maridhiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Heheee! Nani atakubali maridhiano?

    Mkadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba. Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo kubwa la kutetemesha. Sijui walahi! Mahii! Hakuna mambo ya maridhiano wala mapatano tena. Hakuna wa...
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Othman Masoud ulipaswa kukutana na Warioba kabla ya Maridhiano yenu na CCM, unachokifanya ni kujikosha tu, hutaaminika tena

    Ushafunga mkataba wa kiduwanzi na Shetani eti leo ndio unakuja kuona Wazee Tushakustukia.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tukikubali maridhiano na CCM tutakuwa watu wa ajabu sana. Damu ya Polepole itatulilia hadi kaburini

    Watanzania wenzangu lazima tujitofautishe na wanyama ambao pengine hawana kumbukumbu wala utashi. Polepole alituambia kabisa kwamba kuna wazee wamepangwa kuja kufacilitate maridhiano baada ya uchaguzi wa 29 October 2025. Just imagine Balozi Humphrey Polepole alitufungua macho kuhusu script ya...
  4. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Wasira: Hakuna njia ya mkato ya kuleta maridhiano isipokuwa mazungumzo

    Mwanasiasa mkongwe ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema kuwa katika siasa za ulimwengu hakuna njia za mkato za kuleta amani isipokuwa maridhiano na kuzungumza. Katika mahojiano maalumu na TBC, Wasira amesema kuwa jambo hilo...
  5. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Watu wanajihusisha na mambo yao; Ni wewe tu unawawazia

    Ukitaka kufahamu uhakika wa kichwa cha habari nilichoandika tafakari juu ya mtu anapokufa waliobaki huwa wanafanya nini? (Jiulize tu kwa dhati ya moyo wako na ujijibu). Jibu la swali hilo ndiyo uhakika wa maisha yalivyo. Ni wewe tu umekaa unawawazia wao ila kwa hakika watu wana mawazo yao na...
  6. kavulata

    JamiiForums Tanzania Rais Samia usihangaike na maridhiano, hawa hawakutaki tu kwa sababu zao

    Walikukataa hata kabla hujawa Rais. Hawakutaka uapishwe kuwa Rais baada ya kifo cha Rais Magufuli, hawakutaka ugombee nafasi ya urais, hawakutata uchaguzi ufanyike. hata baada ya uchaguzi hawakutaka uapishwe na hata baada ya kuapishwa hawataki uongoze nchi na nchi isitawalike. Maridhiano nao...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya maridhiano nini kinafuata, uchaguzi unarudiwa au, Isije kuwa ni maridhiano ya kugawana vyeo maana kila baada ya uchaguzi maridhiano

    Kwa akili ya kawaida mnapokuwa na mgogoro mnatafuta sababu za mgogoro harafu ndo mnakubaliana kuutatua huo mgogoro , Hapo ili kupata suruhu huwa tunatafuta mtu watatu ambaye atakaa katikati kuhakikisha pande zote mbili zinaridhia yale yaliyojadiliwa na kuafikiwa yanatekelezwa. Kama sababu za...
  8. K

    JamiiForums Tanzania CCM Ni waongo,habari ya maridhiano haipo,wanadanganya watu

    Habari wakuu; Nawakumbusha tu kwamba chama cha mapinduzi hakina nia ya dhati ya kushughulikia maridhiano ya kweli na nawakumbusha wadau na wenye nia njema kwamba hilo jambo kwao ni mwiba kitu ambacho hawawezi kukubali. CCM wana silka ya kudanganya danganya watu miaka yote. Mfano mzuri ni zile...
  9. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Samia anataka MARIDHIANO ya Wakwe na Wakwe ndio maana hata mifano yake utamsikia 'Nyie wanangu', huwezi kuua Watu alafu utafute Suluhu nyepesiii

    Yaaan Maelefu ya Vijana wameuwawa Oktoba 29 . Lissu yupo Gerezani. Unaibananga CHADEMA . Utekaji, Mauaji ya wakosoaji . Alafu kirahisi kabisaa kabisaa, Samia anasema 'Marudhiani sio Udhaifu ', Tulidhiane wenyewe, Haina haja ya Kutoka Nje kutafuta msaada. Yaan as if zile Roho za Oktoba 29...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Maridhiano ACT na CCM Zanzibar ni unafki na danganya toto Watanzania kuona nchi ina maridhiano

    "Kuna, kuna, kuna, kuna unafiki ule unaofanyika Zanzibar wa kusema kitu tofauti na kufanya tofauti. Na mimi nasema mzungumzo ni moja ya nyenzo ambayo sisi kama Chadema tunaamini katika kushughulikia matatizo. Tunaamini kwenye mapambano tunaamini kwenye mazungumzo lakini sisi tumesema tunaamini...
  11. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Maridhiano ni udhaifu unaotokana na uroho

