Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
2,648
3,938

Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza​

Oct 29, 2023 03:00 UTC
  • Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza
Jarida la Marekani linalohusika na masuala ya kijeshi limefichua kuwa vikosi maalumu vya nchi hiyo vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza.
Kwa mujibu wa shirika la habari la ISNA, Military Watch Magazine, limefichua katika makala yake kwamba kuna ripoti zinazoonyesha kuwa Marekani imetuma vikosi vyake vya operesheni maalumu huko Ukanda wa Gaza kwa ajili ya kuanzisha mashambulizi ya pamoja na jeshi la Israel dhidi ya Harakati ya Hamas katika eneo hilo.
Jarida hilo limemnukuu Douglas McGregor, kanali mstaafu wa Jeshi la Marekani na kutangaza kuwa katika muda wa saa 24 zilizopita, idadi kubwa ya vikosi maalumu vya Marekani na Israel vimeingia huko Gaza ili kufanya upelelezi kwa lengo la kupanga mikakati ya mahali vinakotaka kushambulia kwa ajili ya kuwakomboa mateka na kuleta mabadiliko katika eneo hilo.
4c3q7bccbb1ae22dztm_800C450.jpg
Douglas McGregor
Afisa huyo wa Marekani ameendelea kufichua kwa kwa kusema, "kwa mujibu wa taarifa nilizonazo, vikosi hivyo vimeshambuliwa na kutiwa hasara kubwa".

Kwa kuzingatia kuwa Marekani ni muungaji mkono mkuu na wa bila masharti yoyote wa utawala wa Kizayuni, inataka kusiwepo na kizuizi wala mpaka wowote katika hatua inazochukua Israel dhidi ya Wapalestina na makundi ya Muqawama.

John Kirby, msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Ikulu ya White House amesema mapema leo: "sisi hatuiwekei Israel mistari myekundu. Tunaendelea kuunga mkono mahitaji yao ya kiusalama".

Hivi sasa utawala haramu wa Kizayuni ambao unapata uungaji mkono kamili wa Washington inayoukingia kifua dhidi ya azimio lolote la kukwamisha hatua zake za kijinai dhidi ya Wapalestina, unaendeleza mauaji ya kikatili na kinyama dhidi ya watu wasio na ulinzi wa Ukanda wa Gaza.
 

Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza​

Oct 29, 2023 03:00 UTC
  • Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza
Jarida la Marekani linalohusika na masuala ya kijeshi limefichua kuwa vikosi maalumu vya nchi hiyo vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza.
Kwa mujibu wa shirika la habari la ISNA, Military Watch Magazine, limefichua katika makala yake kwamba kuna ripoti zinazoonyesha kuwa Marekani imetuma vikosi vyake vya operesheni maalumu huko Ukanda wa Gaza kwa ajili ya kuanzisha mashambulizi ya pamoja na jeshi la Israel dhidi ya Harakati ya Hamas katika eneo hilo.
Jarida hilo limemnukuu Douglas McGregor, kanali mstaafu wa Jeshi la Marekani na kutangaza kuwa katika muda wa saa 24 zilizopita, idadi kubwa ya vikosi maalumu vya Marekani na Israel vimeingia huko Gaza ili kufanya upelelezi kwa lengo la kupanga mikakati ya mahali vinakotaka kushambulia kwa ajili ya kuwakomboa mateka na kuleta mabadiliko katika eneo hilo.
4c3q7bccbb1ae22dztm_800C450.jpg
Douglas McGregor
Afisa huyo wa Marekani ameendelea kufichua kwa kwa kusema, "kwa mujibu wa taarifa nilizonazo, vikosi hivyo vimeshambuliwa na kutiwa hasara kubwa".

Kwa kuzingatia kuwa Marekani ni muungaji mkono mkuu na wa bila masharti yoyote wa utawala wa Kizayuni, inataka kusiwepo na kizuizi wala mpaka wowote katika hatua inazochukua Israel dhidi ya Wapalestina na makundi ya Muqawama.

John Kirby, msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Ikulu ya White House amesema mapema leo: "sisi hatuiwekei Israel mistari myekundu. Tunaendelea kuunga mkono mahitaji yao ya kiusalama".

