makonda

  1. 4

    Mama SSH usipo Mtumbua makonda kwa hili basi nipe mwaliko wa Ikulu niwashilishe yangu

    Amani imetawala wana jf , popote mlipo Rais ni nembo ya Taifa , kitendo cha kutukwanwa sihungi mkono ,nchi ni kubwa kuliko mtu mmoja . Sasa na mimi kama Mtanzania natoa siku 5 Makonda kuwataja Mawaziri wanaoleta ujinga kumudhalilisha Rais pitia mitandao , na kama sio hivyo ikawa Makonda...
  2. Halaiser

    Je Makonda kapata au kapatikana?

    Hatimae Paul Makonda amuibua Rais Mstaafu wa awamu ya nne kutokana na matamshi yake kwenye kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine. Je nini kitafuata baada ya Mzee Kikwete kuyatoa yake ya Moyo ni??
  3. J

    Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani

    Mwenezi wa CCM Komredi Amos Makala amesema katika Ziara yao Katavi na maeneo mengine watasikiliza kero za wananchi lakini siyo zile zilizoko mahakamani Makala amesema wanajua Wananchi Wana changamoto mbalimbali na kimbilio lao ni CCM Source Jambo TV ====== ====== KAULI YA MAKALLA Katibu wa...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Watanzania wanahitaji siasa za Watu kama Makonda, CCM inajua hilo

    Kwema Wakuu! Usijeleta u-serious wako uwapo mbele ya Watanzania. Mambo ya akili mingi watanzania hawayataki, mambo ya kweli watanzania sio Wafuasi wake. Ndio maana kijamii sio ajabu ukawakuta Watu kama kína Mwijaku, Dotto Magari, Piere Liquid, kina Mange Kimambi, na wengineo wakiwa na...
  5. DR Mambo Jambo

    Yericko: Makonda Aitwe Bungeni,Tuhuma za Kesi ya Uhaini ya mawaziri, Na Generali Mobeyo Aitwe kueleza Bunge ukweli wa Kesi ya uhaini Uliofanyika 2021

    Anaandika Yericko Nyerere Wengi mmeomba nitoe maoni yangu kuhusu kauli za mtu anayejiita Paulo Makonda kwamba kuna mawazi wanawalipa watu ili kumtuna Rais na kwamba mawaziri hao wana wawatu nyuma ambao ni watu wa kuheshimika katika nchi. Kabla sijazungumzia kauli hiyo naomba niwarejeshe...
  6. GENTAMYCINE

    Katika Cabinet Reshuffle inayokuja soon 'Matege Ndani' anaenda Kuula, ila wa Tanga, Lindi na Singida mnaondoka

    Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo...
  7. Uzalendo wa Kitanzania

    Mtume Boniphace Mwamposa amtembelea Paul Makonda ofisini kwake Arusha

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Inuka Uangaze, Nabii Boniface Mwamposa ofisini kwake Jijini Arusha. Nabii Mwamposa aliyeambatana na viongozi wengine wa Kanisa lake...
  8. Mhafidhina07

    Makonda ana hoja asikilizwe

    Katiba ya Tanzania inatamka na kutambua kuwa Rais ndiye mkuu wa nchi, Amiri jeshi mkuu na mtendaji mkuu wa Serikali yeye ni mwenye mamlaka makubwa katika nchi hii anaweza kuwa symbolic leader(queen) kulingana na katiba yetu. Inasikitisha sana kuona mtu wa kwenye chama chako ambaye pia...
  9. GENTAMYCINE

    Hebu jifunzeni basi kutupa Maua yetu na Kutuheshimu Watu wenye Maono, aliyosema Makonda nilishayasema Kitambo tu hapa JF ila mkanipuuza

    Hivi ni lini mtaniheshimisha na hata Kunijengea Mnara wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Mna uhakika kuwa sikuwahi Kuanzisha Uzi hapa hapa JamiiFoums tena nikisema na kuna mahala nikayafumba Majina ya hawa hawa waliotajwa jana na Makonda na baadhi ya Intelligent Members hapa wakayajua? Mna...
  10. mchawi wa kusini

    Kwanini Watanzania kuazia umri 35 hadi 55 Wanamchukia Mh. POUL MAKONDA?

    Habari wana Jf Kama ilivyo kawaida nimechunguza sana Kwa nini ndugu poul makonda anachukiwa sana,na watanzania wenye huo umri nilioutaja hapo. Nimegundua ni kupitwa kwa mafanikio,nimekuja kuona wanatanzania kinachotusumbua ni wivu wa mafanikio ya mtu. Leo hii hata makonda akiongea jema vipi...
  11. F

    Kwa kweli ni wakati muafaka wa rais Samia kuachana na Paul Makonda, taswira ya rais wetu inaharibika kwa kasi sana.

    Sina uhakika kama mheshimiwa rais Samia anafahamu taswira anayojijengea mbele ya umma wa Watanzania kwa kuendelea kumpa Paul Makonda nafasi katika serikali yake. Kwa kipindi kifupi tu cha wiki moja tangu Makonda ateuliwe kuwa RC wa Arusha, mtizamo wa watanzania kuhusu rais Samia umebadilika...
  12. K

    Makonda hakutakiwa kutamka lile tamko mbele ya Rais

    Tamko alilotamka Mkuu wa Mkoa wa Arusha ni tamko mbaya sana na linaleta uchochezi na chuki. Ni aibu kutamka mbele ya kadamnasi ya watu kuwa kuna watu wanamtukana Mhe. Rais. Jambo hili alitakiwa amueleze Mhe. Rais kwa siri kubwa. Mhe. Rais Mkuu wa Mkoa wa Arusha hakufai ni bora umtumbue mapema...
  13. chiembe

    Sakata la Makonda: Mpaka sasa Samia hana CCM, hana wananchi, hana serikali

    Samia kupitia CCM aliweka katibu mwenezi laghai kwa wananchi kwa jina Makonda, wakamwamini, baadae alamuondoa, wananchi hawamuelewi, na CCM hawamuelewi, amekuwa akiitukana serikali kila leo, lwa hiyo Baraza zima la mawaziri na serikali inamuona katumwa na Samia, uongozi mkuu wa ccm hauko na...
  14. Petro E. Mselewa

    Kwanini RC Makonda amekinzana hadharani na msimamo wa Rais Samia?

    Tarehe 13 mwezi uliopita, Ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa msimamo wake kama mkuu wa nchi na wa CCM kuhusu 'makundi' na 'watoto' wake kisiasa. Katika hafla ya kuwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua, Rais Samia alisema kwa umakini, umadhubuti na wazi kabisa kuwa...
  15. masopakyindi

    Natofautiana na Makonda, kutoa maoni si kuchafua!

    Makonda mara zote ni mtu mwenye mawazo finyu. wa vyovyote Makonda ni mtu wa kitengo aliyevamia siasa. Ni mtu atakumbukwa kumfanyia vurugu Waziri Mkuu na Makamu wa Rais mstaafu Joseph Sinde Warioba. Alipokuwa RC Dar, atakumbukwa kwa kupora magari na viwanja vya wafanya biashara kwa kutumia...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Mnachoropoka ni nini? Ninyi ndio hamjui kutumia madaraka yenu vizuri Makonda ni kiongozi anayejua kutumia madaraka yake vizuri

    Huwezi kutumia madaraka yako vizuri kama hujui kwanini umewekwa hapo. Makonda ni kiongozi anayejielewa hajui unafiki. Anasema jambo kwaajili ya kusaidia jamii yake. Yupo kwaajili ya jamii na ndio maana anapendwa na watu. Ukitaka nawewe kupendwa jitoe fanya mambo kwaajili ya jamii yako...
  17. Nyani Ngabu

    Makonda naye ametumwa na Rais Samia?

    Mwezi uliopita, aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, aliongea na waandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News, kuhusu siku za mwisho za Rais John Magufuli. Wajuzi na wajuvi wa mambo wakadai kwamba ametumwa na Samia kuyasema hayo aliyoyasema. Kwamba hakusema tu...
  18. chiembe

    Waziri Mkuu, Makonda ametukana Baraza lako la Mawaziri, mawaziri wako wote hawaaminiki, jiuzuri tuje saiti tuone

    Mzee Majaliwa, vunja jungu tuje saiti tuone huyo jamaa na wewe nani zaidi, tangaza kuondoka serikalini
  19. Ngungenge

    Kardinali Pengo, unampigania Sana Makonda lakini kama huwezi kumsaidia akaacha tabia yake ya ufitini, uongo na kiburi basi kikombe hicho kiwe juu yako

    Ni kweli unampenda Sana Makonda, na hii huwa inatokea mtu fulani kumpenda mtu fulani automatic, inatokana na ku share spiritual rim, njozi na maono ya pamoja. Ni kweli Makonda kwako ni kijana mtiifu na mnyenyekevu amekuwa hivyo tangu akiwa Mkuu wa Mkoa, alipotoka, alipokuwa mwenezi na sasa Mkuu...
  20. Dr Akili

    Hili la Makonda kuwataja hadharani anaowatuhumu kumtukana raisi mtandaoni, linaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria

    Katika hafla ya kumbukizi ya siku ya kifo cha Sokoine leo, Makonda amesema tarehe 15 April atawataja hadharani anaowatuhumu kufadhili wanaomtukana rais mtandaoni. Kwamba anawajua na baadhi yao ni mawaziri. Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena...
Back
Top Bottom