Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,473
- 12,866
Acheni unafiki baadhi ya binadamu wa bara la Asia ya kati na Afrika na bara arab.
Mnajifanya kuwachukia wazungu wa ulaya na marekani ila kila siku mnakimbilia kuomba hifadhi huko.
Mnatumia mpaka satelite zao na teknolojia zao na elimu zao na mnapenda tamaduni zao.
Acheni unafiki wabantu na watu wa jamii za Asia ya kati na bara arab.Mkubali tu wazungu wametuzidi na tuwape kongole zao.
Kila kukicha mnakimbilia huko kama wamewaroga na uchawi wao wa kizungu.
Lakini mkishashiba kashata na kahawa na ugali na biriani mnaanza kupiga kelele kwenye platform za hao hao wazungu kua ni mabeberu.
Na mnajifunza lugha zao pia ili kurahisisha mawasiliano duniani.
Hakuna watu wanafiki na watu wenye husda kama wakazi wa bara la afrika na bara Asia ya kati na bara arab.
Badala ya kupambana kimikakati tunaishia ila siku kulalamika.
Ukiona binadamu anapenda kulalamika na kukosoa bila mantinki bas ujue huyo ana wivu na husda na chuki binafsi.
Tunashindwa mpaka na wakazi wa bara Hindi na mashariki ya mbali na wayahudi.
Kila siku tunaishia kulalamika na kukimbilia ulaya na marekani.
NB: NENDA ULAYA NA MAREKANI UONE VIJANA WA KIAFRIKA NAMAANISHA WABANTU NA KIAZERI NA KIAFGHAN NA KIARABU NIMETAJA KWA UCHACHE TU WANAVYOPATA SHIDA KUISHI HUKO.
MFANO MZURI NI KWENYE KAMBI YA WAKIMBIZI ISIYO RASMI KWENYE MLANGO BAHARI WA UFARANSA NA UINGEREZA.
Mnajifanya kuwachukia wazungu wa ulaya na marekani ila kila siku mnakimbilia kuomba hifadhi huko.
Mnatumia mpaka satelite zao na teknolojia zao na elimu zao na mnapenda tamaduni zao.
Acheni unafiki wabantu na watu wa jamii za Asia ya kati na bara arab.Mkubali tu wazungu wametuzidi na tuwape kongole zao.
Kila kukicha mnakimbilia huko kama wamewaroga na uchawi wao wa kizungu.
Lakini mkishashiba kashata na kahawa na ugali na biriani mnaanza kupiga kelele kwenye platform za hao hao wazungu kua ni mabeberu.
Na mnajifunza lugha zao pia ili kurahisisha mawasiliano duniani.
Hakuna watu wanafiki na watu wenye husda kama wakazi wa bara la afrika na bara Asia ya kati na bara arab.
Badala ya kupambana kimikakati tunaishia ila siku kulalamika.
Ukiona binadamu anapenda kulalamika na kukosoa bila mantinki bas ujue huyo ana wivu na husda na chuki binafsi.
Tunashindwa mpaka na wakazi wa bara Hindi na mashariki ya mbali na wayahudi.
Kila siku tunaishia kulalamika na kukimbilia ulaya na marekani.
NB: NENDA ULAYA NA MAREKANI UONE VIJANA WA KIAFRIKA NAMAANISHA WABANTU NA KIAZERI NA KIAFGHAN NA KIARABU NIMETAJA KWA UCHACHE TU WANAVYOPATA SHIDA KUISHI HUKO.
MFANO MZURI NI KWENYE KAMBI YA WAKIMBIZI ISIYO RASMI KWENYE MLANGO BAHARI WA UFARANSA NA UINGEREZA.