maridhiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. THE FIRST BORN

    PostGE2025 Wanaokataa Maridhiano msiwaite sio wazalendo. Nanyi mlikataa maridhiano kabla ya Uchaguzi na mlikuwa mnaonywa, hamkusikia

    Wakati huu kumezuka rundo la maandiko, Nasaha kutoka kwa watu mbalimbali Nchini Tanzania Ma Prof, watu wenye nyadhifa mbalimbali za Juu na ndogondogo. Wote hawa wanasemea Taifa kuliunganisha na wanakua wakali na kusema wale wanaosema D9 na kusema serikali iwajibishwe juu ya kile kilichotokea...
  2. M

    PostGE2025 Jicho la tatu: Watanzania tuingie katika maridhiano kama Serikali ya Samia inavyotaka

    Ushauri tu wangu binafsi, nimefikiria kwanini Jumuia ya Madola imetuma Mwakilishi/Kiongozi atakayesimamia au kuongoza maridhiano, naona hapo kama pana kamtego furani hivi Wananchi tukikataa maridhiano, vyama vya upinzani vikikataa maridhiano, hamuoni kama tunampa Samia credit na serikali yake...
  3. G

    PostGE2025 Baada ya Genge la wauwaji kufikishwa ICC na Mama kujiuzulu, ni vizuri tupendekeza m/kiti wa maridhiano na rais wa mpito pengine Warioba

    Kuna mambo yasiyotarajiwa yanaweza kutokea tarehe 9 Dec ni vizuri kujiandaa Nawaza baada ya uchunguzi kukamilika LAZIMA wauaji watajulikana na kukamatwa kupelekwa na ICC Na pengine mama hataweza kuvumilia hivyo akajiuzulu Kwa mauaji ya raia wake waliuwawa kikatili Hivyo kama mzalendo naona...
  4. mshale21

    Kwanini jumuiya ya madola ione umuhimu wa maridhiano baada ya uchaguzi? Kwanini hawakushinikiza maridhiano kabla ya uchaguzi?

    Kwa wenye akili timamu, hapa hakuna maridhiano Ikiwa viongozi wa dini mbalimbali, mzee warioba na wadau mbalimbali walisisitiza kuwepo na maridhiano kabla ya uchaguzi na hawakusikilizwa, ni kwanini jumuiya ya madora haikuona umuhimu wa kushinikiza maridhiano kabla ya uchaguzi na badala yake...
  5. Heparin

    PostGE2025 Tundu Lissu: Hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji. Hakuna amani bila haki

    Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Tundu Lissu ametuma ujumbe kutoka Gerezani ukonga, akibainisha kuwa hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji. Aidha, amesema hakuna haki bila amani. Ujumbe huu ameuandika kwa mkono wake mwenyewe.
  6. Genius Man

    PostGE2025 Dkt Chakwera anaunga mkono uchaguzi batili uliofanyika, hawezi kuongoza maridhiano ni maigizo

    Dkt Chakwera anaunga mkono uchaguzi batili uliofanyika hawezi kuongoza maridhiano ni maigizo. Kama Samia ameshinda kwa 98% tuunde tume huru turudie uchaguzi sii anakubalika kwa asilimia 98% hatuwezi kufanya maridhiano na mtu anaye unga mkono wizi na mafisadi. #D9
  7. Lord Diplock MR

    PostGE2025 Hivi, zuio la CHADEMA kushiriki siasa halihusu vikao vya maridhiano?

    Nimesikia habari za Maridhiano na nimesikia ujio wa Rais Mstaafu wa nchi jirani kujaribu kukutana na vyama vya siasa nchini na kufanya mazungumzo ya maridhiano. Mazungumzo hayo yanatarajiwa kufanyika kwa muda wa siku kadhaa kuanzia kesho. Wakati hayo yakiendelea sote tunajua kuwa lipo zuio...
  8. Q

    PostGE2025 Gen Z Tanzania: Tunataka Serikali ya Mpito kabla ya Maridhiano

    Taarifa Kwa Umma na Vyombo vya Habari. - Maridhiano hayawezi kuongozwa na watu ambao hawafahamu na/au wamegoma kutambua kiini cha machafuko yanayoendelea Tanganyika, nchini Tanzania. - Tunawaonya watu binafsi, makundi, na wengine wanaojitokeza kushiriki katika kiinimacho cha maridhiano...
  9. Ileje

    Hila ya maridhiano ya damu

  10. Carlos The Jackal

    TEC na Wakristo na Waislam Safi hakuna Kurudi Nyuma : Tuliposema Maridhiano kabla ya Uchaguzi, walitubagaza, Wamepora Uchaguzi wataka Maridhiano!

