Marekani yaipiga chenga Iran, yakiuka makubaliano

crankshaft

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,410
3,376
Wiki kadhaa zilizopita Iran na marekani walifikia makubaliano ya kubadilishana wafungwa.

Makubaliano hayo yalihusisha kuachiliwa zaidi ya Dolla billion 6 (zaidi ya trillion 12 za kitanzania) , Mali ya Iran ambazo marekani ilizizuia kutokana na vikwazo vyake kwa taifa Hilo kwa ajili ya matumizi ya kibinadam huko Iran.

Rais wa Iran alipoulizwa kuhusu Hilo alisemaa Iran itazitumia pesa hizo popote inapotaka kwa sababu Ni zake lakini waziri blinken wa marekani alisema Ni kwa matumizi ya kiraia "and we have the means to do that"


Wafungwa waliachiliwa lakini imekuja kugundulika kuwa marekani wamefikia makubaliano na Qatar,mpatanishi wa dili Hilo kuwa hizo pesa haziendi popote

Source:rt
 
20230930_013345.jpg
 
Sidhani kama Marekani hataziachia hizo hela kwa sababu anajua maisha bado yanaendelea na Iran ni mtu mwenye visasi.

Itakuwa Marekani anaangalia namna ya kumpangia Irani matumizi ya pesa hizo.
 
Wiki kadhaa zilizopita Iran na marekani walifikia makubaliano ya kubadilishana wafungwa.

Makubaliano hayo yalihusisha kuachiliwa zaidi ya Dolla billion 6 (zaidi ya trillion 12 za kitanzania) , Mali ya Iran ambazo marekani ilizizuia kutokana na vikwazo vyake kwa taifa Hilo kwa ajili ya matumizi ya kibinadam huko Iran.

Rais wa Iran alipoulizwa kuhusu Hilo alisemaa Iran itazitumia pesa hizo popote inapotaka kwa sababu Ni zake lakini waziri blinken wa marekani alisema Ni kwa matumizi ya kiraia "and we have the means to do that"


Wafungwa waliachiliwa lakini imekuja kugundulika kuwa marekani wamefikia makubaliano na Qatar,mpatanishi wa dili Hilo kuwa hizo pesa haziendi popote

Source:rt
Ujinga tu marekani unamsumbua. Eti inahofiwa hizo pesa zitakwenda kufadhili Hamas na Hezbollah. Cha kujiuliza wakizizuia hizo pesa ndio iran haitakuwa na fedha za kufadhili?
 
Ujinga tu marekani unamsumbua. Eti inahofiwa hizo pesa zitakwenda kufadhili Hamas na Hezbollah. Cha kujiuliza wakizizuia hizo pesa ndio iran haitakuwa na fedha za kufadhili?
Halafu hiyo imesaidia kuonesha kumbe kipigo chote hicho wala hakukutumika pesa nyingi.Hizo zilizotaka kurejeshwa wamezuia kabla hazijatumika.Si watu wa ahadi wala kufanya nao makubaliano ukataraji kulinda mkataba.
Wamepokea mateka na pesa wamezuia.Hizo ni akili za kijambazi.
 
Sidhani kama Marekani hataziachia hizo hela kwa sababu anajua maisha bado yanaendelea na Iran ni mtu mwenye visasi.

Itakuwa Marekani anaangalia namna ya kumpangia Irani matumizi ya pesa hizo.
Marwkani anataka guarantee hizo pesa zikatumike kama walivyokubaliana na si miradi mingine hatarishi ya iran.

So anataka pesa iende direct kwenye target
 
Halafu hiyo imesaidia kuonesha kumbe kipigo chote hicho wala hakukutumika pesa nyingi.Hizo zilizotaka kurejeshwa wamezuia kabla hazijatumika.Si watu wa ahadi wala kufanya nao makubaliano ukataraji kulinda mkataba.
Wamepokea mateka na pesa wamezuia.Hizo ni akili za kijambazi.
Hilo halina ubishi. Njia zilizotumika kuwateka, zipo nyingine pia za kuwateka wengine
 
Sidhani kama Marekani hataziachia hizo hela kwa sababu anajua maisha bado yanaendelea na Iran ni mtu mwenye visasi.

Itakuwa Marekani anaangalia namna ya kumpangia Irani matumizi ya pesa hizo.
Kwa hiyo wewe mpiga debe wa stendi ya Mbezi ndio umekuwa msemaji wa ikulu ya White House...!!!😂😂😂
 
Kwa hiyo wewe mpiga debe wa stendi ya Mbezi ndio umekuwa msemaji wa ikulu ya White House...!!!😂😂😂
Hili ni JF na hili ni jukwaa la kimataifa, hivyo sidhani kama kuna ubaya wa kutoa mawazo mada ikiwekwa mezani, la sivyo JF isiwepo ili tusijadili nyuzi mbalimbali.

Katika jukwaa la kimataifa watu wanatoa maoni kwa kutumia angle mbalimbali mfano kusikia, uzoefu wa kuishi, kusoma mitandaoni nk ila siri inabaki kwa wenye nchi husika.
 
Irani wapewe Rupia za india, dollar za nini na walisema wameonda BRICS kupinga matumizi ya dollar? Njaa mbaya unaweza kula matapishi ya mbwa.
 
Back
Top Bottom