Je, mtoto anaweza kulelewa kwa mafanikio ikiwa sheria za malezi za wazazi/walezi wake zitakuwa tofautitofauti? Yaani Baba ana kanuni na taratibu hii, Mama ana kanuni na taratibu hii. Yapi maoni yako?
Wazazi/walezi wengi duniani kote wamekuwa katika mahangaiko ya kutafuta njia sahihi za kuzitumia katika kupata matokeo chanya kwenye nyanja mbalimbali za maisha ya watoto wao: wachache sana wamefanikiwa, lakini wengi wameshindwa kutokana na kutojua njia mbalimbali wanazoweza kuzitumia ili...
Habarini Wadau wa MMU, suala la malezi ni changamoto sikuzote,kulea watoto halijawahi kuwa rahisi hata mara moja
tena wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,kwamba utu au tabia za mtoto wako ni matunda ya malezi yako,kama ni ukatili,upendo,huruma,uchapa kazi au uvivu vyote ni matokeo ya malezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.