makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Nini sababu ya Makonda kuwekwa Naibu wa pili katika Wizara ya utamaduni?

    Kwani ni sawa wizara moja kuwa na Naibu Nawaziri wawili? Huyu mama mbona anaanzisha ambavyo havikuwepo kabisa? Na yote hii ni namna ya kutafuta kupiga pesa tu. Inawezekanaje Wizara moja kuwa na naibu mawaziri wawili?
  2. M

    PostGE2025 Namtafuta makonda simuoni?

    Yule jamaa aliyetumia nguvu kubwa kuupata ubunge mbona simuoni?
  3. M

    PostGE2025 Baada ya Dkt. Mwigulu Nchemba kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu, bashiri Baraza la Mawaziri litakavyokuwa

    Leo Novemba 13, 2025, Dkt. Mwigulu Nchemba ameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Waziri Mkuu wa JMT. Kama ilivyo ada, anapoteuliwa Waziri Mkuu ndio mwanzo wa kuunda Baraza la Mawaziri ili kumsaidia Rais. Soma > Dkt. Mwigulu Nchemba apendekezwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri...
  4. D

    PostGE2025 Safisha safisha Ngorongoro Awamu ya II: Makonda kupewa Maliasili na Utalii

    Mpango wa muda mrefu ni Makonda kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Kupelekwa kwake kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadaye “kutengenezwa” kuwa Mbunge wa Arusha haikuwa bahati mbaya. Niwape tu taarifa Wamasai hasa wale mliokuwa mkifika kula nyama za Makonda kwenye matamasha yake: Inakuja...
  5. Mlalamikaji daily

    Makonda ni kiongozi anayekuvunja miguu gizani halafu anakuletea magongo hadharani

    Hivyo ndivyo Makonda alivyo.. Hana huo uzalendo wa hivyo. Ni jambazi anayeweza kukujia usiku akakutoboa macho na akakuletea miwani mbele ya waandishi wa habari.. Kwa ufupi tu Makonda ni katili kuliko ukatili wenyewe..
  6. Username 20

    Hivi mnamjua Paul Makonda nyie?

    Huyu ambaye alimlaghai GSM kuwa Rais Magufuli anataka kujengewa nyumba, Aliyetaka kupitisha biashara yake bandarini kwa kisingizio cha kusaidia meza na viti waalimu wa Dar Huyu bwana ukimweka kwenye kundi la walafi wa madaraka na matumizi mabaya ya madaraka ni namba moja kwa Tanzania hivi sasa...
  7. Carlos The Jackal

    Makamo Heche ametekwa na Genge dogo Ndani ya Jeshi la Polisi la Akina Mafwele Makonda linaloendesha Utekaji na Mauaji Nchini.

    Mimi nadhani Kwa Sasa hatuna kitu kinaitwa Watu wasojulikana. UTEKAJI na Mauaji yanayoendelea Nchini ,unsratibiwa na Genge la watu wachache lililo Ndani ya Jeshi la Polisi na likiongozwa na Mafwele na Makonda. Hili ndo Genge lilovamia Clouds , likampiga LISSU Risasi, ndio hili genge...
  8. Hance Mtanashati

    GE2025 Makonda akipewa Uwaziri Mkuu, nchi itapitia kipindi kigumu sana

    Makonda nafasi ya uwaziri mkuu haimfai hata kidogo, na kama tetesi za kupigwa ban kukanyaga baadhi ya nchi ni za kweli basi bila shaka Tanzania itajiweka nafasi mbaya mno kujenga uhusiano na baadhi ya nchi. Historia ya Makonda hairidhishi , sasa mtu kama huyu kupewa nafasi ya juu zaidi kwenye...
  9. Mafyangula

    GE2025 Makonda: Leo hakuna tena mjadala kuhusu uwekezaji wa bandari, kwa sababu matokeo ya kiuchumi yanaonekana wazi

    Huyu Makonda anacheo gani hadi kwenda kukagua bandari? Mbona mwaka vituko ni vingi Wakati sasa hivi alitakiwa kuwa kwenye jimbo analogombea ili aendelee kupiga kampeni zake lakini yeye kiguu na njia. Au ndio anaona kashapita? ============== Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini amempongeza...
  10. W

    GE2025 Makonda: Anayekushawishi uvunje amani, mwambie akupe kwanza hela ya kula ya miaka 10 ijayo

    Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amewaambia wananchi kwamba yeyote anayewashawishi kuandamana badala ya kupiga kura Oktoba 29, 2025, awalipe kwanza fedha za kujikimu kwa kipindi cha miaka 10. Akizungumza Jumatatu Oktoba 20, 2025, alipokuwa na...
  11. W

