Profesa Muhongo: Siyo haki kutengeneza sanamu kama ishara ya kumkumbuka marehemu, ingejengwa taasisi ya huduma za kijamii

Ujinga umetamalaki nchi hii, eti wanamjengea sanamu dhalimu mwendazake!!!! Kwa lipi hasa?

Bomoa Bomoa, udikteta, kubambikia watu kesi FAKE na kisha kuwapora billions zao? Kuwapora wenye maduka ya pesa za kigeni Arusha na Dar?

Kuteka, kutesa na mauaji ya kutisha?
 
Mbunge wa Msoma vijijini Prof Muhongo amesema siyo kumbukumbu nzuri kumtengenezea sanamu marehemu au hayati na badala yake ni kheri fedha hizo zikatumika kujenga taasisi ya kuhudumia jamii kwa ajili ya kumbukumbu ya huyo anayetakiwa kukumbukwa.


Source: Tanzania Abroad tv

Mawazo mazuri, yanini kuteketeza 420m kwa ajili ya sanamu?
 
Mbunge wa Msoma vijijini Prof Muhongo amesema siyo kumbukumbu nzuri kumtengenezea sanamu marehemu au hayati na badala yake ni kheri fedha hizo zikatumika kujenga taasisi ya kuhudumia jamii kwa ajili ya kumbukumbu ya huyo anayetakiwa kukumbukwa.


Source: Tanzania Abroad tv

Prof. Sospeter Muhogo ameongea la maana, wanaotaka kumuenzi wajenge maktaba au kitu chochote kwa matumizi ya wengi ambacho kitaweka kumbukumbu za marais wastaafu. Hili la sanamu halina faida.

Wangepitisha muswada bungeni kama ilivyo USA ambapo pesa zisizo za serikali zinaweza kujenga maktaba kwa ajili ya ukkumbusho n.k

Since 1941, 10 more presidential libraries have opened around the country, with two more scheduled. One will be for President George W. Bush, and the other will result from the conversion of the private Nixon Library in Yorba Linda, California, into a federal facility that includes records of Richard M. Nixon's presidency, now with the Nixon Presidential Materials Staff at the National Archives in College Park, Maryland.

These libraries, all built with nonfederal funds then donated to the federal government, are operated and maintained by the National Archives and Records Administration and staffed by NARA employees who care for the archival records and the museum collections and make them available for research. Although the libraries are federal facilities, they also draw support from affiliated foundations or institutes that help underwrite research grants, outreach programs, exhibits, and other program and facility enhancements.

In this special "Spotlight on NARA," Raymond Geselbracht and Timothy Walch trace the origins of the important 1955 legislation.

Logo for Office of Presidential Libraries


The Presidential Libraries Act after 50 Years

By Raymond Geselbracht and Timothy Walch


Last November 18, former President William J. Clinton exercised the provisions of a little-known law that has helped assure the preservation of presidential history for 50 years.

On that day, he transferred ownership of the new William J. Clinton Presidential Library to the U.S. Government, marking the 10th time since 1955 that a former President had invoked the Presidential Libraries Act.

Read more : The Presidential Libraries Act after 50 Years
 
Mbunge wa Msoma vijijini Prof Muhongo amesema siyo kumbukumbu nzuri kumtengenezea sanamu marehemu au hayati na badala yake ni kheri fedha hizo zikatumika kujenga taasisi ya kuhudumia jamii kwa ajili ya kumbukumbu ya huyo anayetakiwa kukumbukwa.


Source: Tanzania Abroad tv

Mwambie Profesa asiogope! Sanamu itajengwa na taasisi zitaanzishwa na mengine meeengi
 
Naona ifike mahali huu ujinga wa kutumia majina ya viongozi mali za umma majina ya viongozi kisa dhamana ife. Kodi ni zetu halaf mnaleta ujinga. Tukukumbuke vipi na kodi no zetu na ulikubali kuwa kiongozi mwenye dhamana. Huu ujinga ufee
 
Hiyo pesa ingetumika kuazzisha taasisi huru itakayoitwa Magufuli. Taasisi itakayotoa mafunzo ya utawala bora.

Jina la marehemu litukumbushe na kutufundisha ubaya wa udikteta. Matukio yote mabaya aliyoyafanya marehemu yatumike kama mifano ya utawala mbaya.

Wananchi tupo tayari hata kuchanga kwaajili ya kuanzisha taasisi hiyo.
 
Mbunge wa Msoma vijijini Prof Muhongo amesema siyo kumbukumbu nzuri kumtengenezea sanamu marehemu au hayati na badala yake ni kheri fedha hizo zikatumika kujenga taasisi ya kuhudumia jamii kwa ajili ya kumbukumbu ya huyo anayetakiwa kukumbukwa.


Source: Tanzania Abroad tv
Angalau leo ameamka hajambo
 
Hakuna jina linanichefua kama kuitwa Magufuli terminal maamaae.

Ile Mbezi Terminal sounded way too better.
Lakini kwakua kuna wapumbavu kutwa kujikomba komba basi ndo hivyo. Ni kwanini sisi watanzania wajinga hivi? Kwanini mambo ya kijamii na huduma tunazoletewa na serikali inainekana mama vile tunafanyiwa favour wakati ni kodi zetu? Kiongozi hupeleka pesa kutokana na mahitaji husika. Huu ujinga ufe. Kwani nikimkumbuka ndo napata hela? Mfieew.
 
Ujinga umetamalaki nchi hii, eti wanamjengea sanamu dhalimu mwendazake!!!! Kwa lipi hasa? Bomoa Bomoa, udikteta, kubambikia watu kesi FAKE na kisha kuwapora billions zao? Kuwapora wenye maduka ya pesa za kigeni Arusha na Dar? Kuteka, kutesa na mauaji ya kutisha?
Maajabu TZ
 
Back
Top Bottom