Marekani yatangaza kuzifuta Uganda, Afrika ya Kati, Gabon na Niger kwenye Mpango wa Biashara na Afrika (AGOA)

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
1698743494094.png

Rais Joe Biden amesema Nchi hizo zitaondolewa katika Mpango wa Ukuaji na Fursa Afrika (AGOA) ulioanzishwa mwaka 2000 kutokana na ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu pamoja na Kutopiga Hatua za kuelekea katika Utawala wa Kidemokrasia.

Biden amesema "Licha ya majadiliano makubwa kati ya Marekani na Jamhuri ya Afrika ya Kati, Gabon, Niger na Uganda, nchi hizi zimeshindwa kushughulikia wasiwasi wetu kuhusu kutofuata vigezo Mpango wa AGOA,".

Mpango wa AGOA hutoa unafuu kwa Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara zilizokidhi vigezo kufanya biashara bila ushuru wa bidhaa Nchini Marekani kwa zaidi ya bidhaa 1,800.

Nchi nyingine zilizoondolewa kwenye mpango huo ni Burkina Faso, Mali na Guinea ambazo pia ziko chini ya utawala wa Kijeshi baada ya Vikosi vya Jeshi kuzipindua Serikali zilizokuwa Madarakani.
===========

US President Joe Biden has revealed plans to expel Uganda, Gabon, Niger and the Central African Republic from a special US-Africa trade programme.

The countries were either involved in "gross violations" of human rights or not making progress towards democratic rule, the president said.

The US introduced the African Growth and Opportunity Act (Agoa) in 2000.

It grants eligible sub-Saharan African countries with duty-free access to the US for more than 1,800 products.

President Biden said that Niger and Gabon - both of which are currently under military rule following coups this year - are ineligible for Agoa because they "have not established, or are not making continual progress toward establishing the protection of political pluralism and the rule of law".

He also said that the removal of the CAR and Uganda from the programme was due to "gross violations of internationally recognised human rights" by their governments.

In May, the US government said it was considering removing Uganda from Agoa and introducing sanctions on the country after it passed a controversial anti-homosexuality law.

The law, which imposes a death penalty on people found guilty of engaging in certain same-sex acts, has faced global criticism.

"Despite intensive engagement between the United States and the Central African Republic, Gabon, Niger, and Uganda, these countries have failed to address United States concerns about their non-compliance with the Agoa eligibility criteria," President Biden said on Monday, in a letter addressed to the speaker of the US House of Representatives.

The four countries are yet to react to the announcement.

Their expulsion from Agoa is set to take effect from the start of next year and is likely to impact their economies, as Agoa has been credited with promoting exports, economic growth and job creation among participating countries.

The threat to exclude Niger and Gabon from Agoa is the latest US government action against the two junta-led countries.

The US State Department announced last week that it had suspended most foreign aid to Gabon and would only resume assistance if Gabon's transitional government establishes democratic rule.

In August, US Secretary of State Antony Blinken announced a similar measure against Niger, saying that the US "is pausing certain foreign assistance programs benefitting the government of Niger".

Burkina Faso, Mali and Guinea have all previously been expelled from Agoa after military coups in those countries.

BBC
 
Tatizo la Africa ni kukosa umoja na kukubali kugawanywa. Pindi tutakapo anza kuwa na sauti moja ndipo tutaanza kufanikiwa kama bara
 
View attachment 2798757
Rais Joe Biden amesema Nchi hizo zitaondolewa katika Mpango wa Ukuaji na Fursa Afrika (AGOA) ulioanzishwa mwaka 2000 kutokana na ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binadamu pamoja na Kutopiga Hatua za kuelekea katika Utawala wa Kidemokrasia.

Biden amesema "Licha ya majadiliano makubwa kati ya Marekani na Jamhuri ya Afrika ya Kati, Gabon, Niger na Uganda, nchi hizi zimeshindwa kushughulikia wasiwasi wetu kuhusu kutofuata vigezo Mpango wa AGOA,".

Mpango wa AGOA hutoa unafuu kwa Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara zilizokidhi vigezo kufanya biashara bila ushuru wa bidhaa Nchini Marekani kwa zaidi ya bidhaa 1,800.

Nchi nyingine zilizoondolewa kwenye mpango huo ni Burkina Faso, Mali na Guinea ambazo pia ziko chini ya utawala wa Kijeshi baada ya Vikosi vya Jeshi kuzipindua Serikali zilizokuwa Madarakani.
===========

US President Joe Biden has revealed plans to expel Uganda, Gabon, Niger and the Central African Republic from a special US-Africa trade programme.

The countries were either involved in "gross violations" of human rights or not making progress towards democratic rule, the president said.

The US introduced the African Growth and Opportunity Act (Agoa) in 2000.

It grants eligible sub-Saharan African countries with duty-free access to the US for more than 1,800 products.

President Biden said that Niger and Gabon - both of which are currently under military rule following coups this year - are ineligible for Agoa because they "have not established, or are not making continual progress toward establishing the protection of political pluralism and the rule of law".

He also said that the removal of the CAR and Uganda from the programme was due to "gross violations of internationally recognised human rights" by their governments.

In May, the US government said it was considering removing Uganda from Agoa and introducing sanctions on the country after it passed a controversial anti-homosexuality law.

The law, which imposes a death penalty on people found guilty of engaging in certain same-sex acts, has faced global criticism.

"Despite intensive engagement between the United States and the Central African Republic, Gabon, Niger, and Uganda, these countries have failed to address United States concerns about their non-compliance with the Agoa eligibility criteria," President Biden said on Monday, in a letter addressed to the speaker of the US House of Representatives.

The four countries are yet to react to the announcement.

Their expulsion from Agoa is set to take effect from the start of next year and is likely to impact their economies, as Agoa has been credited with promoting exports, economic growth and job creation among participating countries.

The threat to exclude Niger and Gabon from Agoa is the latest US government action against the two junta-led countries.

The US State Department announced last week that it had suspended most foreign aid to Gabon and would only resume assistance if Gabon's transitional government establishes democratic rule.

In August, US Secretary of State Antony Blinken announced a similar measure against Niger, saying that the US "is pausing certain foreign assistance programs benefitting the government of Niger".

Burkina Faso, Mali and Guinea have all previously been expelled from Agoa after military coups in those countries.

BBC
sisi mbon hatumo,ina maana tulishaukubali USHOGA!!!
 
Mungu awape mwendo mwema hekima na busara ya kimungu ikawaongoze. Eeh inchi shida taabu mateso Ni ya muda Ila utu na udumu milele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom