa pesa kwa nguvu zote mpaka muda wake wa kulala ni mdogo sana, muda...
  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda: Watu binafsi wazuiwa kugawa chakula kwa masikini

    Polisi wamezuia watu kugawa chakula kwa wasiojiweza kipindi hiki cha ‘Lockdown’ kwa kuwa wanakiuka miongozo ya Afya ya Kudhibiti maambukizi ya #COVID19 Wanaotaka kugawa chakula wametakiwa kuwasilisha kwa viongozi wa mkoa ambao watagawa kwa wasiojiweza. Hatua hii imekuja baada ya viongozi wa...
  4. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli: Tunafukuzana na watoto Masikini kuwaomba kodi; Kodi tuliyopewa na Mungu hatuishughulikii

    Nukuu kutoka kwa Kaka , Hayati John Pombe Magufuli kuhusu kunyonya kodi kwa watu wa hali ya chini. Well said.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ujasiriamali ndio Ukombozi wa Maskini katika Jamii nchini Tanzania

  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Tsh Milioni 420 za Wanyonge (Masikini) zifanyie nini kati ya yafuatayo?

    a ) Zijenge Sanamu ya Mtu tu? b ) Zifidie Wafanyabiashara wote walipoteza Mali zao kwa Moto Kariakoo? c ) Zijenge sehemu zote za Soko la Kariakoo ambazo zimeharibiwa ( zimeungua ) vibaya na Moto? d ) Zisambazwe Tanzania nzima (Mikoani) ili zitumike katika Kutoa Elimu ya Vitendo kwa Watanzania...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Watu wenye 'potential' na masikini kwanini hawachunguzwi?

    Nilikuwa na maongezi ya simu na mpya wangu. Aliniuliza kwanini mtu akionekana ana mali, hasa kama ni mtumishi wa serikali huishia kuchunguzwa? Kwani serikali inataka watu wake waishie kuwa maskini? Akaniuliza vipi wale watu wenye potential zote za kufanikiwa na bado ni maskini, kwanini...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Silaha ya Masikini ni Unafiki

    SILAHA YA MASIKINI NI UNAFIKI Kwa Mkono wa Robert Heriel Uzoefu wangu unanieleza jambo hili. Na nimeshalithibitisha kwa yakini kuwa Silaha namba moja kabisa ya Mtu masikini ni Unafiki. Umasikini upo wa namna mbalimbali, upo umasikini wa kiuchumi, umasikini wa kifikra, umasikini wa Kiroho...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Gharama za kuwapeleka watoto JKT ni mzigo mkubwa kwa wazazi

    Nimetafakari gharama wanazoziingia wazazi kuwapeleka watoto ex form six JKT. Ni kubwa na mzigo usio na sababu ya msingi kwa wazazi masikini. Si chini ya laki mbili (200,000 Ths) kwa uchache. Hizi ni hela nyingi kwa mzazi wa vipato vya chini huko vijijini anaye-strugle kupata ada ya shule za...
  10. justin mwanshinga

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

    Na Mwl Matete Siku tatu zilizopita serikali ilitoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo mbalimbali, kilichowastua wengi ni namna uchaguzi huo ulivyofanywa. Wazazi wengi wanalia hasa wale masikini ambao hawana uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule binafsi...
  11. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Unajua kwanini matajiri wanaendelea kuwa matajiri na masikini kuzidi kuwa masikini?

    Rafiki yangu mpendwa, Kilio kikubwa cha watu kwa sasa ni pengo kati ya matajiri na masikini kuzidi kuwa kubwa. Matajiri wanazidi kuwa matajiri huku masikini wakizidi kuwa masikini. Ni hali ambayo imezua taharuki kubwa hata kwenye nchi zilizoendelea na zenye utajiri mkubwa kama Marekani...
  12. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kuzaliwa masikini inatokea lakini kufa masikini ni chaguo

  13. my name is my name

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asiyekuwa na maendeleo unawezaje kukaa nae?

    Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali. Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa...
Back
Top Bottom