majina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lanlady

    JamiiForums Tanzania Pamoja na majina yote, bado sifa zake zipo kila mahali!

    Naomba mniruhusu tu niandike haya machache! Leo muda wa asubuhi nilimuagiza mtu wa 'bodaboda' aniletee vitu nilivyomuagiza. Walikuwa na mwenzake. Baada ya salamu yule mwenzake akasema "hali ni ngumu sana" nikachomekea "nyie si mnasema mama anaupiga mwingi na kwamba mtangulizi wake alikuwa...
  2. MoseKing

    JamiiForums Tanzania Idara ya afya Wilaya ya Rombo imegeuka Kikosi kazi cha kumwaga Chanjo za UVIKO-19, kupika majina ya watu kuwa wamechanja

    This is Tanzania. Yaliyoendelea, yanayoendelea yanasikitisha. Umeona takwimu za chanjo ya UVIKO-19 kuwa 86% ya Watanzania Wamechanja 😅 Kwa sample ndogo ya Halmashauri ya Wilaya ya Rombo kazi iliyokuwa inafanyika inasikitisha. Vials za chanjo za UVIKO-19 zimemwagwa sana kwa kushirikiana na...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Majina ya Watangazaji maarufu enzi hizo Radio Tanzania kabla ya TBC

    David Wakati, Sarah Dumba, Eda Sanga, Jacob Tesha, Ananilea Nkya, Sango Kipozi, Omar Jongo, Ahmed Jongo, Barnabas Mluge, Idrissa Sadallah, Benjamin Kikomongo "Ben Kiko", Bartholomeo Kombwa "Bart Kombwa", Danstan Tido Mhando, Masoud Masoud, Yusuph Omar Chunda, Bujaga Izengo Kadago...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sahihi sasa wa kutumia majina ya Vladimir na Sergei

    Ndiyo, sisi waafrika wenyewe si tumegoma kutumia majina yetu ya asili na kuyakumbatia majina fulani hivi enzi na enzi na sasa waliotukabidhi hayo majina sasa wanatuletea ushoga milangoni mwetu.........it gets nearer siku baada ya siku. Kutokana na hilo, nafikiria ni wakati sasa wa kutumia...
  5. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tujilipue majina yetu maarufu kwenye vitabu vya Guest, Lodge, na Mahotelini

    Hello. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, mara zote nikenda lodge, guest na hotelini kwenye kunyandua sijawahi kuandika jina langu halisi hasa la mwanzoni japo mara nyingi nafake majina yote mawili. Sehemu pekee ambayo najiachia kuandika majina ya kweli aidha Kwa kupenda au kutokupenda ni Unguja...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kwanini Waislam wengi hawana majina ya kiasili?

    Utakuta mtu anaitwa Juma Mohamed Said. Yaani hata kutumia jina la babu ambalo ni la kiutamaduni hamna, why? Au wenzetu koo zenu zinatokea mashariki ya kati? Afrika Magharibi Waislamu wengi tu wanaitwa kwa majina ya asili yao tofauti na huku Afrika Mashariki Afadhali Wakristo utakuta mtu ana...
  7. Desierto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Atakaye nitajia hizi flm zote majina yake anapata vocha

  8. Desierto

    JamiiForums Tanzania Weka picha yoyote ya movie wakutajie majina

    Mimi naanza na hizi hapa nitajieni majina.
  9. M

    JamiiForums Tanzania NHIF huwezi katia bima wategemezi waliopo kisheria mfano mama akibadili jina

    Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa. Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha NIDA au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka. NHIF hawampi bima...
  10. Hemedy Jr Junior

    JamiiForums Tanzania Hivi hata Ulaya kuna sehemu zimepewa majina ya nchi mfano hapa Tanzania kuna street inaitwa Morocco, Argentina nk

    Naomba kufahamu hilo au tunajipendekeza .....
  11. H

    JamiiForums Tanzania Tofauti za majina kwenye vyeti vya kitaaluma kutoka mamlaka husika ni usumbufu usio na ulazima

    Kumekuwa na usumbufu usio na ulazima kwa baadhi yetu ambao tumewahi kukutana nao,inapotokea unatakiwa vyeti kwa lengo fulani mfano,fao la kustaafu,fao la uzazi,ajira nk. Usumbufu unaojitokeza ni pale majina yako yanapotofautiana kwenye vyeti na nyaraka mbalimbali. Unakuta mtu unaitwa John...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nini kimejificha nyuma ya wamiliki wa gesti na loji kuvipa vyumba vyao majina ya wanyama au mikoa?

