makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. A

    DOKEZO Makonda na 'kampeni za kifahari' kuliko wagombea wengine wa CCM, Je, anatuma ujumbe gani?

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea na kampeni katika mikoa mbalimbali, na kwa sasa wametia mguu wao huku Kanda ya Ziwa. Ukiachana na mambo kadhaa yanayoacha tafakuri kuhusu mwenendo mzima wa kampeni, yapo mambo mawili yanayonifanya nijikune kichwa, kama siyo kushika tama. UKWASI WA MAKONDA...
  2. McLaren

    GE2025 Makonda: Amani haichezewi tuangalie taifa alipolitoa

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amewataka Watanzania kupuuza watu wanaohamasisha uvunjifu wa amani nchini, huku akisisitiza umuhimu wa kumuunga mkono Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Makonda ametoa kauli hiyo jijini Mwanza...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Makonda uso kwa uso na Zitto, Mwanza

    Soma pia: Makonda uso kwa uso na Gambo kwenye mabanda Arusha, ona kilichotokea mbele ya Waziri Ndejembi
  4. Stroke

    GE2025 Bora China kuliko Makonda

    Naamini huyu dada chinaa angawafaa wana Arusha kuwa mbunge wao kuliko huyo laghai Makonda.
  5. W

    GE2025 Inaonekana Makonda anapenda sana kulialia

    Yalikuwa ni mapenzi na hofu ya Mungu au siasa zetu kivyetu vyetu? Ila Makonda inabidi apewe cheo cha 'Lastborn' wa Taifa analialia sana.
  6. Sifi Leo

    Mapepo yaliyotolewa na Makonda yalimwingia nani? Sasa we Gambo unabisha, ulikuwepo?

    Sasa wewe Gambo unabisha Makonda hakutoa mapepo, unabisha ulikuwepooooo? Je yalienda wapi mapepo hayoo? Ila siasa ni konyo wasemavya wapemba
  7. DuaZaMama

    GE2025 Tazama Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Paul Makonda akitoa watu mapepo

    Leo Safina, tumeshuhudia nguvu ya Mungu ikidhihirika kupitia mtumishi wake Paul Makonda Kwa jina la Yesu Kristo, pepo wameondoka na watu wengi wamepata uhuru wa kweli. Kama maandiko yanavyosema, ‘nanyi mtajua kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru’ (Yohana 8:32). Hakika Mungu yupo pamoja nasi.”
  8. Sifi Leo

    GE2025 Kwanini Nchimbi hakuwaunganisha Gambo na Makonda?

    Nauliza kwanini ema ulishindwa kuwapatanisha Gambo, na Makonda kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni? Alishindwa kuwaita na kuwapatanisha mbona mikoa mingine walifanikiwa kufanya hivyo? Kwanini CCM ndio imeleta uadui mkubwa kwa vijana Hawa? Nini hatima ya VIZAZI vyao? Juzi Nchimbi alikuwa...
  9. SSH2025_2030

    Marufuku ya Makonda kwenda US, UK, Australia & Canada

    Kwa ile ban ya kutoingia US ni wazi sasa Mheshimiwa Mbunge na Waziri (Mtarajiwa) analazimika kuishia Zanzibar na Juba kutekeleza majukumu yake ya WIZARA YA MAMBO YA NJE.
  10. Mfalme_wa_Nyika

    Makonda hapa Arusha anajipa umuhimu usio wake, wajanja walio wengi tunamuona zero brain

    Wajinga ukiwauliza watakuambia eti Makonda anapendwa sana, wanasahau huyu zero brain ni moja ya watu wana propaganda nyingi kutengeneza picha ili kuhalalisha mipango yao, makonda ni mmoja wapo. Arusha yote, Kilimanjaro Yote, Manyara Yote, ni ukweli ambao haupingiki si kwa CCM tu bali Tanzania...
  11. M

    Baraka za Kaskazini, Hatimaye Makonda akiri jambo muhimu

    Kwa mara ya kwanza jana Makonda amesema jambo ambalo ni ufunguo wa maisha mambo muhimu sana kama unataka kubadilisha maisha yako Tanzania ni haya 1. Uoe au Kuolewa Kaskazi 2. Usome Kaskazini 3. Uzaliwe Kaskazini Watu wa Kaskazini Kilimanjaro na Arusha wana IQ kubwa 120+ ukiwa karibu nao...
  12. mwehu ndama

    GE2025 Makonda amenifanya nibadili mtazamo wangu kuhusu wakazi wa Arusha

    Nimewahi kuishi Arusha, nimesoma A-level Arusha, naipenda Arusha na watu wake. Lakini ukweli lazima usemwe... Miaka ya nyuma, hususani mwanzoni mwa miaka ya 2000’s, kuna namna wakazi wa Arusha walitanabaishwa kama watu shupavu, wenye misimamo mikali katika kusimamia wanayoyaamini, watu...
  13. Griss

    Magufuli alihujumiwa na Makonda?

