Hili ni gumu kuliko yote. Kuna watu wameanza kumharibia Mama wakati ana uwezo wa kujiharibia. Wanazuia miili ya waliokufa isitolewe, wanazuia takwimu za waliopotea zisijulikane. Wanatisha madaktari, wauguzi, madereva, familia nk. Ili taifa lipone na kuanza kufikiria maridhiano:
- Idadi ya...
Wakristo wanafundishwa toba na msamaha.. Kusamehe saba mara sabini.. Kusamehe kabla jua halijakuchwa... Lakini zaidi ya yote kusamehe na kusahau!
Tunakoseana mengi..! Tunasameheana mengi..! Tunasahau mengi tena na tena! Lakini
Kamwe hatusamehe ya makusudi
Kamwe hatusamehe ya kudhamiria
Kamwe...
Wakati kuna Kiongozi moja anasema kuwa yupo tayari kunyosha mkono wa maridhiano , lakini wakati huo huo anawazimia redio wengine wasisike na kuonyesha upande wa pili wa shillingi.
Sasa mtu kama huyo ni kweli anataka maridhiano au ni hadaa na ana hitaji wa kupumua kidogo
Maridhiano yalipaswa kufanyika kabla ya ndugu zetu kuuwawa miili kutupwa baharini na kabla yeye kujiteuwa kuwa rais.
Hakuna cha maridhiano wala bibi yake na maridhiano
Samia kapiga kijembe taasisi za kimataifa kuwa maridhiano yatafanywa kwa taratibu za Kitanzania, na sio kutokana na presha zao.
Leo Samia anachoma tu!
====
Rais Samia amesema kwakuwa watanzania wamempa ridhaa ya kuongoza nchi kwa mara nyingine basi hatachoka kunyoosha mkono wa maridhiano...
Bila kujali unatokea wapi una umri gani ni mda kupambana kuondoa vyombo vya dola mikononi mwa wahuni. Tafadhali sana nilikua sijawahi kupata mda wa kuangalia clips za...
bila
dola
fake
huru
kufanya
kujali
kuondoa
kupambana
kushinda
maridhiano
mda
mikononi
mtu
sana
tafadhali
umri
vyombo
vyombo vya dola
wahuni
wako
wapi
watawala
wenyewe
Kuna fununu kuwa Serikali fake ya CCM inakuja na mkakati wa kuwa na maridhiano na Gen-Z waliandaliwa na CCM, hili kuonesha kuwa Gen-Z wamemkubali Samia kama raisi. Tuwe makini na uongo wa CCM
Shekh huyu amesema ni lazima Maridhiano lazima yafanyike na lazima tukubali na hapa si maridhiano ya wanasiasa ninachokisema maridhiano ni serikali ifanye na wananchi wake. Raia wanataka nini? Wanasemaje
Barua ya Wazi
Na: Mteule G. Kahangile
Musoma, MARA TZ
10 Novemba 2025
KWA:
* VIONGOZI WA SERIKALI,
* VIONGOZI WA VYAMA VYOTE VYA SIASA,
* VIONGOZI WA DINI ZOTE.
Ndugu Viongozi,
YAH: WITO WA MARIDHIANO NA MAZUNGUMZO KWA AJILI YA TAIFA
Kwa moyo wa kizalendo na nia njema ya kuona taifa letu...
Ni Ujinga kufikiri watu wata ridhika kwa maneno! kwa mauaji, wizi wa kura na utekaji
Dada huyu amehoji kwanini maridhiano yafanyike, wakati watanzania wameuwawa kinyama, anaendelea kuhoji kwamba hayo maridhiano yatakakuonyesha kwamba waliandamana wanapaswa kuhukumiwa?
Aidha amaetaka kuhukumiwa...
Wakuu,
Tujikumbushe kidogo wakati Rais Samia akiwa Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika ufunguzi wa Kampeni kitaifa uliofanyika Jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Kawe, alizungumzia Sera zake na mambo atakayotimiza kwa wananchi ndani ya siku 100.
Soma GE2025 - Ahadi za...
Haiwezekani mtu unaiba kura alafu unakuja na maridhiano yani unakuwa kama panya anakutafuna alafu anakupuliza hatutakubali tunataka nchi yetu.
Wananchi sisi tumesha mkataa kabisa kabisa tunataka nchi yeetu yetu kwa gharama yoyote ile. waliiba kura na kutunajisi makusudi na kwa kiburi.
Mmesikia kelele za watawala, baada ya kupoka madaraka kwa nguvu kupitia uchaguzi bandia, baada ya kuwaua watanzania wengi waliokuwa wakipinga uchaguzi haramu, baada ya kuteka, kuwaua na kuwapoteza watanzania wengi, kwa unafiki mkubwa, sahizi wanaimba maridhiano.
Kabla ya uchaguzi, watanzania...
Kwanza mseme hayo maridhiano mnataka na kina nani ?
Kwa sababu hadi sasa hamjakiri kosa la kuiba kura kwa kiwango cha 98%, hamja kubali kua mmeua watanzania walioingia barabarani , mmekamata watanzania wakubwa kwa wadogo na kuwapa kesi ya Uhaini nchi nzima, lakini mmekiri kua fujo zilifanywa na...
Mange Kimambi, ambaye serikali kupitia Mwanasheria Mkuu ilisema ame "engineer" maandamano, amekataa maridhiano kwa kauli kali.
Kwa ushauri wangu, ujumbe wa serikali kuongea na Mange ujumuishe watu wenye heshma na credibility kutoka nje ya serikali. Uwe wa watu wasionuka damu. Hapo panaweza...
Nimeona makamu wa Rais nchimbi akiongelea kuhusu swala la maridhiano
Kama kweli tuna nia ya kuwa na maridhiano ya kweli tunatakiwa kuwa na katiba mpya mpya na sio katiba mpya mbovu
Kwanini nasema hivyo kunaweza fanyika jitihada za kuunda katiba mpya ila ikawa mbovu kuliko hii ya sasa ambayo...
1. Je kati ya serikali bandia vs wananchi?
2. Kati ya serikali na waliouliwa ndugu zao?
3. Je kati ya serikali na ndugu wa waliotekwa ?
Ikumbukwe ile massacre wakati na baada ya uchaguz;
1. Wameuawa wapinzani
2. Wameuawa wana ccm
3. Wameuawa waandishi
4. Wameuawa in mass raia wa kawaida,
5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.