marehemu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kuna haja sasa wosia wa marehemu ukataja mali za muhusika

    wanabodi Nimekaa nikawaza hili jambo, mara zote wosia wa marehemu unajikita kwenye historia ya elimu, kuoa au kuolewa na kazi ila hazitaji mafanikio ya kimsingi kwa marehemu, its high time tubadilishe hili pengine tukahimiza maendeleo ya vitu kwa jamii zetu
  2. Ijue 40 anayofanyiwa marehemu

    Wengi huwa aidha tumewahi kuandaa shughuli ya 40, kwa marehemu wetu au tumewahi kushiriki ufanyikaji wa 40, kwa majirani au rafiki zatu katika kumaliza msiba! Shughuli hii imekuwa ikifanyika sana na dini zote mbili kwa maana waisilam na Wakristo pia. Ipo hivi: Watu wengi wamekuwa wakifanya...
  3. K

    Kuna tofauti gani kati ya Hayati na Marehemu?

    Kwa wale wajuzi wa lugha yetu tofauti ya maneno hayo ni nini hasa? Michango ya wadau
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…