Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 7,798
- 20,748
Wadau poleni kwa hofu ya Corona
Ngoja niende moja kwa moja na mada yangu. Kutokana na wanafunzi kupewa likizo warudi majumbani mdogo wangu wa kike ambaye yuko form two amefika kwangu. Wiki iliyopita nimesikia akiongea na simu usiku nikanyata mpaka mlangoni kwake nisikie anaongea na nani saa nane za usiku.
Nikasikia lound speaker sauti ya kiume inamuliza “Umevaa nguo gani?” mdogo wangu wa kike akajibu “nimevaa skirt”, ile sauti ikamuliza tena “ndani umevaa nini?” Mdogo wangu akajibu “nimevaa chupi ya zebra zebra”. Jamaa akadai hajamuelewa, basi mdogo wangu akajibu “nimevaa chupi ya rangi ya pundamilia pundamilia”. Jamaa likajibu “nitumie picha nione basi na leo, ila ile picha ya chupi uliyonitumia siku ile inakupendeza sana”, mdogo wangu akauliza “picha ya chupi ipi ile ya pink, nyekundu au ile yenye rangi ya bendera ya Tanzania?”
Nikarudi nyuma mpaka mlangoni kwanghu nikabamiza mlango wangu wa ndani nikaja sebeuleni alafu nikarudi mpaka mlangoni kwake nikajikoholesha kidogo, akakaa kimya Sana kana kwamba hakuna kinaendendelea. Nikagonga mlango akaamka akajifanya alikuwa amelala usingizi wa pono fofofo. Nikamuliza “we mbona hujazima taa?” Huwezi amini huyu mdogo wangu kanijibu “nilikuwa nimepitiwa na usingizi nikasahau kuzima”. Nikamwambia zima taa ukalale, sikutaka kusema nae nikajipa mda niwaze hili swali na nilipatie utatuzi upi baada ya kulitafakari.
Nakumbuka kabla hajaingia likizo aliniomba hela ya vitu vya shule kununua sasa jana nikamuliza “ile hela niliyokupa ukanunue vitu vya shule umenunua vitu gani?”. Huwezi amini mdogo wangu akaanza kunipiga Kiswahili “nimenunua kitabu cha mbala the farmer nimemuazima rafiki yangu tukirudi shule atanirudishia”. Akiwa anapika nikachukua simu yake nikafungua nisome messages zake nikakuta message kamtumia rafiki yake kamwambia “Kevin xna tn mpang nae nimemuhong mpk elf 30 lkn hapendek”. Rafiki yake akajibu “whs ur boi nw”. Akajibu “nin Mr ana boda boda afu ana cash nyng xn”.
Nikamfata jikoni kwa hasira nikajikuta nimemtandika kofi moja paaap nikarudish kelbu nyingine akaangukia kwenye ndoo za maji ya kupikia, kuogopa nitaua dada wa kazi akanishikilia, kwa hasira nikajikuta nimemtandika nae kofi paap nikarudisha kelbu moja matata akaangukia kwenye sufuria. Kusikia kelele jikoni wife kaja anakimbia nikamsikia wife akipiga kelele “mume wangu utaua watoto kuna nini kwani?”. Akaja akanishika mkono akanikumbatia mgongoni hasira zangu zikaisha.
Niakenda ndani kujifungia hasira zangu zilipoisha Nikajutia/Najutia Sana kitendo kile cha kuwapiga makofi sikutegemea kama nina hasira kiasi kile. Nikatoka nikamuomba dada wa kazi msamaha sikuwa sawa akakubali, nimemuhaidi nitamshonea gauni la kitenge kanisamehe kwa moyo mmoja. Leo siku nzima ananiuliza “baba si uniongezee tu hiyo hela uninunulie simu ile ya kupangusa”. Huyu mdogo wangu wa kike sikupinga kuwa na simu kwa kuwa tunaendana na utandawazi hivyo sikuona sababu ya kumnyima simu ila kwa sasa nimemnyang’anya inamfanya awe mjinga. Ila wazazi wenye watoto wa kike naomba niwaulize hivi ni kitu gani kama wazazi tunatakiwa kuwafanyia watoto wa kike ili wafunguke akili?