    Nikikuta chumba kimeandikwa Jina la Mnyama Kifaru au Nyati au Chui au Mkoa wa Kagera au Kigoma au Singida au Dodoma huwa nafurahi na nakuwa na Mzuka na hata (aliyeingia katika Mfumo wangu) nikimaanisha huyo anayekwenda Kuwajibika nami Kibaiolojia humo cha Moto hukiona na pengine hata kujuta...
  13. let the caged bird sings

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya majina yako

    Hivi inakuwaje mtu[ngozi nyeusi mzawa wa ujiji] unaitwa:- JOHNSON DONALD?. Yaani jina kama vile unaangia Muvi za Kimarekani!!. Yaani, mi nikukutana na mtu kwa Mara ya kwanza, majina yake yote ndiyo yataamua nimpe mkazo ama nimpotezee. COSSANI NDAVILABHONA. IDALE MADUHU. MSHAIJI KHAMISI...
  14. Hemedy Jr Junior

    JamiiForums Tanzania Majina ya Kihaya na maana zake

    1.Rugemarila - Anamaliza mwenyewe. 2.Byarugaba _ Yote kwa Mungu. 3.Tibaigana_ Watu hatulingani. 4.Tibaijuka_ Hawakumbuki. 5.Ruyemamu _ kujijari| 6.Mbatina_ kuogopa kufanya jambo/ Madhara. 7.Mshobozi _ kuchanganua mambo.|kuelewesha. 8.Rweyendera_ kujipenderea 9.Rwebugisa_(kujiongoza/kiongozi)...
  15. Kaka yake shetani

    JamiiForums Tanzania Kwa mwendo huu kama Serikali ya CCM ikifika mpaka 2,500 tutegemee kila kitu kitakuwa na majina ya watawala na viongozi

    Kinacho wagombanisha viongozi wa CCM ndani ya serikali kila mtu kutaka jina lake liwe kwenye miradi ili kuonekana bora. Sishanagi mwengine njia ya kwenda Singida kajiandika kwenye mawe labda sababu mda wa kupata jina la mradi ujafika. Kupeana majina kwenye miradi leo ndio chanzo cha kuonekana...
  16. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mengi, Mrema, Msuya, Mwaka na Manara, wote walikosea wakafunga Ndoa badala ya kuoa

    Sikuwa na lengo ka kuanzisha uzi katika muda mbovu kama huu, ila nimeshindwa kujizuia. Kelele nilizoziona kwa wingi ni juu ya kufunga ndoa au kutokufunga ndoa; lakini je, tunataka watu wafunge ndoa au waoe? Ni kwanini mtu afunge ndoa badala ya kuoa? Au kwanini mtu aoe badala ya kufunga ndoa...
  17. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Wape watoto wako majina mawili ili wajue maana halisi ya uhuru

    Tunazaliwa, tunakuta baba anatuita fulani, mama naye. Kaka pia anatuita hivyo, na dada na ndugu zetu! Kiukweli jamii nzima tumekuta inatuita tu fulanii fulanii. Wapi tulikaa kikao, ni lini tulikubaliana kwamba jina langu, kitu muhimu ninachomiliki na kunitambulisha popote liwe ni hili na sio...
  18. Rakims

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha mali ya hekima: Majina ya Barahatiyah na faida zake

    Ikiwa utajifunza hiki ninachoandika hapa basi dunia hii na wewe utakuwa mtu mbele za watu na majanga yatakuondoka na hautokuwa tena wa kutegemea watu wala kutaka msaada wa yoyote zaidi utakuwa ni baina ya wewe na Mwenyezi Mungu tu, Photo by Rakims on Rakimspiritual.com na Mwenyezi Mungu utabaki...
  19. saidoo25

    JamiiForums Tanzania Bashe tuletee majina ya wakulima waliouza mchele Tsh 3,500 kwa kilo tukupongeze kwa kumlinda mkulima

    Nimekuwa nikimsikia Bashe akijipata kuwa anawatetea wakulima wauze wanavyotaka kwani kilimo ni biashara. Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa naomba unitajie angalau majina ya wakulima 10 wwaliofanikiwa kuuza mchele sh 3,500 kwa kilo ili tuwafahamu twende tukajifunze kwao walivyotajirika kwa kilimo.
  20. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Elimu wekeni matokeo kwa majina ya form four

    Ili tuone unaupiga mwingi ebu weka matokeo kwa Majina ndo tuamini upo serious na Kazi yako. Watoto huku uswahilini wanataja taja tu namba za uongo wakati wamepata zero na mbaya wanadanganya wazazi wao.
Back
Top Bottom