    Leo hii tunaona wote, wale wanaoamini katika Magufuli wamewekwa benchi. Lakini aliyetuaminisha Ridhiwani anauza madawa ya kulevya anachanja mbuga tu. So ilikuwa mipango ili aaminike na Magufuli ili badae amuuze ? Imagine Makonda asingekuwa team Msonga kisasi chake kingekuwaje leo? Angalia...
  14. T

    Makonda kuisimamisha Arusha akichukua fomu ya ubunge

    Baada kuvuka vizingiti na hatimae chama cha CCM kuamua kumpitisha kama mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini. Sasa ndugu Makonda anaenda kuchukua fomu katika ofisi za wilaya za CCM. Barabada zinatarajiwa kufungwa kwa masaa kadhaa kutokana wingi wa watu watakaomsindikiza. Tayari maandalizi...
  15. Penguinelli Cactussini

    Ninawachukia sana bodaboda na makonda wa daladala

    Siku za hivi karibuni nimezidi kuwachukia madereva bodaboda na makonda wa daladala. Si shauri na wewe uwachukie ila mimi nachukia sana wakiniita faza (kwani mimi ndio nimewazaa?). Wananiitaga uncle (kwani nimezaliwa na mama zao?). Ni kweli mimi ni mpana ila sipendi kuitwa bonge au faza...
  16. Waufukweni

    GE2025 Diwani aliyemlilia Paul Makonda atimkia CHAUMMA

    Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Themi jijini Arusha kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Petro Lobora, amejiunga rasmi na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na kukabidhiwa kadi ya uanachama sambamba na kuchukua fomu ya kuwania udiwani katika kata hiyo aliyoiwakilisha awali kupitia CCM. Tukio hilo...
  17. mwanamwana

    Kumbukizi, Makonda aliwahi kusema wafanyabiashara wengi wanaichangia CCM sababu ya hofu

    Hii ni kauli ya Paul Makonda akizungumzia wafanyabiashara ambao wamekuwa wakilazimika kukichangia Chama cha Mapinduzi ili kuepukana na shari ambazo wanaweza kupata ikiwa watakataa. ''Wafanyabiashara wengi wanakichangia Chama cha Mapinduzi sio kwasababu wanakipenda sana ni kwa sababu ya hofu, Na...
  18. Carlos The Jackal

    Licha ya Magufuli kumpenda Makonda, tamaa ya Ubunge ilionyesha amemdharau Rais na ana maslahi binafsi ubungeni. Magufuli akampiga chini

    Hayati Magufuli alimpenda sana Makonda, Licha ya Mashambulizi alopelekewa Makonda na Maadui zake, Mara zote Magufuli alisimama akisema "Makonda Wewe chapa Kazi". Unaweza jiuliza, Mwenyekiti na Rais, ambaye alimpenda sana Makonda, inakuaje aache Kijana wake ashindwe kwenye Kura za Maoni...
  19. Now and then

    Makonda pole sana hakika hii ndo Arusha haina utofauti na Kigamboni!.

    Pole Sana Mkonda , hakika hawa ndo wajumbe .
  20. Stroke

    Kumruhusu Makonda kugombea ni sawa na kuruhusu mvurugano baina ya wakuu wa mikoa, wilaya na wabunge kwenye kila mkoa

    Sote tunafahamu kuwa Makonda alikuja Arusha baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa. Kabla ya hapo, hakuwahi ishi zaidi ya mwaka mmoja. Hana makazi ya kudumu. Hajui matatizo ya watu wa Arusha na kuyasemea kwa undani kama mzawa. Uwepo wake ni baada ya uteuzi tu, kama asingeteuliwa asingegombea...
Back
Top Bottom