Ngoja niende moja kwa moja na mada yangu. Kutokana na wanafunzi kupewa likizo warudi majumbani mdogo wangu wa kike ambaye yuko form two amefika kwangu. Wiki iliyopita nimesikia akiongea na simu usiku nikanyata mpaka mlangoni kwake nisikie anaongea na nani saa nane za usiku.
Nikasikia lound speaker sauti ya kiume inamuliza “Umevaa nguo gani?” mdogo wangu wa kike akajibu “nimevaa skirt”, ile sauti ikamuliza tena “ndani umevaa nini?” Mdogo wangu akajibu “nimevaa chupi ya zebra zebra”. Jamaa akadai hajamuelewa, basi mdogo wangu akajibu “nimevaa chupi ya rangi ya pundamilia pundamilia”. Jamaa likajibu “nitumie picha nione basi na leo, ila ile picha ya chupi uliyonitumia siku ile inakupendeza sana”, mdogo wangu akauliza “picha ya chupi ipi ile ya pink, nyekundu au ile yenye rangi ya bendera ya Tanzania?”
Nikarudi nyuma mpaka mlangoni kwanghu nikabamiza mlango wangu wa ndani nikaja sebeuleni alafu nikarudi mpaka mlangoni kwake nikajikoholesha kidogo, akakaa kimya Sana kana kwamba hakuna kinaendendelea. Nikagonga mlango akaamka akajifanya alikuwa amelala usingizi wa pono fofofo. Nikamuliza “we mbona hujazima taa?” Huwezi amini huyu mdogo wangu kanijibu “nilikuwa nimepitiwa na usingizi nikasahau kuzima”. Nikamwambia zima taa ukalale, sikutaka kusema nae nikajipa mda niwaze hili swali na nilipatie utatuzi upi baada ya kulitafakari.
Nakumbuka kabla hajaingia likizo aliniomba hela ya vitu vya shule kununua sasa jana nikamuliza “ile hela niliyokupa ukanunue vitu vya shule umenunua vitu gani?”. Huwezi amini mdogo wangu akaanza kunipiga Kiswahili “nimenunua kitabu cha mbala the farmer nimemuazima rafiki yangu tukirudi shule atanirudishia”. Akiwa anapika nikachukua simu yake nikafungua nisome messages zake nikakuta message kamtumia rafiki yake kamwambia “Kevin xna tn mpang nae nimemuhong mpk elf 30 lkn hapendek”. Rafiki yake akajibu “whs ur boi nw”. Akajibu “nin Mr ana boda boda afu ana cash nyng xn”.
Nikamfata jikoni kwa hasira nikajikuta nimemtandika kofi moja paaap nikarudish kelbu nyingine akaangukia kwenye ndoo za maji ya kupikia, kuogopa nitaua dada wa kazi akanishikilia, kwa hasira nikajikuta nimemtandika nae kofi paap nikarudisha kelbu moja matata akaangukia kwenye sufuria. Kusikia kelele jikoni wife kaja anakimbia nikamsikia wife akipiga kelele “mume wangu utaua watoto kuna nini kwani?”. Akaja akanishika mkono akanikumbatia mgongoni hasira zangu zikaisha.
Niakenda ndani kujifungia hasira zangu zilipoisha Nikajutia/Najutia Sana kitendo kile cha kuwapiga makofi sikutegemea kama nina hasira kiasi kile. Nikatoka nikamuomba dada wa kazi msamaha sikuwa sawa akakubali, nimemuhaidi nitamshonea gauni la kitenge kanisamehe kwa moyo mmoja. Leo siku nzima ananiuliza “baba si uniongezee tu hiyo hela uninunulie simu ile ya kupangusa”. Huyu mdogo wangu wa kike sikupinga kuwa na simu kwa kuwa tunaendana na utandawazi hivyo sikuona sababu ya kumnyima simu ila kwa sasa nimemnyang’anya inamfanya awe mjinga. Ila wazazi wenye watoto wa kike naomba niwaulize hivi ni kitu gani kama wazazi tunatakiwa kuwafanyia watoto wa kike ili wafunguke akili?