Marekani imeendelea kudhalilika tena kwenye kuisaka teknolojia ya makombora ya Hypersonic.
Jana Jumanne jeshi la anga la nchi hiyo ambayo imekuwa ikijigamba na kupaishwa kuwa iko mbele ya Urusi na China kwenye teknolojia za silaha za kivita imeshindwa tena ktk jaribio lililofanywa la kuisaka...
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ana nia ya kutembelea nyumba ambayo aliwahi kuishi na babu yake miaka ya 1960, jambo ambalo imesababisha msako wa nyumba hiyo kuanza, gazeti la Times la Uingereza linaripoti.
Bi Harris, ambaye yuko katika ziara ya siku tisa katika nchi tatu za Afrika...
Vipindi vya mvua ( Masika) Miaka yote kumekuwa kukionekana udhaifu wa miundominu yetu hasa barabara kuhimili hali hiyo ya hewa
Sura za kujaa kwa maji barabara zetu, kupelekea foleni kubwa, vyombo vya moto kuharibika njiani na uharibifu vyombo hivyo na mali
Hata miundombinu mipya kama vile...
Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya! Rais Samia Suluhu amerudisha sana heshima ya Tanzania kwenye diplomasia na sasa imerejea mahali pake, Serikali ya awamu ya tano ilififisha mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kuimarisha...
Hii ni orodha fupi ya baadhi ya viongozi wa Marekani ambao wamewahi kutembelea Tanzania kwa nyakati mbalimbalu.
1. Rais Barack Obama: Aliitembelea Tanzania mwaka 2013 akiwa madarakani na kukutana na viongozi mbalimbali wa serikali wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete
2. Rais Bill Clinton...
What is Dedollarisation ?
Is a process of substituting or reducing US Dollar as the currency used for (i) trading oil and/or other commodities(i.e.petrodollar),(ii) buying US dollars for the forex reserves,(iii) bilateral trade agreements, and (iv)dollar-denominated assets.
Kwa uelewa zaidi...
Kwa maoni yangu, ujio wa Makamu wa Rais wa Marekani Tanzania kwa zaidi ya 75% inaweza kuwa ni JANGA kwa Tanzania.
(1) Kiongozi wa Marekani kufanya ziara ya siku 3 Tanzania, faida yake inaweza kuwa ni ndogo zaidi kuliko hasara.
(2) Bush aliyekuwa Rais wa Marekani wakati huo aliwahi kufanya ziara...
Na Bwanku Bwanku.
Wakati huu, Makamu wa Rais wa Marekani Bi. Kamala Harris akitarajia kuanza ziara yake nchini Tanzania siku ya kesho Jumatano Machi 29, 2023, historia ya mahusiano ya Nchi hizi mbili ni ya kusisimua sana ikianza mwaka 1961, miaka 62 iliyopita.
Ni ziara ya kimkakati ya...
Baada ya drone kumuua Mmarekani mmoja Syria, Marekani walijibu kwa kushambulia ngome ya magaidi wa Iran na kuua kadhaa....
US airstrikes killed eight pro-Iran fighters in eastern Syria following a drone attack that killed one American contractor and wounded five US service personnel, a war...
Nchi ya Marekani ndiyo muamuzi wa Dunia. Mbungea wa Kenya amemlaumu balozi wa Marekani kuwa ndiye anayeeneza ushoga nchini Kenya, pia amesema Marekani ndiyo inayoharibu dunia
Ukweli ni kuwa Kenya hailingani na Marekani hata theluthi hivyo haiwezi kupingana na Marekani, Marekani wakiamua Kenya...
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.
NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula...
Wakuu mimi nna ndoto ya kuishi nje ya nchi haswa Marekani au Canada.
Nimepambana kwa muda mrefu nipate scholarship za huko ila ni tough haswa kwa sisi wenye GPA za lower second.
Nna million 12 fulani kibindoni vipi inatosha kutimiza ndoto? Njia ya kwenda huko nyepesi ni hipi?
I will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1...
Irani imefanya mashambulizi ya Drone na Rocket kwenye Kambi za Jeshi la Marekani Usiku wakuamkia leo. Taarifa zinasema Ile mifumo ya Ulinzi wa Anga Ulilala Fofofo.
Dunia Inako Elekea Nipatamu sana
The main air defense system at a coalition military base in northeast Syria was “not fully...
Hivi karibuni Marekani ilitoa “Ripoti ya Haki za Kibinadamu katika Nchi mbalimbali Duniani”, na kulaani baadhi ya nchi kwa kutofanya vizuri katika kulinda haki za binadamu. Marekani hutoa ripoti kama hiyo kila mwaka. Lakini ukweli ni kwamba, utekelezaji wa haki za binadamu katika nchi moja...
Benki na taasisi za fedha barani Ulaya na Marekani zimeanza kuguswa na mtikisiko wa uchumi ambao unazikumba benki kadha mfano Uingereza na Uswisi nchini Uingereza benki zimeamua kuongeza kiwango cha riba kunusuru soko lao, nchini Ufaransa maanadamno ya kupinga ongezeko la ugumu wa maisha...
Msomi wetu Prof. Mohamed Janabi na bingwa wa magonjwa ya moyo pale JKCI na baadaye kupelekwa Muhimbili kimaguvu inasekana after being suffocated amekimbilia Marekani. Soma hapa:
" Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kimataifa ya Magonjwa ya Moyo iliyoko nchini Marekani (Hope Cardiology Institute) -...
Historia inaonesha kwamba Dola kubwa duniani zimewahi kusambaratika. Lakini katika zama zetu, Marekani ni Dola kubwa Ulimwenguni.
Huwa najiuliza ikitokea nchi ya Marekani ikasambaratika, kitatokea nini duniani?
Rais wa Taiwan Tsai Ing-wen kufanya ziara nchini Marekani huku China ikilaani kitendo hicho cha kuitaka kuitenga Beijing na kisiwa hicho chenye utawala wa ndani.
Katika ziara hiyo Weng atasimama katika miji ya Newyork na California ambapo atakutana na speaker wa Bunge la Marekani Mu Republican...
Ndege za Marekani mbili zatimuliwa kama mbwa koko baada ya kuingia kwenye anga la Urusi.
Kwa dharau mrusi akatuma ndege moja kuzifusha ndege za mbili Marekani. Ndege iliyotumwa ni aina ile ile ya ndege iliyotumika kuangusha drone ya Marekani huko black sea.
========
Russia’s defence ministry...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.