    Hakuna Hakuna Hakuna MARIDHIANO baada ya Mauaji ya Halaiki, HAKUNA HAKUNA !!.
  11. H

    PostGE2025 HOJA: Tumefikaje Haisaidii, Tunatokaje Ndio Jambo la Msingi Je, wanaokataa maridhiano na mazungumzo wanahitaji nini hasa?

    Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025 uliibua hisia tofauti kwa Watanzania. Wapo waliouona kama hatua ya kidemokrasia, lakini pia wapo waliobaki na maswali kuhusu mwenendo wake. Pamoja na hayo yote mambo haya yanahitaji mazungumzo, maridhiano, na dira ya pamoja. Tumefikaje hapa? Jibu linaweza...
  12. SSH2025_2030

    Tume ya Maridhiano isikose Mashehe!

    Mashehe wasikose kwenye hiyo tume maana Taifa linahitaji uzoefu, utaalamu na Hikma yao. Asanteni
  13. Q

    PostGE2025 Nawashauri Wajumbe wa Tume ya Maridhiano walioteuliwa na Serikali wakatae uteuzi au wajiuzulu.

    Gen Z wamesema mjumbe yeyote atakayekubali uteuzi ni msaliti sawa na kushirikiana na wauaji, wawe wanambea na familia zao maana watawatembelea kwenye nyumba zao au biashara zao kama walivyowatembelea wasanii wasaliti. Askofu Mbilu kutoka Lushoto Tanga wa Kanisa la KKKT ni miongoni mwa wajumbe...
  14. DuaZaMama

    PostGE2025 Bashiru Ally: Maridhiano sio kati ya serikali na vyama vya siasa bali wananchi wenyewe

    Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally, amesema kuwa dhana ya maridhiano ya kweli haiwezi kujengwa juu ya makubaliano ya kisiasa pekee, bali lazima iyatokane na wananchi kama msingi wa mamlaka ya nchi...
  15. Mkalukungone Mwamba

    PostGE2025 Mwabukusi: Nimezitizama video za watu waliouwawa Oktoba 29, Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano

    MTU NI UTU NA SIYO KILA MTU ANA UTU. NIMEONA VIDEO KWENYE UKURASA WA DADA MANGE KIMAMBI. NInapotizama video hizi za ndugu zetu walio uwawa na kulundikwa mithili ya Mikungu ya Ndizi kutokana na maandamano ya tarehe 29 oktoba 2025 Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano kabla ya...
  16. Mkalukungone Mwamba

    PostGE2025 Sigrada Mligo: Siungi hoja ya kufanya maridhiano baada ya matukio yaliyotokea Oktoba 29

    Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Sigrada Mligo amesema haungani na hoja ya kufanya maridhiano baada ya matukio yaliyotokea Oktoba 29 wakati akieleza kuwa serikali ilipaswa kusikiliza maoni ya Watanzania. Sigrada amesema kuwa yeye ni muumini wa kuzuia tukio na...
  17. mr mkiki

    CCM haitafuti maridhiano. Inatafuta acceptance kwenye society

    “When you dance with the devil, the devil doesn’t change. You do.” Kuna watu wanaua, wanaiba Dawa hospital, Wanaiba miradi ya Maji, wanakula hela za Halmashauri, wanapora haki mahakamani, wanapitisha sheria mbovu bungeni, wanateka, wanaiba bilions of money wanaficha kwenye magari, tuambiwe...
  18. Dennis Robert Shughuru

    Siasa za maridhiano zimeua siasa za upinzani Zanzibar, leo hii Zanzibar ni nchi ya chama kimoja

    Mzanzibar aliyekufa mwaka 2005 alafu akafufuka leo mwaka 2025 atashangaa sana kwa hiki anachokiona leo Zanzibar hakuna tena wapinzani wakina jusa, juma duni wamekuwa hawana makali tena wamenyamazishwa sauti mbadala imenyamazishwa Leo hii Zanzibar hakuna tena siasa za upinzani kwa lugha...
  19. KEKO JUU

    Ni mpumbavu pekee tu, anayeweza kukubali Maridhiano

    Baada ya maumivu makubwa waliyoyatengeza wenyewe kwa kukusudia kabisa, umeua,umeteka,uwewapa kesi feki wakosoaji wako, umeua demokrasia ,umeiba uchaguzi wazi wazi bila aibu, amani ni matunda ya haki, kulkua na wakati wa kufanya maridhiano kabla ya uchaguzi, Baada ya kuzima intaneti, mauaji...
  20. R

    Wananchi wampongeza Rais Samia kwa hatua ya Maridhiano

    Wakuu, Naona ITV wameona hii ndo habari muhimu zaidi, tena wameweza kupata uhuru wa vyombo vya habari kwenda mtaani kuhoji watu kuhusu hotuba ya Samia ya kutaka maridhiano, lakini walishindwa kuripoti habari kuhusu mauaji kama walivyofanya BBC, kwao habari muhimu ni pongezi ----------- Baadhi...
Back
Top Bottom