Hivi sasa utawala haramu wa Kizayuni ambao unapata uungaji mkono kamili wa Washington inayoukingia kifua dhidi ya azimio lolote la kukwamisha hatua zake za kijinai dhidi ya Wapalestina, unaendeleza mauaji ya kikatili na kinyama dhidi ya watu wasio na ulinzi wa Ukanda wa Gaza.
Halafu wanazunguka kuwalaza viongozi wa waarabu kwa kuwashinikiza kushikamana na mikataba ya kimataifa
 
Mwandishi ni jihadist hivyo moja kwa moja hii habari ni propaganda iliyotokea msikiti moja wa Ijumaa pale Manzese Uzuri.

Marekani hawezi kuingiza vikosi vyake Gaza yeye yuko kwenye bahari ya Mediterranean kuzuia mataifa yanayounga mkono ugaidi kama Iran yasiingize pua kwenye huu mgogoro. That's all.
 
Mwandishi ni jihadist hivyo moja kwa moja hii habari ni propaganda iliyotokea msikiti moja wa Ijumaa pale Manzese Uzuri.

Marekani hawezi kuingiza vikosi vyake Gaza yeye yuko kwenye bahari ya Mediterranean kuzuia mataifa yanayounga mkono ugaidi kama Iran yasiingize pua kwenye huu mgogoro. That's all.
Mbona Marekani kesha tuma wanajeshi nchi Israel kitambo tu labda ww sio mfuatiriaji.
Screenshot_20231024-091905.jpg
 
Mwandishi ni jihadist hivyo moja kwa moja hii habari ni propaganda iliyotokea msikiti moja wa Ijumaa pale Manzese Uzuri.

Marekani hawezi kuingiza vikosi vyake Gaza yeye yuko kwenye bahari ya Mediterranean kuzuia mataifa yanayounga mkono ugaidi kama Iran yasiingize pua kwenye huu mgogoro. That's all.
Subiri magaidi wa taifa teule waongee ndio uamini.
 

Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza​

Oct 29, 2023 03:00 UTC
  • Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza
Jarida la Marekani linalohusika na masuala ya kijeshi limefichua kuwa vikosi maalumu vya nchi hiyo vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza.
Kwa mujibu wa shirika la habari la ISNA, Military Watch Magazine, limefichua katika makala yake kwamba kuna ripoti zinazoonyesha kuwa Marekani imetuma vikosi vyake vya operesheni maalumu huko Ukanda wa Gaza kwa ajili ya kuanzisha mashambulizi ya pamoja na jeshi la Israel dhidi ya Harakati ya Hamas katika eneo hilo.
Jarida hilo limemnukuu Douglas McGregor, kanali mstaafu wa Jeshi la Marekani na kutangaza kuwa katika muda wa saa 24 zilizopita, idadi kubwa ya vikosi maalumu vya Marekani na Israel vimeingia huko Gaza ili kufanya upelelezi kwa lengo la kupanga mikakati ya mahali vinakotaka kushambulia kwa ajili ya kuwakomboa mateka na kuleta mabadiliko katika eneo hilo.
4c3q7bccbb1ae22dztm_800C450.jpg
Douglas McGregor
Afisa huyo wa Marekani ameendelea kufichua kwa kwa kusema, "kwa mujibu wa taarifa nilizonazo, vikosi hivyo vimeshambuliwa na kutiwa hasara kubwa".

Kwa kuzingatia kuwa Marekani ni muungaji mkono mkuu na wa bila masharti yoyote wa utawala wa Kizayuni, inataka kusiwepo na kizuizi wala mpaka wowote katika hatua inazochukua Israel dhidi ya Wapalestina na makundi ya Muqawama.

John Kirby, msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Ikulu ya White House amesema mapema leo: "sisi hatuiwekei Israel mistari myekundu. Tunaendelea kuunga mkono mahitaji yao ya kiusalama".

Hivi sasa utawala haramu wa Kizayuni ambao unapata uungaji mkono kamili wa Washington inayoukingia kifua dhidi ya azimio lolote la kukwamisha hatua zake za kijinai dhidi ya Wapalestina, unaendeleza mauaji ya kikatili na kinyama dhidi ya watu wasio na ulinzi wa Ukanda wa Gaza.
Neendeni mkapigane
 

Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza​

Oct 29, 2023 03:00 UTC
  • Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza
Jarida la Marekani linalohusika na masuala ya kijeshi limefichua kuwa vikosi maalumu vya nchi hiyo vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza.
Kwa mujibu wa shirika la habari la ISNA, Military Watch Magazine, limefichua katika makala yake kwamba kuna ripoti zinazoonyesha kuwa Marekani imetuma vikosi vyake vya operesheni maalumu huko Ukanda wa Gaza kwa ajili ya kuanzisha mashambulizi ya pamoja na jeshi la Israel dhidi ya Harakati ya Hamas katika eneo hilo.
Jarida hilo limemnukuu Douglas McGregor, kanali mstaafu wa Jeshi la Marekani na kutangaza kuwa katika muda wa saa 24 zilizopita, idadi kubwa ya vikosi maalumu vya Marekani na Israel vimeingia huko Gaza ili kufanya upelelezi kwa lengo la kupanga mikakati ya mahali vinakotaka kushambulia kwa ajili ya kuwakomboa mateka na kuleta mabadiliko katika eneo hilo.
4c3q7bccbb1ae22dztm_800C450.jpg
Douglas McGregor
Afisa huyo wa Marekani ameendelea kufichua kwa kwa kusema, "kwa mujibu wa taarifa nilizonazo, vikosi hivyo vimeshambuliwa na kutiwa hasara kubwa".

Kwa kuzingatia kuwa Marekani ni muungaji mkono mkuu na wa bila masharti yoyote wa utawala wa Kizayuni, inataka kusiwepo na kizuizi wala mpaka wowote katika hatua inazochukua Israel dhidi ya Wapalestina na makundi ya Muqawama.

John Kirby, msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Ikulu ya White House amesema mapema leo: "sisi hatuiwekei Israel mistari myekundu. Tunaendelea kuunga mkono mahitaji yao ya kiusalama".

Hivi sasa utawala haramu wa Kizayuni ambao unapata uungaji mkono kamili wa Washington inayoukingia kifua dhidi ya azimio lolote la kukwamisha hatua zake za kijinai dhidi ya Wapalestina, unaendeleza mauaji ya kikatili na kinyama dhidi ya watu wasio na ulinzi wa Ukanda wa Gaza.
ila Ripoti za Urusi na ukraine mnasema wamedanganya
 
Halafu wanazunguka kuwalaza viongozi wa waarabu kwa kuwashinikiza kushikamana na mikataba ya kimataifa
kwan si walisema waache mateka hawatavamia , unafurahia wazaz na ndugu za watu kushikwa mateka bila sabab za msingi
 
Inatosha mkuu. Sasa tuwaombee wawe na Amani maana dah kila saa kila siku ni nyuzi tu za Palestina. Pole na Mungu akutie nguvu bro katika kipindi kigumu na cha jaribu hili kubwa kwako Mpalestina wa Kisiju. Ebu kunywa chai na tulia kidogo mkuu.
mpalestina wa kisiju
 
Mwandishi ni jihadist hivyo moja kwa moja hii habari ni propaganda iliyotokea msikiti moja wa Ijumaa pale Manzese Uzuri.

Marekani hawezi kuingiza vikosi vyake Gaza yeye yuko kwenye bahari ya Mediterranean kuzuia mataifa yanayounga mkono ugaidi kama Iran yasiingize pua kwenye huu mgogoro. That's all.
Mbona kila mwaka Marekani inamimina dola bilioni nne kwa Israel? Hiyo si kuwasaidia katika mauaji ya Wapalestina?
 
mpalestina wa kisiju
Nakwambia, huyo mpalestina wa Kisiju kwa siku anaweka kuandika hata nyuzi 50 za kuomboleza na kuonea huruma Wapalestina tu na kusema kuwa wanaonewa. Akimaliza hapo anaweka Nyuzi 40 za kusifia waarabu wakiongozwa na Isbulah na Iran namna walivyojipanga kuipiga Marekani na Israel. Jamaa naona ameathirika kisailolojia. Anakuja na nyuzi 20 za namna vita ya hiyo inavyopiganwa dhid ya uislam. Bado kuhusu nyuzi za maandamamo na uungwaji mkono kwa wapalestina. Jamaa hajawahi kuandika kuhusu ADF, Al Shabab, ISIS, Boko Haram and co's wanavyoua waafrika.
 
Ni kweli kabisa mimi sio "Mfuatiriaji" ila mimi ni mfuatiliaji na ndio maana nimefahamu kwamba hawajaingiza majeshi ndani ya Israel na hawana mpango kama huo ila hizo ni propaganda za jihadists tu.
Kwa hiyo ww unajua kuliko Aljazeera aliye lipoti habari ya kuwa Marekani ametuma vikosi nchini Israel?
 
Halafu wanazunguka kuwalaza viongozi wa waarabu kwa kuwashinikiza kushikamana na mikataba ya kimataifa
Hizo chai, mstaafu kanali, amejuaje masuala ya ofisi? wakati ni mstaafi?

Hamas mmekwisha awamu hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom