makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. Think2

    JamiiForums Tanzania Makonda: Nitawaleta Floyd Mayweather na Mike Tyson

    Hizo fedha za kuwaleta Floyd na Tyson kwanini zisielekezwe kwenye miradi ambayo bado haijakamilika kuna vijiji shule hazina madawati, hospital ziko mbali, barabara mbovu kupita kiasi Afrika ni bara linaloongoza kwa ulimbukeni duniani voongozi wengi wanatumia fedha nyingi kuleta watu maarufu ni...
  2. Mchumi90

    JamiiForums Tanzania Upendeleo live: Makonda ashtukia utapeli

    Leo kwenye ngumi kuna chalii etu kapigwa live na Mfilipino ila majaji wa mchongo wakampa ushindi mbongo.
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hongera BASATA kwa kuua Vipaji na Wasanii, Je, Chini ya Makonda, Sanaa itainuka tena?

    Salaam Wakuu, Kwa Ufupi Malengo ya BASATA ya kuua Vipaji na sanaa ya Tanzania yamefanikiwa. BASATA wamefanikiwa kuua Tasnia ya Burudani. Nimeenda BASATA wafanyakazi wao wamelala wengine wameenda chai. Hawana kazi tena kwani kazi washaikamilisha. Namshauri Paul Makonda(Waziri) aangalie namna...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Anayetamani Makonda kuwa Rais hana akili timamu

    Hajui mipaka yake ya kazi, hujiona yeye ni kiongozi wa wizara zote. Hajui chain of command. Akipewa cheo hujiona yeye ni kila kitu, he's everything. Low IQ, 'wanaopigia kelele rushwa hawajaingia jikoni'. One man show. Ana Charismatic ya kuaminiwa but empty head. Layman, hana profession...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kabla hujainyooshea kidole Serikali tafakari kwanza familia yako

    Itakua ni ngumu sana kupiga vita madawa kulevya kama familia haijakaa sehemu yake, itakuwa ngumu mno kuwapata viongozi bora kama familia haijakaa sehemu yake, kwa hiyo ni wito wetu kama Serikali ya kwamba jukumu walilonalo kila mwananchi ni kuitafakari kwanza familia yake kabla hajanyoosha...
  6. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Unaweza usinielewe, lakini Ruge wa Clouds na Yusuph Manji, vifo vyao vina mkono wa mtu

    Unaweza usinielewe kamwe wewe unayesoma hapa, ILA kiukweli vifo vya hao ndugu nilio wataja vilichagizwa na Nafasi za utawala alizo kuwa nazo Paulo chiristiani Bashite Makonda. Yawezekana unielewi ILA YUSUPH MANJI angekuwa hai Leo hii Makonda hasingekuwa salama kamwe. Alimsingizia kesi ya...
  7. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ni usiku wa saa kumi, nimemaliza maombi ila siwezi msamehe Ole Sabaya na Makonda, hawa ni waasisi wa utekaji

    Ni usiku wa saa kumi Nina amini Ole Sabaya upo hai au umeondoka, Mbowe najua uko hai, lakini Makonda sjui uliko maana ushakuwa waziri Sasa walindwa, nakushauri uimalishe ulinzi wako, usizanie uliokuwa unawaita wauza madawa wamelala kama wewe Nimemaliza maombi yangu ya siku hakika nasema kweli...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Wameshatuona matakataka: Tanzania kuwa masikini ni mtu kutaka by Makonda

    Kuwa masikini ni utashi wetu. Eti hela iko nje nje.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Makonda: Tumewasilisha ombi Content Creators walipwe zaidi

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema Tanzania imewasilisha ombi UNESCO la kutambua Kiswahili kwenye mitandao ya kijamii ili vijana wanaotengeneza maudhui kwa lugha ya Kiswahili walipwe vizuri. "Kupitia Balozi wetu wa Tanzania aliyeko Ufaransa, tumeshawasilisha...
  10. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Paul Christian, Makonda amesimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na kuusimamisha Uongozi wa sasa wa Kamati hiyo

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian, Makonda amesimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na kuusimamisha Uongozi wa sasa wa Kamati hiyo kufuatia malalamiko ya baadhi ya Wagombea waliokuwa wakiwania nafasi mbalimbali za Uongozi wa TOC kuenguliwa kushiriki...
  11. Stroke

    JamiiForums Tanzania Makonda ondoka Arusha

    Makonda Arusha hatukutaki. Ubunge umelazimisha ili uwe Waziri. Get the he'll out of Arusha.
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere akisoma ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, Machi 30, 2026 amesema alibaini upungufu katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Arusha, ambapo ulikadiriwa kugharimu Tsh. Bilioni 187 lakini mkataba ukasainiwa kwa Tsh...
  13. tpaul

    JamiiForums Tanzania Makonda: Mwakani tunaanzisha ligi ya wazawa tu!

    Waziri wa michezo bwana Paul Makonda amesema kuwa kuanzia mwakani ataanzisha ligi ya wachezaji wa ndani tu kama ilivyokuwa michuano ya Afrika (CHAN) iliyohusisha wachezaji wanaocheza ndani ya Afrika tu. Kwa kuwa michuano hii ya Afrika imefutwa rasmi na CAF, sasa ni wakati muafaka kuifufua kwa...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mambo ya ndani inaweza kumpendeza sana mwamba Makonda. Siku akisimikwa Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa Whitehouse Marekani

    Ndugu zangu Watanzania, Huyu Mwamba siku Akiwekwa Wizara ya Mambo Ya Ndani ya Nchi . kwa Hakika Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa kuta za Whitehouse Marekani. Na Kila Mmoja atakaa Mguu Sawa. Timu ya Rais Samia Ya Baraza la Mawaziri ni nzuri sana na imesheheni wachezaji wenye...
  15. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Makonda anamlenga nani kuelekea 2030?

    Nadhani wote mmemsikia Paul Makonda kuhusu mpambano wa kuelekea 2030 kwenye kiti cha Urais kupitia ccm. Makonda kwa madongo ya leo atakuwa anamlenga nani haswa? Ila cha kusikitisha leo ni takribani miezi mitano tangu waingir madarakani ila vita ya Urais 2030 ni kama ishashika moto. Hawa jamaa...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Hawajawahi kuona vita kati ya Tanzania na Marekani ila wanasema Marekani ina jeshi imara

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Christian Makonda katika kuhamasisha utengenezaji wa filamu zinazoitangaza Tanzania.
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kombe la AFCON litabaki nyumbani

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Tanzania imejipanga kikamilifu kuelekea mashindano ya AFCON 2027, akieleza kuwa si ushiriki tu bali pia itachukua ubingwa wa kombe hilo. Amesema kuwa ushiriki wa Tanzania katika michuano hiyo unatoa nafasi ya kipekee ya...
  18. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Makonda akiongea Kingereza cha kubangaiza

    https://youtu.be/tXhJ6gAj-Cs?si=bEedIn-AZpN-b4LQ Aliipona English inataka kumponyoka akamshikilia Mchina kujivika ujasiri. My Take Kama kwenye CV yako umesema Iam fluent in speaking English, basi ondoa mara moja
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Makonda amuomba Mabeyo amuwakilishe siku ya kumbukizi ya Hayati Magufuli

    Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda, amemtembelea Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo, nyumbani kwake jijini Dar es Salaam na kutumia nafasi hiyo kumshukuru kwa mchango wake mkubwa kwa taifa pamoja na kulea viongozi wengi wanaolitumikia taifa katika...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Mkuu Wa Majeshi Mstaafu Jenerali Venance Mabeyo Ammiminia Sifa na Pongezi Paul Makonda Kwa Uchapakazi wake Uliotukuka. Ampa Baraka na Nasaha

    Ndugu zangu Watanzania, Mwamba Paul Makonda Ataendelea kung'aa Kiuongozi ,kushika nafasi nyeti ,kupaa kiuongozi Kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wa kuleta matokeo chanya na ya haraka. Huyu Mwamba ni kama amekuja kwa kazi maalumu hapa Duniani. Ni mtu ambaye ukimpatia kazi anaifanya...
Back
Top Bottom