Habari za wakati huu nimepata kitu ningependa kushiriki nanyi wapendwa..
1)Mahusiano ni magumu na kila uhusiano ni tofauti kikubwa fuata hisia zako tu.
2)Subiri umri sahihi ufike usichekewe sana wala usiwahi sana. Umri sahihi ni ule ambao unaona wewe unaweza kuhimili majukumu na changamoto za...
Ikiwa wewe ni mzazi mwema basi unatakiwa kuelewa kwamba kizazi ulichonacho ili kiwe bora basi unatakiwa kuwekeza nguvu na akili nyingi katika kuwafanya wanao waje kuwa ni watu bora zaidi.
Ili uweze kufanya hivyo unatakiwa kuwajenga watoto wako kiakili, hekima busara na maarifa sio kukimbilia...
Katika mapenzi kuna mambo mengi ndo mana unatakiwa kuwaheshimu wanandoa waliozeeka pamoja mana mambo ni mengi muda hautoshi.
Kwenye ndoa kuna ule muda mmeshapiga kolabo tayari sasa unataka kufanya mambo yako mengine tena mambo muhimu ambayo lazima ufanye au umechoka sana unataka kulala ile...
Mpaka unaamua kumkaribisha nyumbani first dinner mpenzi wako ni lazima umemuamini na kuna vitu vimekuvutia kwake. Hii ni nafasi yako ya kujionyesha kwake uhalisia wako.
1. Nyumba iwe kwenye mpangilio mzuri. Hata kama unaishi kwenye chumba kimoja, tandika kitanda na uandae sehemu za kukaa...
Mtoto anapofikisha miaka 10 unatakiwa uwe umemfundisha tabia nzuri wakati wa Chakula (Table manners). Tabia hizi huweza kumsaidia miaka ya baadaye akiwa kwenye mikutano muhimu inayoambatana na chakula
Hakikisha anajua namna ya kuzungumza na Watu hasa ana kwa ana. Zaidi ya nusu ya Vijana wa sasa...
Rais Biden wa Marekani ameanza shughuli za kikazi na kama ilivyo kawaida kwa Marekani, rais mpya lazima aanze kwa kushauriana na viongozi wenye ushawishi mkubwa kwenye kila kanda, hapa kaongea na rais Uhuru ili kuwekana sawa kwenye baadhi ya mambo muhimu yanayoihusu Afrika...
Vipimo na tafiti muhimu kufanya kabla ya kupata ujauzito
Ikiwa umeamua kufanya vipimo vya awali kabla ya kupata ujauzito, mtaalamu wako wa afya au nesi anaweza kukuliza kuhusu:
Kazi yako-atakuuliza kama kazi yako inahusisha kufanya kazi na vitu hatari
Kama una tatizo na siku zako za hedhi
Hali...
Je? Wewe ni mmoja kati ya wanaosema maumivu ya kuachwa ni makali kushinda maumivu ya viungo vya mwili? Mbona ni kama unajaribu kuwashauri madaktari waanze kufanya oparesheni bila ganzi hivi? Enewei! Tuachane na hilo! Jambo la msingi ni kuwa kuna maisha baada ya Brekapu 💔!
Yafuatayo ni mambo...
Maana ya Usalama wa Barua Pepe (Email Security)
Usalama wa Barua pepe ni hatua zote muhimu ambazo zinatumia kulinda mawasiliano na taarifa zinazokuja au kutumwa kutoka kwa Mtu mmoja hadi mwingine. Ulinzi huu unahakikisha hakuna Mtu asiyemlengwa au kuhusika / mdukuzi anayepata fursa au nafasi ya...
Hatua ya kwanza: Miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito
1. Panga kuonana na mkunga wako
Mara baada ya kujua una ujauzito, mjuliswhe daktari wako ili uweze kupanga kuonana naye. Kwenda na wakati ni jambo la msingi pindi unaonana na daktari, inategemea unaishi wapi na lazima uwe umepanga kuonana na...
Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa wazazi/walezi kuna kipindi katika maisha yao hulazimika kutafuta wasaidizi wa kuwalelea watoto wao. Wazazi/walezi wengi katika juhudi za kuyafikia mahitaji yao na ya watoto wao hujikuta wanakosa kabisa muda wa kuwapa uangalizi wa kutosha watoto wao hivyo...
NI watu wachache sana ambao wakiandika vitabu kuhusu maisha yao, huwa wanaweka mambo yote makuu yaliyotokea katika maisha yao, kwa kuwa labda wanahofia yatawachafua au yatawapotezea umaarufu. Hivyo basi mara nyingi vitabu kuhusu maisha ya watu ambavyo vimehaririwa na wao wenyewe, hutokea kuwa...
Naam! Nawaletea neno la siku; tupo likizo kidogo.
1. KUWA NA MARAFIKI AMBAO WANA FAIDA KATIKA MAISHA YAKO: Unaweza kuta mtu katika simu yake ana marafiki zaidi ya 200 lakini hawa wote anapopata tatizo au shida akianza kuomba msaada katika hao marafiki hata shilingi laki 5 haifiki, sasa kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.