maridhiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: iitwe Tume ya Maridhiano na Muafaka wa Pamoja wa Kitaifa

    Heri ya Mwaka mpya 2026 kwa kila mmoja, Mungu awe pamoja na kila mmoja kwa mwaka mzima. Katika hotuba ya Mhe.Rais ya kuaga mwaka 2025 na kukaribisha mwaka 2026 alizungymzia suala la kuanzisha TUME YA MARIDHIANO YA KITAIFA mwaka 2026. Niungane na wote waliopongeza hotuba hiyo iliyojaa matumaini...
  2. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Maridhiano ya kweli yatapatikana Tundu Lissu akiaachiwa na Rais Samia akikiri watu waliuliwa ili kulinda maslahi ya wanaCCM

    Ukweli upo wazi kuwa watu waliuwawa ili wanaCCM wanamtandao waendelee kuiba rasimali za nchi. Kiongozi mkuu wa CCM akiri wazi kuwa hatukupoteza ndugu zetu kwa kufariki by natural death ila kwa sababu watu walishaukataa utawala wa CCM. Tundu Lissu aachiwe sababu hakuna kesi. Mahakama iishasema...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Maridhiano yatafanyika baada ya wauaji kuwajibishwa, yatakuwa Maridhiano ya kuhakikisha hakuna utawala shetani utakuja tena

    Huwezi kuua watu, miili ya watu umetupa porini, mingine umefukia makaburi ya halaiki, unaendelea kuteka na kuwabambikia watu kesi, halafu ukasema unataka maridhiano!! Ni upuuzi wa hali ya juu. Mauaji ya kiharamia yaliyofanywa na kmkm wa Zanzibar, polisi na UvCCM, hayahitaji maridhiano...
  4. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, you're still lost in your own denial mode. Taifa linahitaji TRUTH & RECONCILIATION COMMISSION na sio TUME YA MARIDHIANO TU!

    Rais Samia Suluhu Hassan bado yumo katikati ya tatizo kubwa na tishio la maisha yake mwenyewe... Rais Samia Suluhu Hassan bado anatafunwa na kufunikwa na KIBURI na JEURI kwa sababu ya madaraka, fedha za wizi na ufisadi, bunduki za Polisi na majeshi yake ya siri akidhani zitaepusha anguko la...
  5. Superbug

    JamiiForums Tanzania Unaombaje maridhiano na watu ambao miili ya ndugu zao uliowapoteza hutaki kuwapa waliowapiga risasi na kuwateka unawalinda?

    Hivi maridhiano yanayobembelezwa ni yapi? Labda mtupatie miili ya kina soka mdude nk pamoja na ile miili ya 2910 na waliomshambulia LISSU wafikishwe mahakamani otherwise Bora muanguke wote nyie watesi tuanze upya. Tunaridhiana nini wakati mdude na polepole hamsemi wako wapi pamoja na kelele...
  6. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Hakuna kuridhiana na wauaji, watekaji, na walawiti. Ulijitia kiburi leo unataka maridhiano ya nini?

    Heri ya Mwaka Mpya Wakuu Huyu Bibi anatuona sisi wajinga na wapumbavu . Siku anaongea na wazee walevi wa Dar Es Salaam alitunanga kuwa nguvu iliyotumika ilistahili, maana aliridhia na alitoa order ya kuua ndugu zetu mbaya zaidi akaenda kuwazika huko misitu ya kondo na ziwa Victoria. Mbaya...
  7. Superbug

    JamiiForums Tanzania Maridhiano yatakuwa na maana ikiwa........!

    1. Mdude nyagali chadema atarudishwa Kwa mke wake au mahakamani. 2. Waliompiga risasi TUNDU LISSU mwaka 2017 watakamatwa na kuwekwa hadharani. 3. Waliomteka Mzee Ally Mohamed KIBAO watakamatwa na tuambiwe ni wakina nani. 4. Yule kijana aliyechora picha ya mwanamke kule mbeya halafu akapotezwa...
  8. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Baada ya NRNE chini ya Lissu na maridhiano chini Mbowe kufeli huu ndio ushauri wangu kwa Chadema

    Ni ukweli usiopingika kuwa hizo mbinu zote mbili zilizotumika katika vipindi tofauti katika uongozi wa mwenyekiti Mbowe na Lissu zote zimeangukia pua baada ya kushindwa na mbinu za ccm za miaka yote. Hadi sasa madai yote ya chadema hakuna hata moja lililotekelezwa hasa Yale yanayohusu uchaguzi...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Boniface Jacob: Warioba anaaminika kwenye maridhiano

    Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob, amesema kuwa katika suala la kutafuta maridhiano ya kisiasa nchini, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Jaji Joseph Warioba ni mojawapo kati ya watu wanaoweza kuaminiwa kusimamia au kuwa sehemu ya mchakato huo. Boniface ameeleza kwamba...
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitabu chochote kitakatifu (Qoran/Bible) kilichoagiza Maridhiano na Shetani