    GE2025 Makonda: Tuishi katika Misingi Imara ya Kiroho na maadili mema

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, leo ameshiriki ibada maalum na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Ngarenaro, lililopo katika Kata ya Ngarenaro, Jimbo la Arusha Mjini. Katika ibada hiyo ya...
  12. funaku

    GE2025 Makonda ameondoa ombwe la kilichoitwa SUKUMA GANG

    Wana wa stratejia ndani ya CCM wamefanikiwa sana kumleta Makonda Paul ambaye ni msukuma mvaa utepe mkononi unaoashiria majonzi . Makonda ameenda kanda ya ziwa na kuhakikisha kura za "kisukuma" zinapatikana. Heko kwao kwa wanazuoni ndani ya ccm kwa mpangilio bora wa kampeni.
  13. The Father of All

    Wanaojua uhusiano wa Kikwete na Samia watusaidie kabla ya kujadili wake na Daudi Albert Bashite

    Kichwa cha habari kinajieleza. Tanzania kuna wato wawili ambao kwa rais Samia siyo wana ushawishi mkubwa bali ni maalum ambao ni Jakaya Mrisho Kikwete na Daudi Albert Bashite. Kwa wanaojua undani wa wandani hawa watujulishe lau tujue kwa sababu rais ni public figure.
  14. Magufuli 05

    GE2025 Makonda ni jitu la hovyo, watanzania mkataeni

    Ameshiba mihogo. Leo anasema Magufuli ni kaka yake. Wewe makonda ni wakumuita magufuli kaka Yako kweli? Unakumbuka alivyokusitahi kama mwanae. Unakumbuka alivyokuunganisha wewe na Ruge kule chongoleani Tanga kwa kuwaita wewe na Ruge ni wanaye. Leo unamuita kaka Yako eti. Tafadhali usimtumie...
  15. Mhaya

    GE2025 Paul Makonda anazunguka Nchi Nzima na Kuweka Mikutano kama nani?

    Nimeona Clip ya Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na sasa mgombea ubunge Arusha akipita Kanda ya ziwa na maeneo mengine nchini na magari yake akihotubia umma na kusema watu wasikubali alichofanyiwa magufuli afanyiwe Samia. Mimi swali langu ni Makonda alitakiwa afanye kampeni zake Arusha...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Makonda: Kuna watu wanalipwa hela kwaajili ya kuichafua nchi

    Na mimi namuomba Mwenyenzi Mungu amlinda Dkt Samia aingie kwenye uongozi wa miaka yake mitano. Na ukisikia kelele zinazopingwa hizo ni ule wivu wa kuona mwanamke anaweza? Wanampa maneno ya kumkatisha tamaa ili akasirike au asuse, na wengi pia wanatamani kuichafua Tanzania yetu huko duniani ili...
  17. tonicimmobility

    GE2025 Makonda: Mara sio ya mauaji, sio ya kukatana Mapanga, wakiwaambia msiende kupiga wajibuni hivi

    Mgombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (#CCM) Jimbo la Arusha mjini Paul Makonda akiwa Mkoani mara kumuombea kura mgombea wa Chama hicho nafasi ya urais Samia Suluhu Hassan amewaomba wananchi wa mkoa huo kukataa kuungana na wanaosema hawatopiga kura na wakiwaambia na wao wasiende kupiga kura...
  18. DuaZaMama

    GE2025 Makonda: Nikiingia bungeni moto utawaka, nitapiga spana watu mpaka kitaeleweka

    Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema endapo atashinda uchaguzi na kuingia bungeni, ataweka nguvu kubwa katika kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutekeleza Ilani ya CCM ya mwaka 2025–2030. Makonda amesema anatarajia kutumia nafasi hiyo...
  19. baz kaiza

    Mko wapi mliokuwa mnasema Makonda ni Mzalendo?

    Kuna kelele kibao mpaka wakasema Makonda mzalendo anaweza kuvaa viatu vya Magufuli. Wapi sasa ukweli? Ukweli uko wazi; jamaa yenu Makonda hana uzalendo wowote. Tangia Magufuli alipoondoka, wazalendo wa kweli tumewaona kwa macho yetu, na maskio waliobaki wote walikuwa ni kelele. Kipindi cha...
  20. A

    DOKEZO Ukimya magari yenye alama zinazoendana na JWTZ, je raia wengine waige au ni maalum kwa Makonda tu?

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amekuwa katika yadhifa za uongozi kwa muda mrefu sasa, kwa nafasi ambazo ameshika, anafahamu kwamba kuna mambo yanayohitaji mipaka. Kabla sijaendelea niweke wazi kuwa ni vizuri kwa kiongozi kuwa Mbunifu, lakini si vyema kuvuka mipaka kwa...
Back
Top Bottom