    CCM kwa uroho wao wa madaraka wanadhani maridhiano ni ushujaa! Penye haki hakuna maridhiano, hili ndilo CCM wasilolijua! Kilichofanyika Zanzibar ni kurudisha nyama kwenye sinia la pilau ili waote mfaidi, pongezi kwa mroho kujitambua na kujirudi. KWENYE HAKI HAKUNA MARIDHIANO.
  12. Q

    JamiiForums Tanzania Maridhiano bila maelewano 'a forced reconciliation', ni kosa kubwa kwa CHADEMA

    Chadema wakikubali mtego wa CCM kuingia kwenye maridhiano yasiyo na tija watakuwa wamejimaliza wenyewe, madai yao yote yatafunikwa na blanketi la maridhiano. Chadema itakuwa imejiziba mdomo kwa mikono yake yenyewe kila kitu wataambiwa wasubiri matokeo ya maridhiano. Maridhiano feki hayana...
  13. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Walishindwa kumng'oa Lissu, sasa wamehamia kwa Heche ili waweke pandikizi akubali Maridhiano! Hamtafanikiwa!

    Script ni ile ile! Walishindwa kufanya Mbowe apate wapinzani dhaifu kwenye uchaguzi wa chama, Lissu akatia ngumu. Wamepambana weee, wamemwaga hela lakini wapi! Eti watu wa kumbackup Mbowe ndo akina Yericko Nyerere😂, mweupe utafikiri kichwani kuna pamba ndo apambane na mtu ka Lissu? Zikawekwa...
  14. Msanii

    JamiiForums Tanzania Hawajui hata hayo maridhiano ni kitu gani

    Serikali iliyojiweka madarakani baada ya vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu wizi wa kura, kuua raia na kumuapisha ndani ya kambi ya jeshi.... wamekuja na drama kabambe iitwayo TUNATAKA MARIDHIANO Yaani, wao wamechezea katiba na mifumo yote ya haki, wameibaka demokrasia mchana kweupe na kuipa...
  15. Msanii

    JamiiForums Tanzania Unaua raia wako kisha unalazimisha maridhiano

    Mmemsikia akipayuka maneno ambapo hata akiulizwa ameongea nini, hajui. Anasema wanaharakati ni sawa na magaidi. Kwa hiyo Nyerere na wenzake waliopigania uhuru wetu walikuwa ni magaidi? Tangu kabla, wakati na baada ya mauaji ya kimbari 29 Oktoba 2025, bado utekaji, utesaji, upotezaji, ufiraji...
  16. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Maridhiano ya shinikizo yana faida gani?

    Swali ambalo Watanzania wengi wanapaswa kujiuliza ni hili: Maridhiano yanayoshinikizwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi yana faida gani ikiwa hayatajibu hoja za msingi kuhusu haki, uhuru wa kisiasa, utawala wa sheria na uaminifu wa mifumo ya uchaguzi? Maridhiano sio lengo lenyewe...
  17. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA TUNAPIGANIA MARIDHIANO YA DOLA NA Watanzania. Tusikate tamaa. Ndoto ya haki karibu itatimia

    Tunaamini katika ndoto ya kweli. Ndoto ya haki, ukweli na usawa. Sasa Chadema tutaifanya ndoto ya watanzania iwe ya kweli. Chadema hatupo kutaka kugawana madaraka na CCM ndio tuite maridhiano. Tunaamini katika maridhiano ya kweli. Walioamini kwenye maridhiano ya kugawana ela, vyeo na...
  18. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hongereni Zanzibari kwa Maridhiano. Tanganyika tumebaki tunatekana na kuuana kisa vyama! Uchumi wa Zanzibar unaenda kupaa

    Huwezi amini! Anayemteka Mtanganyika ni Mtanganyika, anayemuua Mtanganyika ni Mtanganyika, anayempoteza Mtanganyika nu Mtanganyika. Ukimuuliza kwanini unamfanyia hivyo kaka yako mdogo wako, anasema Mwansiasa. Ipo Siku akili za Watanganyika waliokabidhiwa Bunduki watagundua kwamba wanaua...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Kutoka Maridhiano hadi Vitisho vya Ugaidi: Tunalaani upotoshaji wa Rais Samia wa kubatiza Wapigania Haki jina la 'Magaidi'

    Wana-JamiiForums, Leo tarehe 9 Julai 2026, tumeshuhudia kile kinachoitwa 'Tamko la Pamoja la Maridhiano' kati ya CCM na ACT-Wazalendo huko Zanzibar. Wakati viongozi wakitabasamu mbele ya kamera, hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan imeacha maswali mazito na simanzi kubwa kwa mtu yeyote...
  20. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mambo 7 Yaliyokubaliwa Katika Maridhiano ya Zanzibar

    Katika waraka wa maridhiano uliowasilishwa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Ahmed Mohamed, pande zote mbili zimekubaliana kuzingatia misingi saba muhimu itakayoongoza utekelezaji wa makubaliano hayo: 1. Kuimarisha ushirikiano wa dhati kwa kuzingatia hali halisi ya...
Back
Top Bottom