    Hi I Maana yake ni kwamba YEYOTE atakayeamua kuridhiana n.a. Shetani atakuwa anamkosea Mungu wake na kwa vile atakuwa anavunja kanuni za Mungu mwenyewe basi bila Shaka atakuwa anatenda dhambi ya hatari na. atahukumiwa haraka sana. Nimeweka Uzi huu kwa lengo la kuwakumbusha wacha Mungu wenzangu...
  11. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wekeni msimamo huo huo. Hakuna maridhiano mpaka Lissu aachiwe. Kama hawataki wakae na Lissu mpaka mwisho wa dunia

    Unakaa na Lissu gerezani wa nini? Mahakama imeshatoa maaamuzi kuwa ushahidi haufai. Ushahidi ambao Dpp na Wasomi wenzake waliaamini ni ushahidi credible. Sasa wanataka ushahidi gani tena? Basi wakae na Lissu mpaka hii dunia itakapofika mwisho. Msimamo huu mpaka Katiba mpya ipatikane hata...
  12. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ukiwa na mikono yenye damu, meza ya maridhiano inakukataa automatically

    Salaam! Asomaye na afahamu, 1. Mfalme Daudi alipenda sana kumjengea hekalu Mungu Ili Sanduku la AGANO lipate pa kukaa, akasahau kuangalia mikono yake ilivyojaa damu, ombi lake likakataliwa, mwanae Mfalme Suleimanmwenye mikono safi ndiye akaja kupata ridhaa kujenga hekalu. 2. Hitler, Idd Amin...
  13. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Serikali acheni kumshawishi sana Lissu, ashawaambia hataki Maridhiano na Samia

    Kwa mwezi mzima Lissu hajaletwa mahakamani, unaweza Dhani ni bahati mbaya but No. Kwa muda Sasa serikali imekuwa kwenye negotiations na Lissu Ili akubali kushirikiana nao. Toka amewekwa gerezani Serikali imetuma team 4 na zote zimegonga mwamba. Baada ya Lissu kukataa serikali wakampa shariti...
  14. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia, hukuna ushirikiano atakaoupata kuandika Katiba mpya, kuleta maridhiano na hata Tume aliyoiunda itasusiwa na wananchi wengi

    Huo ndio ukweli mchungu. Mambo hayo yanaweza kupatikana ai kufanikiwa tu wakati Samia na watuhumiwa wenzake wakiwa wanajitetea ICC au teyari ni wafungwa katika magereza mbalimbali duniani na si vinginenyo.
  15. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 David Kafulila: Matokeo ya tume yatasaidia katika maridhiano

    “Matokeo ya Tume hii ya Uchunguzi yatasaidia hata mjadala mpana wa kuridhiana, kwa sababu kuridhiana ni mchakato na ni hatua kwa hatua kuna mambo tunaridhiana kwa sasa kuna mambo yanasubiri uchunguzi huu……” David Kafulila – Amesema Mkurugenzi Mtendaji PPPC akiwa katika mahojiano na ITV. Pia...
  16. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 THRDC: Maridhiano yafanyike katika njia za ukweli, haki na uwajibikaji

    Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa, ametoa wito kwa taifa kuanzisha mapema mchakato wa maridhiano na uponyaji baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yaliyotokea kuanzia Oktoba 29 na siku zilizofuatia. Kwa mujibu wa Wakili...
  17. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tumuelewe Mhe.Rais kuhusu maridhiano

    Mwenyezi Mungu aendelee kusimama na kila mmoja na kusimama na Taifa letu. Ni imani yangu bado kila mmoja anakusudi la kweli katika kudumisha amani, kukuza umoja wa kitaifa na kusimamia misingi ya haki. Katika mengi ,nami nawiwa kutoa mchango wangu wa machache .Kama mtanzania natambua mchango...
  18. T

    JamiiForums Tanzania Samia hataki maridhiano

    Siamini nachoona na kusikia Huyu anataka maridhiano kweli ?
  19. Mhaini

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Maridhiano: Kwanza Balozi (CP) Suzan Kaganda awe IGP ndo tukae mezani

    Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mheshimiwa Kamishina wa Polisi (CP) Suzan S. Kaganda, awe IGP ili tufanye maridhiano IGP Camillus Mongoso Wambura anatuhumiwa kutoa amri kwa Polisi ya kuua Raia. Ananuka damu za Watanzania. Kwanza hana Elimu ndo maana hajiamini. Hatuwezi fanya reconciliation...
  20. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kwa mambo kama haya maridhiano yatapatikana? Au wamechukia Lissu katajwa na Bunge la EU?

    Hawataki kabisa Lissu atembelewe na makada wa CHADEMA
Back
Top Bottom